-
Korea Kusini yadai kuwa, Korea Kaskazini imemtusi rais wao
Mar 10, 2016 02:46Jeshi la Korea Kusini limeituhumu Korea Kaskazini kwa kutuma vipeperushi inavyodai kuwa, vimemvunjia heshima Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.
-
Washington Post: Marekani inajitayarisha kuishambulia Korea ya Kaskazini
Mar 07, 2016 16:18Gazeti moja linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa Marekani na Korea ya Kusini zinafanya mazoezi katika maneva yao pamoja kwa ajili ya kuvishambulia vituo vya nyuklia vya Korea ya Kaskazini.
-
Korea Kaskazini yajiandaa kufanyia majaribio kombora jipya la balestiki
Feb 05, 2016 07:24Televisheni ya Japan imetangaza kuwa, Korea Kaskazini imejiandaa kwa ajili ya kufyatua kombora jipya la balestiki.