Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wanawake nchini Sudan waandamana, wapinga kubakwa waandamanaji wa kike

    Wanawake nchini Sudan waandamana, wapinga kubakwa waandamanaji wa kike

    Dec 24, 2021 12:22

    Hali ya taharuki imetanda katika duru za Sudan kwa siku kadhaa sasa, huku habari zikisambaa kuwa idadi kubwa ya vijana wa kike walibakwa na kunyanyaswa walipokuwa wakishiriki maandamano Jumapili iliyopita dhidi ya utawala wa kijeshi.

  • Kupasisha UN azimio la kufungua njia za misaada Afghanistan baada ya maandamano ya kulalamikia ubeberu wa Marekani mjini Kabul

    Kupasisha UN azimio la kufungua njia za misaada Afghanistan baada ya maandamano ya kulalamikia ubeberu wa Marekani mjini Kabul

    Dec 23, 2021 22:59

    Wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano walipasisha kwa kauli moja azimio la kurahisisha kutumwa misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan baada ya wakazi wa Kabul, mji mkuu wa Afghanistan kufanya maandamano ya kulalamikia ubeberu wa Marekani wa kuzuia mali za nchi yao na kuwasababishia matatizo makubwa wananchi hao.

  • Waafghanistan wapaza sauti zao dhidi ya Marekani: 'Tuacheni tupate riziki ya kula'

    Waafghanistan wapaza sauti zao dhidi ya Marekani: 'Tuacheni tupate riziki ya kula'

    Dec 21, 2021 23:12

    Mamia ya wakazi wa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul wameandamana katika mitaa ya mji huo hadi mahali ulipo ubalozi uliofungwa wa Marekani, wakihimiza kuachiliwa mali na fedha za nchi hiyo zilizozuiliwa na Washington na nchi zingine za Magharibi.

  • Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani

    Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani

    Dec 21, 2021 06:05

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ungali unaendelea. Akthari ya raia wa Sudan wameendelea kujitokeza katika barabara na mitaa ya miji mbalimbali ya nchi hiyo wakionyesha upinzani wao dhidi ya utawala wa kijeshi na kusisitiza kueendeleza maandamano hadi demokrasia itakapochukua mkondo wake.

  • Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel yashamiri nchini Morocco

    Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel yashamiri nchini Morocco

    Dec 06, 2021 23:22

    Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel nchini Morocco yamesambaa zaidi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Wanawake nchini Italia waandamana kulaani ukatili wa kijinsia

    Wanawake nchini Italia waandamana kulaani ukatili wa kijinsia

    Nov 28, 2021 08:29

    Mitaa na barabara za Rome, mji mkuu wa Italia zimeshuhudia maandamano makubwa ya wanawake wanaolalamikia ongezeko la kesi za ukatili wa kijinsia na mizozo ya kinyumbani.

  • Wasudan washinikiza wanajeshi warudi makambini, kuundwe serikali ya raia

    Wasudan washinikiza wanajeshi warudi makambini, kuundwe serikali ya raia

    Nov 25, 2021 23:18

    Wananchi wa Sudan wameendelea na maandamano yao wakishinikiza wanajeshi warudi makambini ili waruhusu kuundwa serikali ya kiraia na ya kidemokrasia nchini humo.

  • 5 wauawa katika maandamano dhidi ya utawala wa kijeshi nchini Sudan

    5 wauawa katika maandamano dhidi ya utawala wa kijeshi nchini Sudan

    Nov 14, 2021 00:16

    Kwa akali watu watano wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi nchini Sudan.

  • Wananchi wa Sudan waandamana usiku wakipinga utawala wa kijeshi

    Wananchi wa Sudan waandamana usiku wakipinga utawala wa kijeshi

    Nov 13, 2021 00:50

    Wananchi wa Sudan wamefanya maandamano usiku wa kumkia leo wakilalamikia mapinduzi ya kijeshi ya nchi hiyo na hatua ya Jenerali Abdul-Fatah al-Burhan ya kuunda Baraza la Utawala.

  • Wanaharakati Sudan watangaza migomo, wakataa pendekezo la kugawana madaraka na jeshi

    Wanaharakati Sudan watangaza migomo, wakataa pendekezo la kugawana madaraka na jeshi

    Nov 07, 2021 08:37

    Harakati inayoongoza maandamano ya upinzani nchini Sudan imetangaza migomo ya nchi nzima kwa muda wa siku mbili sambamba na kupinga juhudi zinazoungwa mkono kimataifa za kurejesha utaratibu wa kugawana madaraka na jeshi kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo mwishoni mwa mwezi uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS