Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • UN yataka Korea Kaskazini isitishe majaribio ya nyuklia

    UN yataka Korea Kaskazini isitishe majaribio ya nyuklia

    Sep 04, 2017 04:13

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali jaribio la nyuklia lililofanywa Jumapili na Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini yafanyia majaribio kwa mafanikio bomu la nyuklia la Hydrogen

    Korea Kaskazini yafanyia majaribio kwa mafanikio bomu la nyuklia la Hydrogen

    Sep 03, 2017 07:39

    Korea Kaskazini imefanyia majaribio kwa mafanikio bomu la nyuklia, hili likiwa ni jaribio la sita la aina hii kufanywa na Pyongyang.

  • Putin: Kuishinikiza Korea ya Kaskazini hakutakuwa na taathira

    Putin: Kuishinikiza Korea ya Kaskazini hakutakuwa na taathira

    Sep 01, 2017 08:06

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameishauri Marekani na waitifaki wake barani Asia kutochukua hatua za kuishinikiza Korea ya Kaskazini na ametoa wito wa mazungumzo ili kuhitimisha mvutano kuhusu miradi ya silaha za nyuklia za nchi hiyo.

  • Korea Kaskazini: Japan inajitafutia matatizo kwa kushirikiana na Marekani

    Korea Kaskazini: Japan inajitafutia matatizo kwa kushirikiana na Marekani

    Aug 31, 2017 08:00

    Serikali ya Pyongyang imetoa tahadhari kwa Japan kwamba, nchi hiyo inajitafutia matatizo kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Marekani na lengo lake la kutaka kusimika ngao ya makombora ya AEGIS nchini humo.

  • Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura

    Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura

    Aug 29, 2017 07:38

    Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuitisha mkutano wa dharura baada ya Korea Kaskazini kuvurumisha kombora lililoruka katika anga yake na kudondoka katika pwani ya kisiwa cha Hokkaido, mashariki mwa Japan.

  • Wakaazi wa kisiwa cha Guam: Tishio halisi kwetu sisi ni Marekani, si Korea Kaskazini

    Wakaazi wa kisiwa cha Guam: Tishio halisi kwetu sisi ni Marekani, si Korea Kaskazini

    Aug 28, 2017 03:58

    Maisha ya wakaazi wa kisiwa cha Guam na usalama wa mazingira ya kisiwa hicho vinakabiliwa na tishio kutokana na kupanuliwa vituo vya kijeshi vya Marekiani kufuatia kushadidi mivutano kati ya nchi hiyo na Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki

    Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki

    Aug 26, 2017 07:01

    Korea Kaskazini imevurumisha makombora matatu ya masafa mafupi ya balistiki kuelekea pwani yake ya kaskazini.

  • Korea Kaskazini: Chokochoko za Marekani zikiongezeka, tutaishambulia bila huruma

    Korea Kaskazini: Chokochoko za Marekani zikiongezeka, tutaishambulia bila huruma

    Aug 20, 2017 16:30

    Kwa mara nyingine serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo kali kwa Marekani kwa kusema kuwa, ikiwa siasa za uhasama na kupenda kujitanua dhidi ya Pyongyang zitaendelea na hatimaye kuisukuma nchi hiyo kuingia katika vita vya nyuklia, basi Washington itakabiliwa na mashambulizi makali.

  • Mwanastratijia wa Trump: Mgogoro wa Korea Kaskazini hauna njia ya utatuzi wa kijeshi

    Mwanastratijia wa Trump: Mgogoro wa Korea Kaskazini hauna njia ya utatuzi wa kijeshi

    Aug 18, 2017 04:06

    Mwanastratijia wa ngazi ya juu wa ikulu ya Marekani (White House) ametoa matamshi yanayopingana na vitisho vya Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya Pyongyang na kusema kuwa, suala la Korea Kaskazini halina njia ya utatuzi wa kijeshi.

  • Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini

    Katibu Mkuu wa UN akerwa na vita vya maneno kati ya US na Korea Kaskazini

    Aug 17, 2017 07:42

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kushtadi vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini na kusema kuwa, kuna haja ya pande mbili hizo kukumbatia diplomasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS