Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini

    Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini

    Jan 06, 2017 04:48

    Viongozi wa Korea Kusini wameanzisha kikosi maalumu cha kijeshi chenye wadhifa wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, endapo kutajiri vita baina ya nchi mbili.

  • Korea kusini kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na Korea Kaskazini

    Korea kusini kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na Korea Kaskazini

    Nov 28, 2016 02:48

    Vyombo vya serikali ya Korea Kusini vimetangaza kuwa, kufuatia kushadidi vitisho vya silaha za nyuklia na makombora ya Korea Kaskazini, Seoul haina njia nyingine ghairi ya kuimarisha mfumo wake wa kiulinzi.

  • Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote

    Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote

    Nov 23, 2016 04:58

    Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini ametoa indhari kali kwa nchi jirani ya Korea Kaskazini akiitaka isithubutu kufanya hujuma yoyote dhidi yake.

  • Korea Kaskazini: Tumejiandaa kutoa jibu kali kwa chokochoko za Marekani

    Korea Kaskazini: Tumejiandaa kutoa jibu kali kwa chokochoko za Marekani

    Sep 16, 2016 07:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini amesema kuwa, nchi yake imejiandaa kutoa jibu kali kwa vitisho vya Marekani.

  • Siasa za nyuso mbili za Marekani na majaribio ya nyuklia ya Korea Kaskazini

    Siasa za nyuso mbili za Marekani na majaribio ya nyuklia ya Korea Kaskazini

    Sep 11, 2016 06:07

    Rais Barack Obama wa Marekani ameonesha kukasirishwa sana na hatua ya Korea Kaskazini ya kufanya majaribio ya tano ya nyuklia, huku viongozi wa Pyongyang wakisema kuwa, wamefanya majaribio hayo ili kujibu siasa za kiuadui za Marekani na waitifaki wake dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Korea Kusini na Marekani zaweka mikakati ya kukabiliana na Korea Kaskazini

    Korea Kusini na Marekani zaweka mikakati ya kukabiliana na Korea Kaskazini

    Aug 29, 2016 14:05

    Marekani na Korea Kusini zimetangaza kuanzisha mkakati mpya kwa ajili ya kukabiliana na majiribio ya makombora ya Korea Kaskazini.

  • Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini

    Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini

    May 30, 2016 04:34

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema karibuni hivi nchi yake itasitisha ushirikiano wa kijeshi na kiusalama na Korea Kaskazini.

  • Askari wa UN: Tutaendelea kusimamia amani nchini Mali

    Askari wa UN: Tutaendelea kusimamia amani nchini Mali

    May 21, 2016 07:46

    Mkuu wa kikosi cha askari wa Umoja wa Mataifa wa kusimamia amani nchini Mali, amesisitizia azma ya askari hao ya kuendeleza operesheni za kudumisha usalama na amani nchini humo.

  • DRC: Madai kuwa tumepokea silaha kutoka Korea Kaskazini ni kichekesho

    DRC: Madai kuwa tumepokea silaha kutoka Korea Kaskazini ni kichekesho

    May 16, 2016 07:50

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imepuuzilia mbali ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa iliyodai kuwa nchi hiyo imekuwa ikipokea silaha kutoka Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini: Tukishambuliwa; tutatumia silaha za nyuklia kujilinda

    Korea Kaskazini: Tukishambuliwa; tutatumia silaha za nyuklia kujilinda

    May 08, 2016 14:02

    Kiongozi wa Korea ya Kaskazini amesema kuwa, nchi yake haitatumia silaha za nyuklia lakini endapo itashambuliwa, basi itatumia silaha hizo kwa ajili ya kujilinda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS