-
Wafaransa waendeleza maandamano kupinga sheria za serikali kuhusu corona
Sep 05, 2021 10:52Wananchi wa Ufaransa wameendeleza maandamano kwa wiki ya nane mfululizo kupinga sheria kali ambazo serikali ya nchi hiyo imeziweka kukabiliana na maambukizi ya corona.
-
Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel
Sep 04, 2021 10:23Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, sanjari na pande mbili hizo kubadilishana mabalozi.
-
Wayemen waandamana jijini Sana'a wakitaka kuondolewa mzingiro
Aug 11, 2021 03:45Wananchi wa Yemen jana Jumanne walifanya maandamano nje ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a, kulaani mzingiro uliowekwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.
-
Maelfu ya watu waandamana Ghana dhidi ya serikali
Aug 05, 2021 02:32Maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Ghana, Accra kushiriki maandamano dhidi ya serikali ya Rais Nana Akufo-Addo wa nchi hiyo.
-
Hujuma dhidi ya Harakati ya Kiislamu Nigeria zimewafanya mayatima watoto 1,800
Jul 25, 2021 11:26Jukwaa la Akademia la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) limesema hatua ya vyombo vya usalama vya nchi hiyo kuhujumu na kushambulia shughuli za kidini za harakati hiyo imepelekea watoto karibu elfu mbili kuwa mayatima.
-
Maelfu waandamana katika nchi za Magharibi kupinga chanjo ya lazima ya Corona
Jul 25, 2021 11:20Maelfu ya watu wameendelea kuandamana kwa siku kadhaa sasa katika baadhi ya nchi za Magharibi kupinga sheria kali za kudhibiti msambao wa virusi vya Corona na vile vile kulalamikia hatua ya serikali za nchi hizo kuwalazimisha wananchi kupiga chanjo ya ugonjwa wa Covid-19.
-
Wanaharakati wa Saudia kufanya maandamano ya kupinga serikali Siku ya Arafa
Jul 18, 2021 08:15Wanaharakati wa Saudi Arabia wamepanga kufanya maandamano ya kitaifa dhidi ya utawala wa Al Saud Siku ya Arafa.
-
Lebanon yakumbwa na maandamano baada ya Saad Hariri kujitoa katika jukumu la kuunda serikali
Jul 16, 2021 08:12Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Lebanon masaa machache tu baada ya Waziri Mkuu Saad Hariri kutangaza kujiuzulu na kuacha jukumu alilopatiwa na kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.
-
Maandamano ya wiki hii ya wananchi wa Algeria yalikuwa ni ya Ijumaa ya 124
Jul 04, 2021 02:37Wananchi wa Algeria wanaendelea na maandamano yao ya kila wiki ambapo maandamano yaliyofanyika Ijumaa wiki hii, yalikuwa ya 124 ya kutaka mabadiliko ya kimsingi ya mfumo wa kisiasa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Wayemen waandamana kuinga mkono Ansarullah, wailaani UN
Jun 26, 2021 12:40Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kuiweka harakati ya muqawama ya Ansarullah katika orodha nyeusi ya eti taasisi zinazokiuka haki za watoto.