Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wanaharakati wa kulinda mazingira walemaza shughuli zote mashariki na magharibi ya London, Uingereza

    Wanaharakati wa kulinda mazingira walemaza shughuli zote mashariki na magharibi ya London, Uingereza

    Oct 27, 2021 13:00

    Wanaharakati wa kulinda mazingira wamelemaza na kukwamisha shughuli mbalimbali katika maeneo mawili ya mashriki na magharibi ya mji mkuu wa Uingereza, London baada ya kufanya mgomo wa kuketi wakilalamikia hali ya mabadiliko ya tabianchi na kuongezeka joto la sayari ya dunia.

  • Hamdok: Sudan inasumbuliwa na mgogoro mbaya zaidi wa kipindi cha mpito

    Hamdok: Sudan inasumbuliwa na mgogoro mbaya zaidi wa kipindi cha mpito

    Oct 17, 2021 02:27

    Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok ameonya kuwa nchi hiyo inakabiliwa na "mgogoro mbaya zaidi" katika kipindi hiki cha serikali ya mpito iliyoundwa baada ya kuondolewa madarakani aliyekuwa mtawala wa muda mrefu wa Sudan, Omar al-Bashir zaidi ya miaka miwili iliyopita.

  • Wabahrain waendeleza maandamano ya kupinga uhusiano na Israel

    Wabahrain waendeleza maandamano ya kupinga uhusiano na Israel

    Oct 15, 2021 04:19

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Waislamu Bangladesh waandamana kulaani kuvunjiwa heshima Qurani Hekaluni

    Waislamu Bangladesh waandamana kulaani kuvunjiwa heshima Qurani Hekaluni

    Oct 14, 2021 14:42

    Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu nchini Bangladesh.

  • Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia

    Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia

    Oct 04, 2021 11:36

    Zaidi ya watu elfu tano wameshiriki maandamano ya kumuunga mkono Rais Kais Saied wa Tunisia anayetuhumiwa na upinzani kuhodhi madaraka yote ya utendaji ya nchi hiyo.

  • Maelfu ya Wapalestina wasali Sala ya Ijumaa Quds licha hatua kali za Israel za kuwazuia

    Maelfu ya Wapalestina wasali Sala ya Ijumaa Quds licha hatua kali za Israel za kuwazuia

    Oct 02, 2021 02:35

    Wapalestina wapatao 50,000 jana walisali Sala ya Ijumaa katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa licha ya hatua kali za jeshi la utawala haramu wa Israel la kuwazuia waumini kuingia katika kibla hicho cha kwanza chah Waislamu.

  • Watunisia waandamana dhidi ya serikali katika mji mkuu, Tunis

    Watunisia waandamana dhidi ya serikali katika mji mkuu, Tunis

    Sep 26, 2021 15:07

    Wananchi wa Tunisia leo Jumapili wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis kupinga hatua za karibuni za Rais Kais Saeid.

  • Wananchi wa Argentina waandamana kuliunga mkono taifa la Palestina

    Wananchi wa Argentina waandamana kuliunga mkono taifa la Palestina

    Sep 17, 2021 11:23

    Wanaharakati wa kisiasa na viongozi wa asasi za kijamii na za haki za binadamu nchini Argentina wameandamana wakitangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Maandamano dhidi ya Pakistan mjini Kabul, Afghanistan

    Maandamano dhidi ya Pakistan mjini Kabul, Afghanistan

    Sep 14, 2021 01:29

    Idadi kubwa ya wananchi wa Kabul mji mkuu wa Afghanistan wamekusanyika mbele ya ubalozi wa Pakistan wakiitaka Islamabad iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Wabahrain waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Wabahrain waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Sep 12, 2021 07:44

    Wananchi wa Bahrain wameendelea kupinga hatua ya nchi yao ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao dhidi ya wananchi wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS