Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Lebanon yakumbwa na maandamano baada ya Saad Hariri kujitoa katika jukumu la kuunda serikali

    Lebanon yakumbwa na maandamano baada ya Saad Hariri kujitoa katika jukumu la kuunda serikali

    Jul 16, 2021 03:42

    Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Lebanon masaa machache tu baada ya Waziri Mkuu Saad Hariri kutangaza kujiuzulu na kuacha jukumu alilopatiwa na kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.

  • Maandamano ya wiki hii ya wananchi wa Algeria yalikuwa ni ya Ijumaa ya 124

    Maandamano ya wiki hii ya wananchi wa Algeria yalikuwa ni ya Ijumaa ya 124

    Jul 03, 2021 22:07

    Wananchi wa Algeria wanaendelea na maandamano yao ya kila wiki ambapo maandamano yaliyofanyika Ijumaa wiki hii, yalikuwa ya 124 ya kutaka mabadiliko ya kimsingi ya mfumo wa kisiasa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Wayemen waandamana kuinga mkono Ansarullah, wailaani UN

    Wayemen waandamana kuinga mkono Ansarullah, wailaani UN

    Jun 26, 2021 08:10

    Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kuiweka harakati ya muqawama ya Ansarullah katika orodha nyeusi ya eti taasisi zinazokiuka haki za watoto.

  • Saudia yapanga kuwanyonga vijana 40 wa Kishia

    Saudia yapanga kuwanyonga vijana 40 wa Kishia

    Jun 19, 2021 08:07

    Wanaharakati wa haki za binadamu wameonya kuwa, utawala wa Aal-Saud unapanga kuwanyonga makumi ya vijana Waislamu wa madhehebu ya Shia mkoani Qatif mashariki mwa Saudi Arabia.

  • Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia

    Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia

    Jun 12, 2021 22:20

    Polisi wa Nigeria wamefyatua gesi ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji wanaopinga serikali huko Lagos na katika mji mkuu, Abuja, na ripoti zinasema kuwa baadhi ya wanaadamanaji hao wakamatwa na wengine kujeruhiwa.

  • Wananchi Bahrain waandamana kulaani kifo cha mfungwa wa kisiasa gerezani

    Wananchi Bahrain waandamana kulaani kifo cha mfungwa wa kisiasa gerezani

    Jun 11, 2021 08:00

    Mamia ya Wabahraini wamejitokeza kuandamana katika mji mkuu Manama, kumkumbuka mfungwa wa kisiasa ambaye amefariki dunia kutokana na COVID-19 akiwa katika gereza la kuogofya la utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.

  • Wasudan waandamana wakitaka haki kwa waliouawa mwaka 2019

    Wasudan waandamana wakitaka haki kwa waliouawa mwaka 2019

    Jun 03, 2021 22:16

    Wananchi wa Sudan jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani katika mji mkuu, Khartoum na miji mingine ya nchi hiyo, kushiriki maandamano ya kutaka kutendewa haki wahanga wa ghasia za mwaka 2019.

  • Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    May 28, 2021 08:01

    Wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani na ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Jakarta kulalamikia na kulaani uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala haramu wa Israel.

  • Kadhaa wauawa katika maandamano ya kushinikiza utawala wa kiraia Chad

    Kadhaa wauawa katika maandamano ya kushinikiza utawala wa kiraia Chad

    Apr 27, 2021 08:37

    Kwa akali watu wawili wameuawa huku wengine 27 wakijeruhiwa katika maandamano ya ghasia yaliyozuka nchini Chad, kushinikiza utawala wa kiraia. Baraza la Kijeshi lilitangaza kuchukua hatamu za uongozi wa nchi kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Idriss Deby. 

  • Maandamano makubwa ya wananchi wa Bahrain ya kutaka kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Bahrain ya kutaka kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa

    Apr 17, 2021 22:02

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano makubwa ambapo sambamba na kulalamikia mazingira mabaya ya wafungwa wa nchi hiyo hasa baada ya kuongeza idadi ya walioambukizwa virusi vya corona miongoni mwao, wametoa wito wa kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS