-
Korea Kaskazini yaitaka UN kuunda tume ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa dhidi yake
Jan 12, 2017 11:07Korea Kaskazini imetoa pendekezo kwa Umoja wa Mataifa la kuundwa tume ya kimataifa itakayowajumuisha wataalamu wa sheria kwa ajili ya kuchunguza maazimio yaliyopitishwa na Baraza la Usalama katika kuhalalisha vikwazo dhidi yake kwa tuhuma za kumiliki silaha za nyuklia au makombora ya balestiki.
-
Korea Kaskazini yamwandikia barua katibu mkuu mpya kushitakia vikwazo
Jan 07, 2017 12:18Serikali ya Korea Kaskazini imemwandikia barua António Guterres, Katibu Mkuu Mpya wa Umoja wa Mataifa ikilalamikia hatua ya kuongezwa vikwazo vya umoja huo dhidi yake.
-
Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini
Jan 06, 2017 01:18Viongozi wa Korea Kusini wameanzisha kikosi maalumu cha kijeshi chenye wadhifa wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, endapo kutajiri vita baina ya nchi mbili.
-
Korea kusini kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na Korea Kaskazini
Nov 27, 2016 23:18Vyombo vya serikali ya Korea Kusini vimetangaza kuwa, kufuatia kushadidi vitisho vya silaha za nyuklia na makombora ya Korea Kaskazini, Seoul haina njia nyingine ghairi ya kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi.
-
Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote
Nov 23, 2016 01:28Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini ametoa indhari kali kwa nchi jirani ya Korea Kaskazini akiitaka isithubutu kufanya hujuma yoyote dhidi yake.
-
Korea Kaskazini: Tumejiandaa kutoa jibu kali kwa chokochoko za Marekani
Sep 16, 2016 03:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini amesema kuwa, nchi yake imejiandaa kutoa jibu kali kwa vitisho vya Marekani.
-
Siasa za nyuso mbili za Marekani na majaribio ya nyuklia ya Korea Kaskazini
Sep 11, 2016 01:37Rais Barack Obama wa Marekani ameonesha kukasirishwa sana na hatua ya Korea Kaskazini ya kufanya majaribio ya tano ya nyuklia, huku viongozi wa Pyongyang wakisema kuwa, wamefanya majaribio hayo ili kujibu siasa za kiuadui za Marekani na waitifaki wake dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kusini na Marekani zaweka mikakati ya kukabiliana na Korea Kaskazini
Aug 29, 2016 09:35Marekani na Korea Kusini zimetangaza kuanzisha mkakati mpya kwa ajili ya kukabiliana na majiribio ya makombora ya Korea Kaskazini.
-
Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini
May 30, 2016 00:04Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema karibuni hivi nchi yake itasitisha ushirikiano wa kijeshi na kiusalama na Korea Kaskazini.
-
Askari wa UN: Tutaendelea kusimamia amani nchini Mali
May 21, 2016 03:16Mkuu wa kikosi cha askari wa Umoja wa Mataifa wa kusimamia amani nchini Mali, amesisitizia azma ya askari hao ya kuendeleza operesheni za kudumisha usalama na amani nchini humo.