Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni

    Saudi Arabia kufungua tena ubalozi wake huko Libya hivi karibuni

    May 15, 2023 07:11

    Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia umeelekea Tripoli mji mkuu wa Libya kwa ajili ya kuchuguza taratibu za kufungua tena ubalozi wa nchi hiyo nchini Libya.

  • Umoja wa Ulaya na mchango wake katika uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini Libya

    Umoja wa Ulaya na mchango wake katika uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini Libya

    Mar 29, 2023 22:45

    Wakati wimbi kubwa la wakimbizi linaendelea kumiminika Libya wakiwa na matumaini ya kuvuka bahari na kufika Ulaya, nchi hiyo ya Afrika sasa imekuwa Jahanamu kwa wakimbizi na wahamiaji, kiasi kwamba wengi wao wananyanyaswa kimwili na kiakili na hata kuuawa.

  • UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya

    UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya

    Mar 28, 2023 03:55

    Jopo la uchunguzi la Umoja wa Mataifa limesema kwamba, kuna ushahidi unaoonyesha kuwa jinai dhidi ya binadamu zimefanywa dhidi wa wananchi wa Libya na wahajiri waliokwama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, wakiwemo wanawake wanaolazimishwa kuingia kwenye utumwa wa kingono.

  • Libya: Mapatano kati ya Iran na Saudi Arabia ni kwa maslahi ya nchi za Asia Magharibi

    Libya: Mapatano kati ya Iran na Saudi Arabia ni kwa maslahi ya nchi za Asia Magharibi

    Mar 12, 2023 23:12

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Libya imetoa taarifa na kukaribisha mapatano yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia na kueleza kuwa, mapatano hayo yana maslahi kwa nchi mbili na eneo zima la Asia Magharibi kwa ujumla.

  • Mchango wa NATO katika kuimarika magaidi barani Afrika

    Mchango wa NATO katika kuimarika magaidi barani Afrika

    Mar 07, 2023 22:55

    Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu katika maeneo mbalibali barani Afrika hususan katika eneo la Sahel Afrika umekuwa tatizo na kikwazo cha kurejesha amani katika mataifa ya aeneo hilo.

  • Juhudi za kuweko mwafaka wa makundi ya kisiasa kwa ajili ya uchaguzi nchini Libya

    Juhudi za kuweko mwafaka wa makundi ya kisiasa kwa ajili ya uchaguzi nchini Libya

    Feb 22, 2023 23:02

    Katika hali ambayo Libya ingali inakabwa koo na jinamizi la mgogoro mkubwa wa kisiasa, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika nchi hiyo ameyatolea mwito makundi ya kisiasa ya nchi hiyo kufikia mwafaka na kauli moja kuhusiana na kuitishwa uchaguzi mwaka huu sambamba na kuongeza ushirikiano kwa minajili ya kuhitimisha mkwamo wa sasa wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Juhudi za kuandaa sheria na kufanyika uchaguzi nchini Libya

    Juhudi za kuandaa sheria na kufanyika uchaguzi nchini Libya

    Jan 10, 2023 23:02

    Kufanyika uchaguzi nchini Libya na kuingia madarakani serikali yenye ridhaa ya wananchi na kwa mujibu wa mchakato wa demokrasia ndio takwa kuu na la kimsingi la wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Libya yawahukumu kifo wanachama 17 wa ISIS

    Libya yawahukumu kifo wanachama 17 wa ISIS

    Dec 20, 2022 03:42

    Mahakama moja nchini Libya imewahukumu kifo wanachama 17 wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).

  • Waziri Mkuu wa Libya akiri kuhusika katika kuhamishwa mshukiwa wa Lockerbie

    Waziri Mkuu wa Libya akiri kuhusika katika kuhamishwa mshukiwa wa Lockerbie

    Dec 16, 2022 23:44

    Waziri Mkuu wa Libya, Abdulhamid al-Dbaiba amekiri kuwa serikali yake imehusika katika kumhamishia wiki iliyopita nchini Marekani Abu Agila Mohammad Masud Kheir al-Marimi mshukiwa katika kesi ya mlipuko wa Lockerbie.

  • Libya: Hatutaruhusu kufunguliwa tena kwa kesi ya Lockerbie

    Libya: Hatutaruhusu kufunguliwa tena kwa kesi ya Lockerbie

    Dec 16, 2022 04:34

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya ametangaza kuwa nchi hiyo haitaruhusu kesi ya Lockerbie kufunguliwa tena.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS