Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Baraza la Usalama UN lapasisha vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini

    Baraza la Usalama UN lapasisha vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini

    Sep 12, 2017 03:51

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini baada ya nchi hiyo kufanya jaribio lake la sita la bomu la nyuklia wiki iliyopita.

  • Madai ya uhusiano wa nyuklia wa Iran na Korea Kaskazini; kelele mpya kuhusu shughuli za nyuklia za Iran

    Madai ya uhusiano wa nyuklia wa Iran na Korea Kaskazini; kelele mpya kuhusu shughuli za nyuklia za Iran

    Sep 11, 2017 11:26

    Afisa mmoja wa serikali ya Uingereza amedia kuwa Iran imeisaidia Korea Kaskazini kuimarisha uwezo wake wa silaha za nyuklia.

  • Korea Kaskazini: Tutaizidishia mateso na machungu Marekani, ikiendelea kutufuatilia

    Korea Kaskazini: Tutaizidishia mateso na machungu Marekani, ikiendelea kutufuatilia

    Sep 11, 2017 08:20

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itaendeleza njama zake ili kuongeza vikwazo dhidi yake katika Umoja wa Mataifa, basi Pyongyang itaizidishia Washington machungu na taabu.

  • Merkel: JCPOA itumiwe kama mfano wa kutatua mgogoro wa Korea Kaskazini

    Merkel: JCPOA itumiwe kama mfano wa kutatua mgogoro wa Korea Kaskazini

    Sep 10, 2017 07:37

    Kansela wa Ujerumani amesema yuko tayari kujihusisha na jitihada za kuupatia ufumbuzi mgogoro katika Peninsula ya Korea kwa njia ya kidiplomasia na kutoa mwito wa kutumiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran kama kigezo cha kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.

  • New York Times: Marekani ndio itapata pigo kubwa ikiwa itajiondoa katika JCPOA

    New York Times: Marekani ndio itapata pigo kubwa ikiwa itajiondoa katika JCPOA

    Sep 09, 2017 16:30

    Gazeti la New York Times sambamba na kuvitaja kuwa vichekesho visingizio vinavyotolewa na Marekani ili kutaka kujiondoa katika mkataba wa makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Iran na kundi la 5+1 yanayofahamika kama JCPOA, limeionya Washington kuwa itapata hasara kubwa endapo itachukua hatua hiyo.

  • Onyo la Putin kuhusu hatari ya kugeuka mgogoro wa Korea kuwa janga la kimataifa

    Onyo la Putin kuhusu hatari ya kugeuka mgogoro wa Korea kuwa janga la kimataifa

    Sep 08, 2017 06:27

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya kuwa, kuendelea mgogoro wa hivi sasa uliojitokeza baada ya majaribio ya makombora na bomu la nyuklia ya Korea Kaskazini kunaweza kuleta maafa makubwa kwa dunia nzima.

  • Korea Kaskazini yasherehekea majaribio ya bomu la nyuklia

    Korea Kaskazini yasherehekea majaribio ya bomu la nyuklia

    Sep 07, 2017 07:56

    Sherehe kubwa zimefanyika nchini Korea Kaskazini kuwaenzi wanasayansi waliofanikisha majaribio makubwa zaidi ya bomu la nyuklia kuwahi kufanyika nchini humo.

  • Putin: Vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini havitakuwa na taathira yoyote

    Putin: Vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini havitakuwa na taathira yoyote

    Sep 05, 2017 14:15

    Rais wa Russia Vladimir Putin ametahadharisha kuhusu kuibuka mgogoro mkubwa wa kimataifa iwapo kadhia ya Peninsula ya Korea haitasuluhishwa kwa njia ya kidiplomasia.

  • Kiongozi wa CIA amuonya Trump kutokana na matamshi yake makali dhidi ya Korea Kaskazini

    Kiongozi wa CIA amuonya Trump kutokana na matamshi yake makali dhidi ya Korea Kaskazini

    Sep 04, 2017 16:09

    Mkuu wa zamani wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA, Michael Hayden amemuonya Rais Donald Trump wa Marekani kutokana na kutoa matamshi makali dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Shirika la Mkataba wa Kupiga Marufuku Majaribio ya Nyuklia limelaani jaribio la bomu la Korea ya Kaskazini

    Shirika la Mkataba wa Kupiga Marufuku Majaribio ya Nyuklia limelaani jaribio la bomu la Korea ya Kaskazini

    Sep 04, 2017 04:21

    Katibu Mkuu wa shirika hilo amelaani jaribio la karibuni lililofanywa na Korea ya Kaskazini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS