-
Israel inawapa mafunzo ya kijeshi wapiganaji wa Haftar Libya
Dec 08, 2019 08:27Gazeti la Qatar la Al-Araby Al-Jadeed limefichua kuwa, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel linawapa mafunzo ya kijeshi wanamgamboa wa kundi la wapiganaji linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar ambalo linajiita Jeshi la Taifa la Libya.
-
Ugiriki yamtimua balozi wa Libya kulalamikia hati ya maelewano iliyosainiwa kati ya Libya na Uturuki
Dec 06, 2019 23:16Serikali ya Ugiriki imemtimua balozi wa Libya mjini Athens, kufuatia kutiwa saini hati ya maelewano ya ushirikiano wa baharini kati ya Uturuki na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya.
-
Serikali ya Libya yapinga ombi la Haftar la kusimamishwa vita bila ya kuondoka wanamgambo wake
Dec 06, 2019 04:00Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imekataa ombi la jenerali muasi Khalifa Haftar la kusimamishwa vita bila ya wapiganaji wa jenerali huyo kuondoka katika maeneo waliyoyateka. Kundi linaloongozwa na jenerali huyo muasi anayeungwa mkono na Saudia, Imarati, Misri na baadhi ya nchi, linajiita Jeshi la Taifa la Libya.
-
Maandamano ya kupinga vita yafanyika mbele ya balozi za Imarati katika nchi za Ulaya
Dec 03, 2019 04:09Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano hadi mbele ya balozi za Umoja wa Falme za Kiarabu katika nchi kadhaa za Ulaya.
-
Baraza la Usalama lazionya nchi zinazoendelea kumimina silaha Libya
Dec 03, 2019 04:05Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa onyo kali kwa nchi zinazokiuka azimio la baraza hilo na kuendelea kurundika silaha nchini Libya.
-
Vikosi vya Haftar vyaua raia 14 katika mji mkuu wa Libya, Tripoli
Dec 02, 2019 23:53Kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na Khalifa Haftar linatuhumiwa kufanya mashambulizi ya anga katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli ambayo yameua raia 14.
-
Shehena ya silaha kutoka Imarati yawasili nchini Libya
Nov 29, 2019 07:48Duru za habari nchini Misri zimeelezea kuwasili nchini Libya shehena ya silaha kutoka Imarati.
-
UN yakanusha kuwatendea maovu wahajiri walioko Libya
Nov 29, 2019 03:49Umoja wa Mataifa umekadhibisha ripoti zinazodai kuwa wafanyakazi wa taasisi hiyo ya kimataifa wamewatendea isivyo wahajiri walioko katika kambi za wakimbizi nchini Libya.
-
Wapiganaji wa Haftar watungua drone ya Marekani 'kimakosa'
Nov 26, 2019 00:45Kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na Khalifa Haftar limetangaza kuwa lilitungua ndege isiyo na rubani ya Marekani kwa bahati mbaya.
-
Rais wa Chad akosoa vikali uingiliaji wa NATO katika masuala ya ndani ya Libya
Nov 23, 2019 04:26Rais Idriss Deby wa Chad amesisitiza kuwa, uingiliaji wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) katika masuala ya ndani ya Libya ulipelekea kutokea maafa katika nchi hiyo na kwamba, Afrika haipaswi kubeba peke yake mzigo wa maafa hayo.