Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Jeshi la Korea Kusini: Tumejiweka tayari na hujuma yoyote baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye

    Jeshi la Korea Kusini: Tumejiweka tayari na hujuma yoyote baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye

    Mar 10, 2017 13:20

    Jeshi la Korea Kusini limetangaza utayarifu wake kutokana na hujuma yoyote tarajiwa ya Korea Kaskazini, baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.

  • Mahakama yamuondoa madarakani rais wa Korea Kusini

    Mahakama yamuondoa madarakani rais wa Korea Kusini

    Mar 10, 2017 07:51

    Mahakama ya Katiba ya Korea Kusini imeafiki uamuzi wa bunge wa kumuondoa madarakani rais wa taifa hilo Park Geun-hye.

  • Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana

    Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana

    Mar 07, 2017 07:17

    Washington imeanza kutuma nchini Korea Kusini mfumo wa ulinzi wa makombora wa THAAD, baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, jaribio lake la hivi punde la makombora ni maandalizi kwa ajili ya kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Japan.

  • Mfumo wa makombora wa THAD, sababu ya mgawanyiko kisiasa nchini Korea Kusini

    Mfumo wa makombora wa THAD, sababu ya mgawanyiko kisiasa nchini Korea Kusini

    Jan 06, 2017 04:49

    Safari ya ujumbe wa chama cha Demokrasia, ambacho ni chama kikuu cha upinzani nchini Korea Kusini huko Uchina, imebainisha kwamba, kadhia ya mfumo wa makombora wa THAD katika siasa za ndani na nje za Korea Kusini, inaweza kuwa na taathira muhimu katika mwenendo wa mabadiliko yajayo ndani ya taifa hilo.

  • Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini

    Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini

    Jan 06, 2017 04:48

    Viongozi wa Korea Kusini wameanzisha kikosi maalumu cha kijeshi chenye wadhifa wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, endapo kutajiri vita baina ya nchi mbili.

  • China yaonya kuhusu makubaliano ya kijeshi kati ya Japan na Korea Kusini

    China yaonya kuhusu makubaliano ya kijeshi kati ya Japan na Korea Kusini

    Nov 25, 2016 04:56

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetoa tahadhari juu ya makubaliano ya kijeshi baina ya Japan na Korea Kusini.

  • Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote

    Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote

    Nov 23, 2016 04:58

    Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini ametoa indhari kali kwa nchi jirani ya Korea Kaskazini akiitaka isithubutu kufanya hujuma yoyote dhidi yake.

  • Korea Kusini yapasisha pendekezo la kununua ndege za kivita 40 kuikabili K/Kaskazini

    Korea Kusini yapasisha pendekezo la kununua ndege za kivita 40 kuikabili K/Kaskazini

    Nov 18, 2016 14:55

    Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa, imepasisha pendekezo la kununua ndege za kivita 40 aina ya F 35 kutoka Marekani kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya jirani yake Korea Kaskazini.

  • Duru ya pili ya maandamano makubwa ya raia wa Korea Kusini dhidi ya Rais Park Geun-hye

    Duru ya pili ya maandamano makubwa ya raia wa Korea Kusini dhidi ya Rais Park Geun-hye

    Nov 12, 2016 14:22

    Maelfu ya raia wa Korea Kusini wameanzisha duru ya pili ya maandamano makubwa dhidi ya Rais dhidi ya Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.

  • Marekani na Korea Kusini zaanza luteka ya pamoja ya kijeshi Peninsula ya Korea

    Marekani na Korea Kusini zaanza luteka ya pamoja ya kijeshi Peninsula ya Korea

    Nov 08, 2016 15:38

    Marekani na Korea Kusini zimeanza kufanya maneva ya pamoja ya kijeshi kaskazini mwa Korea Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS