-
Matamshi ya Lavrov na EU kufuatia mauaji ya balozi wa Russia mjini Ankara
Dec 20, 2016 11:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, balozi wa nchi hiyo huko Uturuki ameuawa ili kuvuruga mapambano dhidi ya ugaidi nchini Syria.
-
Russia: Magharibi iache kuingilia Mashariki ya Kati
Dec 01, 2016 04:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezitaka nchi za Magharibi ziache kuingilia masuala ya eneo la Mashariki ya Kati.
-
Mawaziri wa kigeni wa Iran na Russia wajadili kadhia ya Syria
Mar 18, 2016 23:09Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazumgumzo ya simu kuhusu usitishwaji vita nchini Russia.
-
Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria
Mar 02, 2016 03:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametaka kuchukuliwe hatua za kuzuia magendo ya silaha kutoka Uturuki kwenda Syria ambako zinatumiwa na makundi ya kigaidi.
-
Lavrov amjibu Kerry kuhusu mustakabali wa Syria
Feb 25, 2016 13:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema nchi yake na Marekani hazitofuatilia chaguo jengine kwa ajili ya Syria.