-
Mauritania yakanusha kiuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni
Mar 15, 2023 11:06Serikali ya Mauritania imekanusha madai ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa inafanya nao mashauriano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida wa kidiplomasia.
-
Russia: Madai kuwa Iran ilituomba tuiuzie ngao ya S-400 ni uvumi mtupu
Jun 08, 2019 02:17Naibu Waziri Mkuu wa Russia katika Masuala ya Ulinzi amesema kwamba, Moscow haijapata ombi kutoka Iran la kuiuzia ngao ya makombora ya S-400.
-
Qatar: Saudi Arabia inaitumia Hija kwa malengo ya kisiasa
Aug 01, 2017 08:13Wizara ya Waqfu na Masuaia ya Kiislamu ya Qatar imeituhumu Saudi Arabia kuwa inaitumia vibaya ibada ya Hija kwa malengo yake ya kisiasa.
-
Iran yakanusha madai ya kukataa kutuma mahujaji mwaka huu
Jan 04, 2017 16:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha madai yanayosema kuwa, Tehran imekataa kutuma mahujaji wake mwaka huu na kusema kuwa madai hayo hayana ukweli wowote.
-
Ikhwanul Muslimin yakanusha kutaka maridhiano na serikali ya Misri
Mar 01, 2016 15:45Katibu Mkuu wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri amekanusha kutolewa ombi lolote na harakati hiyo la kutaka ufanyike usuluhishi baina yake na utawala wa sasa wa nchi hiyo.