Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani

    Kuendelea mgogoro nchini Sudan sambamba na kukandamizwa wapinzani

    Dec 21, 2021 09:35

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ungali unaendelea. Akthari ya raia wa Sudan wameendelea kujitokeza katika barabara na mitaa ya miji mbalimbali ya nchi hiyo wakionyesha upinzani wao dhidi ya utawala wa kijeshi na kusisitiza kueendeleza maandamano hadi demokrasia itakapochukua mkondo wake.

  • Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel yashamiri nchini Morocco

    Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel yashamiri nchini Morocco

    Dec 07, 2021 02:52

    Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel nchini Morocco yamesambaa zaidi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Wanawake nchini Italia waandamana kulaani ukatili wa kijinsia

    Wanawake nchini Italia waandamana kulaani ukatili wa kijinsia

    Nov 28, 2021 11:59

    Mitaa na barabara za Rome, mji mkuu wa Italia zimeshuhudia maandamano makubwa ya wanawake wanaolalamikia ongezeko la kesi za ukatili wa kijinsia na mizozo ya kinyumbani.

  • Wasudan washinikiza wanajeshi warudi makambini, kuundwe serikali ya raia

    Wasudan washinikiza wanajeshi warudi makambini, kuundwe serikali ya raia

    Nov 26, 2021 02:48

    Wananchi wa Sudan wameendelea na maandamano yao wakishinikiza wanajeshi warudi makambini ili waruhusu kuundwa serikali ya kiraia na ya kidemokrasia nchini humo.

  • 5 wauawa katika maandamano dhidi ya utawala wa kijeshi nchini Sudan

    5 wauawa katika maandamano dhidi ya utawala wa kijeshi nchini Sudan

    Nov 14, 2021 03:46

    Kwa akali watu watano wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi nchini Sudan.

  • Wananchi wa Sudan waandamana usiku wakipinga utawala wa kijeshi

    Wananchi wa Sudan waandamana usiku wakipinga utawala wa kijeshi

    Nov 13, 2021 04:20

    Wananchi wa Sudan wamefanya maandamano usiku wa kumkia leo wakilalamikia mapinduzi ya kijeshi ya nchi hiyo na hatua ya Jenerali Abdul-Fatah al-Burhan ya kuunda Baraza la Utawala.

  • Wanaharakati Sudan watangaza migomo, wakataa pendekezo la kugawana madaraka na jeshi

    Wanaharakati Sudan watangaza migomo, wakataa pendekezo la kugawana madaraka na jeshi

    Nov 07, 2021 12:07

    Harakati inayoongoza maandamano ya upinzani nchini Sudan imetangaza migomo ya nchi nzima kwa muda wa siku mbili sambamba na kupinga juhudi zinazoungwa mkono kimataifa za kurejesha utaratibu wa kugawana madaraka na jeshi kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo mwishoni mwa mwezi uliopita.

  • Wapinzani wa serikali ya Misri waandamana mkabala wa alipofikia al Sisi huko Scotland

    Wapinzani wa serikali ya Misri waandamana mkabala wa alipofikia al Sisi huko Scotland

    Nov 01, 2021 14:51

    Wapinzani wa serikali ya utawala wa Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Scotland, Edinburgh.

  • Aal-Khalifa yashadidisha ukandamizaji dhidi ya Wabahrain

    Aal-Khalifa yashadidisha ukandamizaji dhidi ya Wabahrain

    Nov 01, 2021 03:09

    Vikosi vya usalama vya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain vimewatiwa mbaroni wanaharakati wengine wa kisiasa wanaoupinga na kuukosoa utawala huo wa kiukoo.

  • Maandamano ya wananchi dhidi ya mapinduzi ya kijeshi yanaendelea nchini Sudan

    Maandamano ya wananchi dhidi ya mapinduzi ya kijeshi yanaendelea nchini Sudan

    Oct 31, 2021 02:21

    Mamilioni ya wananchi wa Sudan wameendelea kufanya maandamano katika miji ya Sudan na miji mingine 50 ya kona mbalimbali za dunia ili kutangaza upinzani wao dhidi ya mapinduzi ya kijeshi nchhini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS