-
UN yataka Korea Kaskazini isitishe majaribio ya nyuklia
Sep 04, 2017 04:13Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali jaribio la nyuklia lililofanywa Jumapili na Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini yafanyia majaribio kwa mafanikio bomu la nyuklia la Hydrogen
Sep 03, 2017 07:39Korea Kaskazini imefanyia majaribio kwa mafanikio bomu la nyuklia, hili likiwa ni jaribio la sita la aina hii kufanywa na Pyongyang.
-
Putin: Kuishinikiza Korea ya Kaskazini hakutakuwa na taathira
Sep 01, 2017 08:06Rais Vladimir Putin wa Russia ameishauri Marekani na waitifaki wake barani Asia kutochukua hatua za kuishinikiza Korea ya Kaskazini na ametoa wito wa mazungumzo ili kuhitimisha mvutano kuhusu miradi ya silaha za nyuklia za nchi hiyo.
-
Korea Kaskazini: Japan inajitafutia matatizo kwa kushirikiana na Marekani
Aug 31, 2017 08:00Serikali ya Pyongyang imetoa tahadhari kwa Japan kwamba, nchi hiyo inajitafutia matatizo kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Marekani na lengo lake la kutaka kusimika ngao ya makombora ya AEGIS nchini humo.
-
Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura
Aug 29, 2017 07:38Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuitisha mkutano wa dharura baada ya Korea Kaskazini kuvurumisha kombora lililoruka katika anga yake na kudondoka katika pwani ya kisiwa cha Hokkaido, mashariki mwa Japan.
-
Wakaazi wa kisiwa cha Guam: Tishio halisi kwetu sisi ni Marekani, si Korea Kaskazini
Aug 28, 2017 03:58Maisha ya wakaazi wa kisiwa cha Guam na usalama wa mazingira ya kisiwa hicho vinakabiliwa na tishio kutokana na kupanuliwa vituo vya kijeshi vya Marekiani kufuatia kushadidi mivutano kati ya nchi hiyo na Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki
Aug 26, 2017 07:01Korea Kaskazini imevurumisha makombora matatu ya masafa mafupi ya balistiki kuelekea pwani yake ya kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Chokochoko za Marekani zikiongezeka, tutaishambulia bila huruma
Aug 20, 2017 16:30Kwa mara nyingine serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo kali kwa Marekani kwa kusema kuwa, ikiwa siasa za uhasama na kupenda kujitanua dhidi ya Pyongyang zitaendelea na hatimaye kuisukuma nchi hiyo kuingia katika vita vya nyuklia, basi Washington itakabiliwa na mashambulizi makali.
-
Mwanastratijia wa Trump: Mgogoro wa Korea Kaskazini hauna njia ya utatuzi wa kijeshi
Aug 18, 2017 04:06Mwanastratijia wa ngazi ya juu wa ikulu ya Marekani (White House) ametoa matamshi yanayopingana na vitisho vya Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya Pyongyang na kusema kuwa, suala la Korea Kaskazini halina njia ya utatuzi wa kijeshi.
-
Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini
Aug 17, 2017 07:42Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kushtadi vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini na kusema kuwa, kuna haja ya pande mbili hizo kukumbatia diplomasia.