-
Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini
Jan 06, 2017 04:48Viongozi wa Korea Kusini wameanzisha kikosi maalumu cha kijeshi chenye wadhifa wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, endapo kutajiri vita baina ya nchi mbili.
-
Korea kusini kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na Korea Kaskazini
Nov 28, 2016 02:48Vyombo vya serikali ya Korea Kusini vimetangaza kuwa, kufuatia kushadidi vitisho vya silaha za nyuklia na makombora ya Korea Kaskazini, Seoul haina njia nyingine ghairi ya kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi.
-
Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote
Nov 23, 2016 04:58Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini ametoa indhari kali kwa nchi jirani ya Korea Kaskazini akiitaka isithubutu kufanya hujuma yoyote dhidi yake.
-
Korea Kaskazini: Tumejiandaa kutoa jibu kali kwa chokochoko za Marekani
Sep 16, 2016 07:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini amesema kuwa, nchi yake imejiandaa kutoa jibu kali kwa vitisho vya Marekani.
-
Siasa za nyuso mbili za Marekani na majaribio ya nyuklia ya Korea Kaskazini
Sep 11, 2016 06:07Rais Barack Obama wa Marekani ameonesha kukasirishwa sana na hatua ya Korea Kaskazini ya kufanya majaribio ya tano ya nyuklia, huku viongozi wa Pyongyang wakisema kuwa, wamefanya majaribio hayo ili kujibu siasa za kiuadui za Marekani na waitifaki wake dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kusini na Marekani zaweka mikakati ya kukabiliana na Korea Kaskazini
Aug 29, 2016 14:05Marekani na Korea Kusini zimetangaza kuanzisha mkakati mpya kwa ajili ya kukabiliana na majiribio ya makombora ya Korea Kaskazini.
-
Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini
May 30, 2016 04:34Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema karibuni hivi nchi yake itasitisha ushirikiano wa kijeshi na kiusalama na Korea Kaskazini.
-
Askari wa UN: Tutaendelea kusimamia amani nchini Mali
May 21, 2016 07:46Mkuu wa kikosi cha askari wa Umoja wa Mataifa wa kusimamia amani nchini Mali, amesisitizia azma ya askari hao ya kuendeleza operesheni za kudumisha usalama na amani nchini humo.
-
DRC: Madai kuwa tumepokea silaha kutoka Korea Kaskazini ni kichekesho
May 16, 2016 07:50Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imepuuzilia mbali ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa iliyodai kuwa nchi hiyo imekuwa ikipokea silaha kutoka Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Tukishambuliwa; tutatumia silaha za nyuklia kujilinda
May 08, 2016 14:02Kiongozi wa Korea ya Kaskazini amesema kuwa, nchi yake haitatumia silaha za nyuklia lakini endapo itashambuliwa, basi itatumia silaha hizo kwa ajili ya kujilinda.