Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Wananchi wa Korea Kusini waandamana kupinga ngao ya Marekani ya THAAD

    Wananchi wa Korea Kusini waandamana kupinga ngao ya Marekani ya THAAD

    Jun 25, 2022 03:04

    Kwa mara nyingine wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano kupinga mpango wa kusimikwa ngao ya makombora ya kisasa ya Marekani aina ya THAAD ndani ya nchi yao.

  • Maandamano ya kupinga safari ya Biden Korea Kusini

    Maandamano ya kupinga safari ya Biden Korea Kusini

    May 22, 2022 17:03

    Wanachama wa baadhi ya vyama na mashirika ya kiraia wamekusanyika mjini Seoul kupinga ziara ya Rais Joe Biden wa Marekani nchini Korea Kusini.

  • Wanaharakati wa asasi za kiraia Korea Kusini waandamana kupinga safari ya Biden

    Wanaharakati wa asasi za kiraia Korea Kusini waandamana kupinga safari ya Biden

    May 21, 2022 12:29

    Baadhi ya wanaharakati wa asasi mashuhuri za kiraia nchini Korea Kusini wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo Seoul kupinga safari ya Rais Joe Biden wa Marekani nchini humo.

  • Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara

    Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara

    Mar 24, 2022 13:19

    Korea Kusini na Japan zimesema, Korea Kaskazini imefanyia majaribio kile kinachoshukiwa kuwa ni kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara.

  • Iran: Korea Kusini lazima itulipe deni letu

    Iran: Korea Kusini lazima itulipe deni letu

    Jan 07, 2022 03:34

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa na kiongozi wa ujumbe wa Iran katika mazungumzo ya Vienna amesema Korea Kusini haina chaguo jingine isipokuwa kutekeleza wajibu wake na kuilipa Jamhuri ya Kiislamu deni lake.

  • Khatibzadeh: Iran haiwezi kuwa mateka wa mashinikizo bandia ya watu walioshindwa

    Khatibzadeh: Iran haiwezi kuwa mateka wa mashinikizo bandia ya watu walioshindwa

    Jan 11, 2021 12:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran ikiwa serikali husika katika fremu ya ufundi na uchukuaji maamuzi kwa kujitegemea ndio inayopaswa kutoa majibu ya tukio la kuanguka ndege ya Ukraine katika anga ya taifa hili na kwamba, katu haitakubali kuwa mateka wa siasa na mashinikizo ya bandia ya pande zilizoshindwa.

  • Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea

    Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea

    Aug 28, 2020 10:12

    Takriban ni miongo 7 sasa ambapo Marekani ina wanajeshi wake katika Rasi ya Korea. Licha ya kufanyika mazungumzo mara kadhaa baina ya viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kuhusu kupokonywa silaha za nyuklia Pyongyang lakini mgogoro wa Korea mbili bado uko vile vile. Si hayo tu lakini rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anataka kupunguzwa idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo huko Korea Kusini, suala ambalo limezusha mzozo mpya.

  • Waziri wa Umoja Korea Kusini ajiuzulu huku mgogoro na Korea Kaskazini ukishadidi

    Waziri wa Umoja Korea Kusini ajiuzulu huku mgogoro na Korea Kaskazini ukishadidi

    Jun 19, 2020 02:34

    Kufuatia kushadidi mgogoro baina ya Korea Kusini na Korea Kaskazini, Waziri wa Umoja wa Korea Kusini amejiuzulu. Wizara ya Umoja wa Korea Kusini hushughulikia jitihada za kujaribu kuziunganisha tena nchi hizo mbili.

  • Mvutano usio wa kawaida katika Rasi ya Korea

    Mvutano usio wa kawaida katika Rasi ya Korea

    Jun 17, 2020 07:16

    Kufuatia kuongezeka mvutano kati ya Korea mbili, Korea Kaskazini imelipua ofisi ya masuala ya kiutamaduni iliyoanzishwa kwa ajili ya kuimarisha mawasiliano ya nchi mbili katika eneo la viwanda la Kaye Sung.

  • Kuendelea hitilafu za Seoul na Washington juu ya ongezeko la gharama za askari wa Marekani walio Korea Kusini

    Kuendelea hitilafu za Seoul na Washington juu ya ongezeko la gharama za askari wa Marekani walio Korea Kusini

    May 03, 2020 09:20

    Ofisi ya Rais wa Korea Kusini imesisitiza kuwa hadi sasa hakujafikiwa mapatano yoyote kuhusiana na ongezeko la fedha za kudhamini kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS