-
Wapalestina wawili wauawa shahidi katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga uamuzi wa Trump
Dec 23, 2017 02:43Wapalestina wawili wameuliwa shahidi na makumi ya wengine wamejeruhiwa huko Ukanda wa Gaza katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga na kulaani uamuzi wa rais wa Marekani wa kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa Israel.
-
Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS
Nov 06, 2017 09:24Askari wa Nigeria wameuhujumu msafara wa waumini waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS katika jimbo la Kano na kuwaua shahidi Waislamu wawili wa madehehbu ya Shia.
-
Iran yalaani mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza
Oct 31, 2017 06:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la jana la ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza lililouwa shahidi wanamapambano kadhaa wa Palestina.
-
Wanajeshi wa Israel wazuia sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa
Jul 21, 2017 13:36Utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka vizingiti chungu nzima kuwazuia Wapalestina kusali sala ya Ijumaa katika msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu huku kijana wa Kiplaestina akifyatuliwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Israel.
-
Waislamu wakumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume, Imam Sadiq (as)
Jul 20, 2017 04:51Waislamu kote duniani hususan wafuasi na wapenzi wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad (saw) leo tarehe 25 Mfunguo Mosi Shawwali wanakumbuka na kuombeleza tukio chungu la kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume huyo wa Mwenyezi Mungu, Imam Ja'far Sadiq (as).
-
Wanajeshi wa Israel wawaua shahidi vijana wanne Wapalestina
Jun 17, 2017 07:16Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua vijana wanne Wapalestina.
-
Waislamu kote dunia wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti wa Mtume Muhammad (saw), Fatima (as)
Mar 02, 2017 04:51Waislamu duniani hususan wafuasi wa wapenzi wa Watu wa Nyumba tukufu ya Mtume wetu Muhammad (saw) leo wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti kipenzi wa Mtume Muhammad (saw) Bibi Fatima Zahra (as) aliyeaga dunia katika siku kama hii ya leo tarehe 3 Jamadithani mwaka wa 11 Hijria.
-
Mashambulio ya Saudia yaua wanafunzi wanane katika mji mkuu wa Yemen
Jan 10, 2017 16:28Wanafunzi wanane wameuliwa shahidi katika mashambulio mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mji mkuu wa Yemen Sanaá.
-
Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi kijana Mpalestina huko Ramallah
Dec 18, 2016 07:36Kijana mmoja Mpalestina ameuawa shahidi katika hujuma ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu
Sep 05, 2016 07:26Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kumuua shahidi kijana Mpalestina.