Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Nujabaa ya Iraq: Tuko tayari kuikomboa Miinuko ya Golan ya Syria

    Nujabaa ya Iraq: Tuko tayari kuikomboa Miinuko ya Golan ya Syria

    Jun 12, 2021 12:38

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Iraq ya al-Nujabaa ambayo ni sehemu ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya nchi hiyo ametangaza utayarifu wa harakati yake kwa ajili ya kuikomboa Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Baada ya kudhalilishwa Gaza, Israel sasa yaitishia vita Lebanon

    Baada ya kudhalilishwa Gaza, Israel sasa yaitishia vita Lebanon

    May 27, 2021 07:50

    Baada ya kudhalilishwa na kushindwa vibaya na kambi ya muqawama katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, utawala wa Kizayuni wa Israel sasa unatishia kuishambulia kijeshi Lebanon.

  • Rais Rouhani: Njia pekee ya kukabiliana na wavamizi ni mapambano

    Rais Rouhani: Njia pekee ya kukabiliana na wavamizi ni mapambano

    May 26, 2021 02:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njia pekee ya kukabiliana na wavamizi, ni mapambano.

  • Rais Rouhani atoa mkono wa pongezi kufuatia maadhimisho ya kukombolewa kusini mwa Lebanon

    Rais Rouhani atoa mkono wa pongezi kufuatia maadhimisho ya kukombolewa kusini mwa Lebanon

    May 25, 2021 08:08

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa pongezi kufuatia kuwadia maadhimisho ya kukombolewa eneo la kusini mwa Lebanon.

  • Makumi ya Walebanon wavuka mpaka na kuingia Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Makumi ya Walebanon wavuka mpaka na kuingia Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    May 15, 2021 04:26

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa makumi ya Walebanon wamevunja uzio wa mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopewa jina la Israel na kuingia katika ardhi hizo kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Waislamu wa Jordan na Lebanon waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wa Quds

    Waislamu wa Jordan na Lebanon waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wa Quds

    Apr 30, 2021 03:17

    Kadiri Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani inavyozidi kukaribia, ndivyo utawala wa Kizayuni wa Israel unavyozidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina.

  • Lebanon; nchi yenye mawaziri wakuu wawili kwa wakati mmoja

    Lebanon; nchi yenye mawaziri wakuu wawili kwa wakati mmoja

    Apr 25, 2021 02:38

    Katika miezi minane iliyopita, Lebanon imekuwa na mawaziri wakuu wawili kwa wakati mmoja. Tarehe 4 Agosti mwaka uliopita mji mkuu wa nchi hiyo Beirut, ulishuhudia mlipuko mkubwa ambao ulipelekea watu karibu 200 kupoteza maisha.

  • Safari ya Hassan Diab nchini Qatar; malengo na umuhimu wake

    Safari ya Hassan Diab nchini Qatar; malengo na umuhimu wake

    Apr 20, 2021 10:55

    Hassan Diab, Waziri Mkuu wa serikali ya mshikizo ya Lebanon Jumapili ya juzi tarehe 18 Aprili aliwasili Doha, mji mkuu wa Qatar ikiwa ni safari yake ya kwanza nje ya nchi tangu ulipoanza mwaka huu wa 2021.

  • Hassan Diab: Lebanon inakaribia kusambaratika

    Hassan Diab: Lebanon inakaribia kusambaratika

    Apr 20, 2021 03:37

    Waziri Mkuu wa muda wa Lebanon amesema ana wasiwasi juu ya hatari ya kusambaratika nchi yake kutokana na migogoro mikubwa iliyojitokeza na ambayo haijaweza kutatuliwa, ukiwemo wa kuunda serikali mpya.

  • Waungaji mkono wa nje wa Hariri ndio chanzo cha kushindwa kwake kuunda serikali ya Lebanon

    Waungaji mkono wa nje wa Hariri ndio chanzo cha kushindwa kwake kuunda serikali ya Lebanon

    Apr 13, 2021 02:52

    Licha ya kupita miezi 6 tokea bunge la Lebanon limpigie kura ya kuwa na imani naye, Saad Hariri ameshindwa kuunda serikali mpya na kwa sasa masuala ya nchi hiyo yanasimamiwa na serikali ya muda inayoongozwa na Hassan Diab.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS