Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Lebanon yafungua mashtaka dhidi ya kampuni ya Uingereza kwa kuhusika na mlipuko wa Bandari ya Beirut

    Lebanon yafungua mashtaka dhidi ya kampuni ya Uingereza kwa kuhusika na mlipuko wa Bandari ya Beirut

    Aug 25, 2021 08:16

    Lebanon imefungua mashtaka katika mahakama Kuu ya Uingereza mjini London dhidi ya kampuni moja ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuhusika katika mlipuko wa mwaka jana katika Bandari ya Beirut.

  • Rais wa Lebanon: Mnamo siku zijazo zitasikika habari njema za kuundwa serikali

    Rais wa Lebanon: Mnamo siku zijazo zitasikika habari njema za kuundwa serikali

    Aug 24, 2021 02:45

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema, ana matumaini kuwa katika siku zijazo zitatangazwa habari njema kuhusu uundwaji wa serikali ya nchi hiyo.

  • Nafasi ya Marekani katika mgogoro wa sasa nchini Lebanon

    Nafasi ya Marekani katika mgogoro wa sasa nchini Lebanon

    Aug 24, 2021 02:42

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah Jumapili ya juzi tarehe 22 Agosti alitoa hotuba akizungumzia masuala ya ndani ya nchi hiyo na kusema kuwa, Marekani imekuwa na nafasi kubwa katika kuchochea mgogoro wa sasa wa Lebanon.

  • UNIFIL yaikosoa Israel kwa kukiuka mamlaka ya kujitawala Lebanon

    UNIFIL yaikosoa Israel kwa kukiuka mamlaka ya kujitawala Lebanon

    Aug 23, 2021 02:32

    Hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Lebanon wakati wa kuishambulia Syria imekosolewa na Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Mataifa huko Lebanon (UNIFIL)

  • Radiamali kwa hatua ya Iran ya kutuma mafuta Lebanon

    Radiamali kwa hatua ya Iran ya kutuma mafuta Lebanon

    Aug 22, 2021 05:13

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma meli za mafuta huko Lebanon kufuatia kupamba moto mgogoro wa nishati nchini humo.

  • Walebanon wakaribisha hatua ya Hizbullah ya kuagiza mafuta kutoka Iran

    Walebanon wakaribisha hatua ya Hizbullah ya kuagiza mafuta kutoka Iran

    Aug 20, 2021 00:06

    Hotuba ya Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon kuhusu safari ya meli za mafuta kutoka Iran zinazoelekea nchini humo imekaribishwa kwa shangwe na wanasiasa na sehemu kubwa ya wananchi wa Lebanon hususan katika mitandao ya kijamii.

  • Kuondolewa ruzuku ya nishati na duru mpya ya malalamiko ya watu wa Lebanon

    Kuondolewa ruzuku ya nishati na duru mpya ya malalamiko ya watu wa Lebanon

    Aug 13, 2021 23:59

    Uamuzi wa Gavana wa Benki Kuu ya Lebanon wa kufutilia mbali ruzuku ya nishati, umepelekea watu wa nchi hiyo kuanzisha duru mpya ya malalamiko na maandamano ya mitaani.

  • "Muqawama wa Kiislamu utajibu hujuma zote za Israel dhidi ya Lebanon"

    Aug 13, 2021 13:03

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapaswa kufahamu kuwa, muqawama wa Kiislamu utatoa majibu kwa mashambulizi yote ya Tel Aviv dhidi ya Lebanon.

  • Nasrullah: Hizbullah imejiandaa kutoa jibu zito kwa uchokozi wa Israel

    Nasrullah: Hizbullah imejiandaa kutoa jibu zito kwa uchokozi wa Israel

    Aug 08, 2021 07:54

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama haitaki vita, lakini pia haigopi vita kwa kuwa ina uhakika wa kuibuka mshindi iwapo vitaibuka.

  • Shambulio la kijeshi la Israel kusini mwa Lebanon baada ya miaka 15; sababu, malengo na matokeo yake

    Shambulio la kijeshi la Israel kusini mwa Lebanon baada ya miaka 15; sababu, malengo na matokeo yake

    Aug 07, 2021 01:12

    Vyombo ya habari vya Palestina vilitangaza alfajiri ya kuamkia Alkhamisi kwamba ndege za kivita za jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia ngome kadhaa katika eneo la mpaka wa pamoja wa kusini mwa Lebanon na Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS