-
Saudia yapanga kuwanyonga vijana 40 wa Kishia
Jun 19, 2021 12:37Wanaharakati wa haki za binadamu wameonya kuwa, utawala wa Aal-Saud unapanga kuwanyonga makumi ya vijana Waislamu wa madhehebu ya Shia mkoani Qatif mashariki mwa Saudi Arabia.
-
Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia
Jun 13, 2021 02:50Polisi wa Nigeria wamefyatua gesi ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji wanaopinga serikali huko Lagos na katika mji mkuu, Abuja, na ripoti zinasema kuwa baadhi ya wanaadamanaji hao wakamatwa na wengine kujeruhiwa.
-
Wananchi Bahrain waandamana kulaani kifo cha mfungwa wa kisiasa gerezani
Jun 11, 2021 12:30Mamia ya Wabahraini wamejitokeza kuandamana katika mji mkuu Manama, kumkumbuka mfungwa wa kisiasa ambaye amefariki dunia kutokana na COVID-19 akiwa katika gereza la kuogofya la utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.
-
Wasudan waandamana wakitaka haki kwa waliouawa mwaka 2019
Jun 04, 2021 02:46Wananchi wa Sudan jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani katika mji mkuu, Khartoum na miji mingine ya nchi hiyo, kushiriki maandamano ya kutaka kutendewa haki wahanga wa ghasia za mwaka 2019.
-
Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel
May 28, 2021 12:31Wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani na ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Jakarta kulalamikia na kulaani uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala haramu wa Israel.
-
Kadhaa wauawa katika maandamano ya kushinikiza utawala wa kiraia Chad
Apr 27, 2021 13:07Kwa akali watu wawili wameuawa huku wengine 27 wakijeruhiwa katika maandamano ya ghasia yaliyozuka nchini Chad, kushinikiza utawala wa kiraia. Baraza la Kijeshi lilitangaza kuchukua hatamu za uongozi wa nchi kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Idriss Deby.
-
Maandamano makubwa ya wananchi wa Bahrain ya kutaka kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa
Apr 18, 2021 02:32Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano makubwa ambapo sambamba na kulalamikia mazingira mabaya ya wafungwa wa nchi hiyo hasa baada ya kuongeza idadi ya walioambukizwa virusi vya corona miongoni mwao, wametoa wito wa kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Maandamano ya kupinga kufungwa nchi yafanyika katika nchi za Ulaya
Mar 21, 2021 07:40Maafisa wa polisi katika nchi kadhaa za Ulaya wamekosolewa kwa kutumia nguvu kupita kiasi kuzima maandamano ya wananchi wanaopinga maagizo mapya ya serikali za nchi hizo yaliyotangazwa kwa ajili kuzuia msambao wa wimbi la tatu la virusi vya Corona.
-
4 wauawa katika maandamano ya kupinga kukamatwa kinara wa upinzani Senegal
Mar 06, 2021 08:14Kwa akali watu wanne wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya ghasia ya kulalamikia kitendo cha maafisa usalama kumtia mbaroni kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Senegal.
-
Maelfu ya wananchi wa Tunisia waandamana mjini Tunis kuiunga mkono serikali
Feb 28, 2021 08:02Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano kufuatia mwaliko wa chama tawala cha An Nahdhah na kwa lengo la kuiunga mkono serikali ya nchi hiyo.