Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Maelfu ya raia wa Korea Kusini waandamana kumtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu

    Maelfu ya raia wa Korea Kusini waandamana kumtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu

    Nov 06, 2016 02:47

    Makumi ya maelfu ya raia wa Korea Kusini Jumamosi ya jana walifanya maandamano makubwa mjini Seoul, mji mkuu wa nchi hiyo wakimtaka Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo kuondoka madarakani mara moja.

  • China: US isitishe mara moja mpango wake wa kuweka ngao ya makombora Korea Kusini

    China: US isitishe mara moja mpango wake wa kuweka ngao ya makombora Korea Kusini

    Nov 05, 2016 13:00

    Kwa mara nyingine serikali ya China imeonyesha upinzani wake kwa hatua ya Marekani ya kutaka kuweka ngao ya kujilinda kwa makombora aina ya Thaad nchini Korea Kusini.

  • Malalamiko ya raia wa Korea Kusini juu ya kuwekwa ngao ya makombora ya Marekani

    Malalamiko ya raia wa Korea Kusini juu ya kuwekwa ngao ya makombora ya Marekani

    Oct 03, 2016 11:50

    Wakazi wa mkoa wa Gimcheon, kaskazini mwa Korea Kusini, wamefanya maandamano katika kulalamikia ngao ya makombora aina ya THAAD ya Marekani karibu na mji huo.

  • Korea Kusini: Korea Kaskazini inajiandaa kufanya jaribio jingine la silaha za nyuklia

    Korea Kusini: Korea Kaskazini inajiandaa kufanya jaribio jingine la silaha za nyuklia

    Sep 28, 2016 14:01

    Waziri wa Umoja wa Korea Kusini amesema kuwa, hivi sasa serikali ya Korea Kaskazini inajiandaa kufanya jaribio jingine la silaha za nyuklia.

  • Rais Park Geun-hye: Vitisho vya Korea Kaskazini vinatia wasiwasi

    Rais Park Geun-hye: Vitisho vya Korea Kaskazini vinatia wasiwasi

    Sep 25, 2016 04:16

    Rais Park Geun-hye wa Korea Kusini amesema kuwa, vitisho vya nchi jirani ya Korea Kaskazini ni halisi na vinatia wasiwasi mkubwa.

  • Korea Kusini yaitaka China na Russia kupitisha azimio kali dhidi ya hasimu wake Korea Kaskazini

    Korea Kusini yaitaka China na Russia kupitisha azimio kali dhidi ya hasimu wake Korea Kaskazini

    Sep 14, 2016 15:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini Yun Byung-se ameitaka Russia na China kuafiki azimio kali katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya jirani yake Korea Kaskazini.

  • Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini

    Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini

    May 30, 2016 04:34

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema karibuni hivi nchi yake itasitisha ushirikiano wa kijeshi na kiusalama na Korea Kaskazini.

  • Tuhuma mpya za Korea Kaskazini dhidi ya jirani yake Korea Kusini

    Tuhuma mpya za Korea Kaskazini dhidi ya jirani yake Korea Kusini

    May 29, 2016 12:49

    Sanjari na Korea Kaskazini kukariri vitisho vyake vya kushambulia meli na nyambizi za Korea Kusini, imeituhumu nchi hiyo kwa kufanya njama dhidi yake.

  • Iran, Korea Kusini zasaini mikataba 19 ya ushirikiano

    Iran, Korea Kusini zasaini mikataba 19 ya ushirikiano

    May 02, 2016 16:48

    Iran na Korea Kusini leo zimetiliana saini mikataba 19 ya kuimarisha uhusiano katika nyanja mbali mbali.

  • Rais Rouhani ampokea rasmi Rais wa Korea Kusini katika ikulu ya Sa'dabad

    Rais Rouhani ampokea rasmi Rais wa Korea Kusini katika ikulu ya Sa'dabad

    May 02, 2016 07:50

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran asubuhi ya leo amempokea rasmi katika ikulu ya Sa'dabad Bi Park Geun-hye Rais wa Korea Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS