-
Russia yafanya mazoezi ya kijeshi ya nyuklia huku mivutano na Magharibi ikiongezeka
Jun 01, 2022 07:42Duru za habari zimeripoti kuwa vikosi vya atomiki vya jeshi la Russia vimefanya mazoezi ya nyuklia katika eneo lililoko kaskazini mashariki ya mji mkuu wa nchi hiyo Moscow.
-
Mazungumzo baina ya Iran na Oman kuhusu usalama wa baharini
Mar 10, 2022 04:10Kikao cha Tatu cha Makamanda wa Gadi ya Ufukweni ya Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran na Oman kimefanyika mjini Muscat na kujadili usalama wa baharini. Maudhui kuu iliyojadiliwa na nchi hizi mbili ndugu katika kikao hicho ni kuzidi kushirikiana na kuwa na uratibu wa pamoja na kulinda usalama wa mpaka wa baharini wa nchi hizo.
-
China yaanza mazoezi ya kijeshi ya wiki nzima katika bahari ya China Kusini
Mar 06, 2022 04:21China imetangaza kuanza mazoezi ya kijeshi ya vikosi vyake vya ulinzi katika eneo la bahari ya China Kusini.
-
Russia yafanya mazoezi ya kijeshi ya nyuklia huku NATO ikisema haiwezi kukidhi matakwa ya Moscow
Feb 20, 2022 02:52Kwa amri ya Rais Vladimir Putin, jeshi la Russia limefanya mazoezi ya kistratejia ya kijeshi ambayo yameshirikisha vikosi vya nyuklia na makombora ya balestiki vya nchi hiyo huku hali ikiendelea kuwa tete katika mgogoro wa nchi hiyo na Ukraine.
-
Maneva ya makundi ya Palestina kwa ajili ya kukabiliana na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 28, 2021 02:48Idara ya pamoja ya makundi ya muqawama ya Palestina katika Ukanda wa Gaza ilitangaza kuwa, mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya makundi hayo yaliyopewa jina la "Al-Rukn al-Shadid 2" yalianza Jumapili iliyopita na yataendelea kwa siku kadhaa.
-
Maneva ya pamoja ya kijeshi kati ya Russia na Misri
Dec 02, 2021 12:07Kikosi cha wanajeshi wa meli za kivita za Russia katika bahari Nyeusi kimetangaza kuwa meli za nchi hiyo hivi karibuni zitawasili katika bandari ya Alexandria huko Misri kwa ajili ya kushiriki katika maneva ya pamoja na nchi hiyo.
-
Malengo ya kisiasa ya mazoezi ya kijeshi ya Israel na nchi kadhaa za Kiarabu
Nov 16, 2021 02:30Mazoezi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameongezeka sana katika siku za karibuni. Wachambuzi wa mambo wanaamini kuwa, mazoezi hayo ya kijeshi ni kielelezo cha wasiwasi wa usalama wa Israel na woga wa utawala huo kutokana na kambi ya mapambano na kwamba yanafanyika kwa malengo ya kisiasa.
-
Malengo ya Israel ya kufanya luteka ya kijeshi ya mwezi mzima
May 11, 2021 02:52Tangu juzi Jumapili tarehe 9 Mei, jeshi la utawala wa Kizayuni limeanzisha luteka na mazoezi maalumu ya kijeshi yatakayodumu kwa muda wa mwezi mmoja.
-
Luteka ya 'Mtume Mtukufu 16' yaanza kusini mwa Iran
Feb 10, 2021 23:35Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC kinatazamiwa kuanza mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la Mtume Mtukufu 16 katika maeneo ya kusini magharibi mwa Iran.
-
Salami: Makombora ya balestiki ni miongoni mwa mafanikio makubwa ya kiulinzi ya Iran
Jan 17, 2021 02:22Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, utumiaji wa makombora ya balestiki ambayo yana uwezo ya kulenga shabaha zilizokusudiwa zikiwa baharini ni mafanikio makubwa ya kiulinzi kwa Iran.