Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wafaransa waendeleza maandamano  kupinga sheria za serikali kuhusu corona

    Wafaransa waendeleza maandamano kupinga sheria za serikali kuhusu corona

    Sep 05, 2021 10:52

    Wananchi wa Ufaransa wameendeleza maandamano kwa wiki ya nane mfululizo kupinga sheria kali ambazo serikali ya nchi hiyo imeziweka kukabiliana na maambukizi ya corona.

  • Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel

    Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel

    Sep 04, 2021 10:23

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, sanjari na pande mbili hizo kubadilishana mabalozi.

  • Wayemen waandamana jijini Sana'a wakitaka kuondolewa mzingiro

    Wayemen waandamana jijini Sana'a wakitaka kuondolewa mzingiro

    Aug 11, 2021 03:45

    Wananchi wa Yemen jana Jumanne walifanya maandamano nje ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a, kulaani mzingiro uliowekwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.

  • Maelfu ya watu waandamana Ghana dhidi ya serikali

    Maelfu ya watu waandamana Ghana dhidi ya serikali

    Aug 05, 2021 02:32

    Maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Ghana, Accra kushiriki maandamano dhidi ya serikali ya Rais Nana Akufo-Addo wa nchi hiyo.

  • Hujuma dhidi ya Harakati ya Kiislamu Nigeria zimewafanya mayatima watoto 1,800

    Hujuma dhidi ya Harakati ya Kiislamu Nigeria zimewafanya mayatima watoto 1,800

    Jul 25, 2021 11:26

    Jukwaa la Akademia la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) limesema hatua ya vyombo vya usalama vya nchi hiyo kuhujumu na kushambulia shughuli za kidini za harakati hiyo imepelekea watoto karibu elfu mbili kuwa mayatima.

  • Maelfu waandamana katika nchi za Magharibi kupinga chanjo ya lazima ya Corona

    Maelfu waandamana katika nchi za Magharibi kupinga chanjo ya lazima ya Corona

    Jul 25, 2021 11:20

    Maelfu ya watu wameendelea kuandamana kwa siku kadhaa sasa katika baadhi ya nchi za Magharibi kupinga sheria kali za kudhibiti msambao wa virusi vya Corona na vile vile kulalamikia hatua ya serikali za nchi hizo kuwalazimisha wananchi kupiga chanjo ya ugonjwa wa Covid-19.

  • Wanaharakati wa Saudia kufanya maandamano ya kupinga serikali Siku ya Arafa

    Wanaharakati wa Saudia kufanya maandamano ya kupinga serikali Siku ya Arafa

    Jul 18, 2021 08:15

    Wanaharakati wa Saudi Arabia wamepanga kufanya maandamano ya kitaifa dhidi ya utawala wa Al Saud Siku ya Arafa.

  • Lebanon yakumbwa na maandamano baada ya Saad Hariri kujitoa katika jukumu la kuunda serikali

    Lebanon yakumbwa na maandamano baada ya Saad Hariri kujitoa katika jukumu la kuunda serikali

    Jul 16, 2021 08:12

    Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Lebanon masaa machache tu baada ya Waziri Mkuu Saad Hariri kutangaza kujiuzulu na kuacha jukumu alilopatiwa na kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.

  • Maandamano ya wiki hii ya wananchi wa Algeria yalikuwa ni ya Ijumaa ya 124

    Maandamano ya wiki hii ya wananchi wa Algeria yalikuwa ni ya Ijumaa ya 124

    Jul 04, 2021 02:37

    Wananchi wa Algeria wanaendelea na maandamano yao ya kila wiki ambapo maandamano yaliyofanyika Ijumaa wiki hii, yalikuwa ya 124 ya kutaka mabadiliko ya kimsingi ya mfumo wa kisiasa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Wayemen waandamana kuinga mkono Ansarullah, wailaani UN

    Wayemen waandamana kuinga mkono Ansarullah, wailaani UN

    Jun 26, 2021 12:40

    Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kuiweka harakati ya muqawama ya Ansarullah katika orodha nyeusi ya eti taasisi zinazokiuka haki za watoto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS