-
Korea Kaskazini: Kitendo cha Japan cha kurusha satalaiti ya ujasusi angani, ni hujuma dhidi yetu
Mar 23, 2017 15:55Serikali ya Korea Kaskazini imelaani hatua ya Japan ya kurusha angani satalaiti ya ujasusi na kuitaja kuwa ni hujuma dhidi yake.
-
Marekani: Chaguo la kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini lipo mezani
Mar 18, 2017 07:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Washington haitavumilia tena chokochoko za Korea Kaskazini na ikibidi, US itashambulia kijeshi Pyongyang.
-
Jeshi la Korea Kusini: Tumejiweka tayari na hujuma yoyote baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye
Mar 10, 2017 13:20Jeshi la Korea Kusini limetangaza utayarifu wake kutokana na hujuma yoyote tarajiwa ya Korea Kaskazini, baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.
-
Mahakama yamuondoa madarakani rais wa Korea Kusini
Mar 10, 2017 07:51Mahakama ya Katiba ya Korea Kusini imeafiki uamuzi wa bunge wa kumuondoa madarakani rais wa taifa hilo Park Geun-hye.
-
Japan: Ni lazima tujiandae kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya Korea Kaskazini
Mar 09, 2017 07:58Waziri wa zamani wa Ulinzi Japan ametaka kuimarishwa uwezo wa kijeshi kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya Korea Kaskazini.
-
Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana
Mar 07, 2017 07:17Washington imeanza kutuma nchini Korea Kusini mfumo wa ulinzi wa makombora wa THAAD, baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, jaribio lake la hivi punde la makombora ni maandalizi kwa ajili ya kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Japan.
-
Marekani: Tupo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kuwalinda marafiki zetu
Feb 17, 2017 04:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, ikiwa italazimu, Washington ipo tayari kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Korea Kaskazini, kwa ajili ya kuwalinda marafiki zake wa Japan na Korea Kusini.
-
Korea Kaskazini yaonya dhidi ya chokochoko za serikali mpya ya Trump
Feb 02, 2017 13:57Serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo kali juu ya chokochoko za Marekani katika serikali mpya ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Korea Kaskazini yaitaka UN kuunda tume ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa dhidi yake
Jan 12, 2017 14:37Korea Kaskazini imetoa pendekezo kwa Umoja wa Mataifa la kuundwa tume ya kimataifa itakayowajumuisha wataalamu wa sheria kwa ajili ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa na Baraza la Usalama katika kuhalalisha vikwazo dhidi yake kwa tuhuma za kumiliki silaha za nyuklia au makombora ya balestiki.
-
Korea Kaskazini yamwandikia barua katibu mkuu mpya kushitakia vikwazo
Jan 07, 2017 15:48Serikali ya Korea Kaskazini imemwandikia barua António Guterres, Katibu Mkuu Mpya wa Umoja wa Mataifa ikilalamikia hatua ya kuongezwa vikwazo vya umoja huo dhidi yake.