Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufa shahidi - kuuawa shahidi

  • Wapalestina wawili wauawa shahidi katika maandamano ya tatu ya

    Wapalestina wawili wauawa shahidi katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga uamuzi wa Trump

    Dec 23, 2017 02:43

    Wapalestina wawili wameuliwa shahidi na makumi ya wengine wamejeruhiwa huko Ukanda wa Gaza katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga na kulaani uamuzi wa rais wa Marekani wa kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa Israel.

  • Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Nov 06, 2017 09:24

    Askari wa Nigeria wameuhujumu msafara wa waumini waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS katika jimbo la Kano na kuwaua shahidi Waislamu wawili wa madehehbu ya Shia.

  • Iran yalaani mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Iran yalaani mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Oct 31, 2017 06:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la jana la ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza lililouwa shahidi wanamapambano kadhaa wa Palestina.

  • Wanajeshi wa Israel wazuia sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa

    Wanajeshi wa Israel wazuia sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jul 21, 2017 13:36

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka vizingiti chungu nzima kuwazuia Wapalestina kusali sala ya Ijumaa katika msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu huku kijana wa Kiplaestina akifyatuliwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Israel.

  • Waislamu wakumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume, Imam Sadiq (as)

    Waislamu wakumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume, Imam Sadiq (as)

    Jul 20, 2017 04:51

    Waislamu kote duniani hususan wafuasi na wapenzi wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad (saw) leo tarehe 25 Mfunguo Mosi Shawwali wanakumbuka na kuombeleza tukio chungu la kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume huyo wa Mwenyezi Mungu, Imam Ja'far Sadiq (as).

  • Wanajeshi wa Israel wawaua shahidi vijana wanne Wapalestina

    Wanajeshi wa Israel wawaua shahidi vijana wanne Wapalestina

    Jun 17, 2017 07:16

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua vijana wanne Wapalestina.

  • Waislamu kote dunia wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti wa Mtume Muhammad (saw), Fatima (as)

    Waislamu kote dunia wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti wa Mtume Muhammad (saw), Fatima (as)

    Mar 02, 2017 04:51

    Waislamu duniani hususan wafuasi wa wapenzi wa Watu wa Nyumba tukufu ya Mtume wetu Muhammad (saw) leo wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti kipenzi wa Mtume Muhammad (saw) Bibi Fatima Zahra (as) aliyeaga dunia katika siku kama hii ya leo tarehe 3 Jamadithani mwaka wa 11 Hijria.

  • Mashambulio ya Saudia yaua wanafunzi wanane katika mji mkuu wa Yemen

    Mashambulio ya Saudia yaua wanafunzi wanane katika mji mkuu wa Yemen

    Jan 10, 2017 16:28

    Wanafunzi wanane wameuliwa shahidi katika mashambulio mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mji mkuu wa Yemen Sanaá.

  • Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi kijana Mpalestina huko Ramallah

    Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi kijana Mpalestina huko Ramallah

    Dec 18, 2016 07:36

    Kijana mmoja Mpalestina ameuawa shahidi katika hujuma ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu

    Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu

    Sep 05, 2016 07:26

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kumuua shahidi kijana Mpalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS