-
Maiti zazagaa barabarani, hospitali zaelemewa na majeruhi huku mapigano yakishtadi Goma, DRC
Jan 29, 2025 00:05Mapigano makali yanaendele kati ya wapiganaji wa M23 na wanajeshi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC katika mji wa Goma mashariki mwa nchi hiyo huku yakiacha maiti nyingi zikiwa zimezagaa mitaani, na hospitali nazo zikielemewa na ongezeko la majeruhi.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kusimama imara; njia ya kukabiliana na maadui
Oct 13, 2022 08:14Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametaja ghasia na machafuko yaliyoenea katika maeneo mbalimbali hapa nchini kuwa ni mpango usio wa kawaida na wa fedheha wa adui mkabala wa maendeleo na harakati za ubunifu na kubwa za taifa la Iran na kwamba, njia ya kukabiliana na maadui ni kusimama imara.
-
Rouhani: Umoja wa Wairani ni jibu imara kwa matamshi ya kipuuzi ya viongozi wa Marekani
Jul 25, 2018 08:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vitisho hewa na visivyo na msingi vya baadhi ya viongozi wa Marekani havistahili kujibiwa na kueleza kuwa: Kutotetereka, kuwa na umoja na kutojali vitisho na njama za Marekani na kufanya juhudi za kuzisambaratisha njama za maadui, ndiyo jibu lenye nguvu zaidi la taifa la Iran kwa matamshi ya kipuuzi ya watawala wa Marekani.
-
"Maandamano ya Haki ya Kurejea" nembo endelevu ya Wapalestina
Apr 29, 2018 03:01Yahya Sinwar Mwanachama wa Ngazi za Juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesisitiza kuhusu kuendelea "Maandamano ya Haki ya Kurejea" na kusema: "Maandamano makubwa ya Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na ardhi za Palestina zilizokaliwa kwa mabavu na utawala bandia wa Israel mwaka 1948 ni ishara ya kufungamana na haki ya wakimbizi wa Kipalestina kurejea katika ardhi zao.
-
Kiongozi Muadhamu: Imani na ucha-Mungu, ni sababu ya kusimama imara taifa la Iran dhidi ya hujuma za Marekani na Israel
Mar 15, 2018 11:25Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kusimama imara na mafanikio ya Iran katika kukabiliana na hujuma za mrengo mkubwa wa kisiasa, kifedha, kijeshi, kiusalama na kiutamaduni wa Marekani na Israel, kunatokana na baraka za kuwepo imani na ucha-Mungu baina ya matabaka ya wananchi na vijana wa Iran.
-
Sisitizo la kuendeleza muqawama katika mwaka wa 17 wa Intifadha ya al Aqsa
Sep 30, 2017 00:28Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS siku ya Alkhamisi ilitoa tamko na kusema kuwa, muqawama ni chaguo la kiistratijia la wananchi wa Palestina na ni haki ya wananchi hao kwa ajili ya kupambana na wavamizi wa ardhi zao.