Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

luteka - maneva ya kijeshi

  • Jeshi la Iran laendeleza mazoezi ya ndege za kivita zisizo na rubani

    Jeshi la Iran laendeleza mazoezi ya ndege za kivita zisizo na rubani

    Aug 25, 2022 08:05

    Mazoezi ya Pamoja ya Ndege Zisizo na Rubani (droni) 1401 ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yameendelea kwa siku ya pili leo ambapo droni za kivita zimefanikiwa kutekeleza oparesheni zao kwa mafanikio.

  • Jeshi la Iran kufanya maneva ya kijeshi ya droni

    Jeshi la Iran kufanya maneva ya kijeshi ya droni

    Aug 24, 2022 04:18

    Jeshi la Iran leo Jumatano linatazamiwa kuzindua luteka ya kijeshi itakayohusisha ndege zisizo na rubani (droni).

  • Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

    Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

    Aug 20, 2022 02:41

    Marekani ambayo imeingia kiwewe kutokana na kuzidi kuongezeka nguvu za China, imeahidi kuchukua hatua za kukabiliana na Beijing katika kipindi cha wiki na miezi ijayo karibu na kisiwa cha Taiwan, kwa tamaa ya kupunguza kasi ya nguvu za kijeshi na kiuchumi za China.

  • Russia yafanya mazoezi ya kijeshi ya nyuklia huku mivutano na Magharibi ikiongezeka

    Russia yafanya mazoezi ya kijeshi ya nyuklia huku mivutano na Magharibi ikiongezeka

    Jun 01, 2022 07:42

    Duru za habari zimeripoti kuwa vikosi vya atomiki vya jeshi la Russia vimefanya mazoezi ya nyuklia katika eneo lililoko kaskazini mashariki ya mji mkuu wa nchi hiyo Moscow.

  • Mazungumzo baina ya Iran na Oman kuhusu usalama wa baharini

    Mazungumzo baina ya Iran na Oman kuhusu usalama wa baharini

    Mar 10, 2022 04:10

    Kikao cha Tatu cha Makamanda wa Gadi ya Ufukweni ya Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran na Oman kimefanyika mjini Muscat na kujadili usalama wa baharini. Maudhui kuu iliyojadiliwa na nchi hizi mbili ndugu katika kikao hicho ni kuzidi kushirikiana na kuwa na uratibu wa pamoja na kulinda usalama wa mpaka wa baharini wa nchi hizo.

  • China yaanza mazoezi ya kijeshi ya wiki nzima katika bahari ya China Kusini

    China yaanza mazoezi ya kijeshi ya wiki nzima katika bahari ya China Kusini

    Mar 06, 2022 04:21

    China imetangaza kuanza mazoezi ya kijeshi ya vikosi vyake vya ulinzi katika eneo la bahari ya China Kusini.

  • Russia yafanya mazoezi ya kijeshi ya nyuklia huku NATO ikisema haiwezi kukidhi matakwa ya Moscow

    Russia yafanya mazoezi ya kijeshi ya nyuklia huku NATO ikisema haiwezi kukidhi matakwa ya Moscow

    Feb 20, 2022 02:52

    Kwa amri ya Rais Vladimir Putin, jeshi la Russia limefanya mazoezi ya kistratejia ya kijeshi ambayo yameshirikisha vikosi vya nyuklia na makombora ya balestiki vya nchi hiyo huku hali ikiendelea kuwa tete katika mgogoro wa nchi hiyo na Ukraine.

  • Maneva ya makundi ya Palestina kwa ajili ya kukabiliana na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Maneva ya makundi ya Palestina kwa ajili ya kukabiliana na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Dec 28, 2021 02:48

    Idara ya pamoja ya makundi ya muqawama ya Palestina katika Ukanda wa Gaza ilitangaza kuwa, mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya makundi hayo yaliyopewa jina la "Al-Rukn al-Shadid 2" yalianza Jumapili iliyopita na yataendelea kwa siku kadhaa.

  • Maneva ya pamoja ya kijeshi kati ya Russia na Misri

    Maneva ya pamoja ya kijeshi kati ya Russia na Misri

    Dec 02, 2021 12:07

    Kikosi cha wanajeshi wa meli za kivita za Russia katika bahari Nyeusi kimetangaza kuwa meli za nchi hiyo hivi karibuni zitawasili katika bandari ya Alexandria huko Misri kwa ajili ya kushiriki katika maneva ya pamoja na nchi hiyo.

  • Malengo ya kisiasa ya mazoezi ya kijeshi ya Israel na nchi kadhaa za Kiarabu

    Malengo ya kisiasa ya mazoezi ya kijeshi ya Israel na nchi kadhaa za Kiarabu

    Nov 16, 2021 02:30

    Mazoezi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameongezeka sana katika siku za karibuni. Wachambuzi wa mambo wanaamini kuwa, mazoezi hayo ya kijeshi ni kielelezo cha wasiwasi wa usalama wa Israel na woga wa utawala huo kutokana na kambi ya mapambano na kwamba yanafanyika kwa malengo ya kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS