-
Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani
Dec 21, 2021 09:35Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ungali unaendelea. Akthari ya raia wa Sudan wameendelea kujitokeza katika barabara na mitaa ya miji mbalimbali ya nchi hiyo wakionyesha upinzani wao dhidi ya utawala wa kijeshi na kusisitiza kueendeleza maandamano hadi demokrasia itakapochukua mkondo wake.
-
Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel yashamiri nchini Morocco
Dec 07, 2021 02:52Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel nchini Morocco yamesambaa zaidi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Wanawake nchini Italia waandamana kulaani ukatili wa kijinsia
Nov 28, 2021 11:59Mitaa na barabara za Rome, mji mkuu wa Italia zimeshuhudia maandamano makubwa ya wanawake wanaolalamikia ongezeko la kesi za ukatili wa kijinsia na mizozo ya kinyumbani.
-
Wasudan washinikiza wanajeshi warudi makambini, kuundwe serikali ya raia
Nov 26, 2021 02:48Wananchi wa Sudan wameendelea na maandamano yao wakishinikiza wanajeshi warudi makambini ili waruhusu kuundwa serikali ya kiraia na ya kidemokrasia nchini humo.
-
5 wauawa katika maandamano dhidi ya utawala wa kijeshi nchini Sudan
Nov 14, 2021 03:46Kwa akali watu watano wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi nchini Sudan.
-
Wananchi wa Sudan waandamana usiku wakipinga utawala wa kijeshi
Nov 13, 2021 04:20Wananchi wa Sudan wamefanya maandamano usiku wa kumkia leo wakilalamikia mapinduzi ya kijeshi ya nchi hiyo na hatua ya Jenerali Abdul-Fatah al-Burhan ya kuunda Baraza la Utawala.
-
Wanaharakati Sudan watangaza migomo, wakataa pendekezo la kugawana madaraka na jeshi
Nov 07, 2021 12:07Harakati inayoongoza maandamano ya upinzani nchini Sudan imetangaza migomo ya nchi nzima kwa muda wa siku mbili sambamba na kupinga juhudi zinazoungwa mkono kimataifa za kurejesha utaratibu wa kugawana madaraka na jeshi kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo mwishoni mwa mwezi uliopita.
-
Wapinzani wa serikali ya Misri waandamana mkabala wa alipofikia al Sisi huko Scotland
Nov 01, 2021 14:51Wapinzani wa serikali ya utawala wa Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Scotland, Edinburgh.
-
Aal-Khalifa yashadidisha ukandamizaji dhidi ya Wabahrain
Nov 01, 2021 03:09Vikosi vya usalama vya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain vimewatiwa mbaroni wanaharakati wengine wa kisiasa wanaoupinga na kuukosoa utawala huo wa kiukoo.
-
Maandamano ya wananchi dhidi ya mapinduzi ya kijeshi yanaendelea nchini Sudan
Oct 31, 2021 02:21Mamilioni ya wananchi wa Sudan wameendelea kufanya maandamano katika miji ya Sudan na miji mingine 50 ya kona mbalimbali za dunia ili kutangaza upinzani wao dhidi ya mapinduzi ya kijeshi nchhini humo.