-
Wananchi wa Korea Kusini waandamana kupinga ngao ya Marekani ya THAAD
Jun 25, 2022 03:04Kwa mara nyingine wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano kupinga mpango wa kusimikwa ngao ya makombora ya kisasa ya Marekani aina ya THAAD ndani ya nchi yao.
-
Maandamano ya kupinga safari ya Biden Korea Kusini
May 22, 2022 17:03Wanachama wa baadhi ya vyama na mashirika ya kiraia wamekusanyika mjini Seoul kupinga ziara ya Rais Joe Biden wa Marekani nchini Korea Kusini.
-
Wanaharakati wa asasi za kiraia Korea Kusini waandamana kupinga safari ya Biden
May 21, 2022 12:29Baadhi ya wanaharakati wa asasi mashuhuri za kiraia nchini Korea Kusini wamekusanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo Seoul kupinga safari ya Rais Joe Biden wa Marekani nchini humo.
-
Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara
Mar 24, 2022 13:19Korea Kusini na Japan zimesema, Korea Kaskazini imefanyia majaribio kile kinachoshukiwa kuwa ni kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara.
-
Iran: Korea Kusini lazima itulipe deni letu
Jan 07, 2022 03:34Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa na kiongozi wa ujumbe wa Iran katika mazungumzo ya Vienna amesema Korea Kusini haina chaguo jingine isipokuwa kutekeleza wajibu wake na kuilipa Jamhuri ya Kiislamu deni lake.
-
Khatibzadeh: Iran haiwezi kuwa mateka wa mashinikizo bandia ya watu walioshindwa
Jan 11, 2021 12:12Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran ikiwa serikali husika katika fremu ya ufundi na uchukuaji maamuzi kwa kujitegemea ndio inayopaswa kutoa majibu ya tukio la kuanguka ndege ya Ukraine katika anga ya taifa hili na kwamba, katu haitakubali kuwa mateka wa siasa na mashinikizo ya bandia ya pande zilizoshindwa.
-
Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea
Aug 28, 2020 10:12Takriban ni miongo 7 sasa ambapo Marekani ina wanajeshi wake katika Rasi ya Korea. Licha ya kufanyika mazungumzo mara kadhaa baina ya viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kuhusu kupokonywa silaha za nyuklia Pyongyang lakini mgogoro wa Korea mbili bado uko vile vile. Si hayo tu lakini rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anataka kupunguzwa idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo huko Korea Kusini, suala ambalo limezusha mzozo mpya.
-
Waziri wa Umoja Korea Kusini ajiuzulu huku mgogoro na Korea Kaskazini ukishadidi
Jun 19, 2020 02:34Kufuatia kushadidi mgogoro baina ya Korea Kusini na Korea Kaskazini, Waziri wa Umoja wa Korea Kusini amejiuzulu. Wizara ya Umoja wa Korea Kusini hushughulikia jitihada za kujaribu kuziunganisha tena nchi hizo mbili.
-
Mvutano usio wa kawaida katika Rasi ya Korea
Jun 17, 2020 07:16Kufuatia kuongezeka mvutano kati ya Korea mbili, Korea Kaskazini imelipua ofisi ya masuala ya kiutamaduni iliyoanzishwa kwa ajili ya kuimarisha mawasiliano ya nchi mbili katika eneo la viwanda la Kaye Sung.
-
Kuendelea hitilafu za Seoul na Washington juu ya ongezeko la gharama za askari wa Marekani walio Korea Kusini
May 03, 2020 09:20Ofisi ya Rais wa Korea Kusini imesisitiza kuwa hadi sasa hakujafikiwa mapatano yoyote kuhusiana na ongezeko la fedha za kudhamini kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini humo.