Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Netanyahu kizimbani kujibu mashitaka ya ufisadi, maandamano yashtadi

    Netanyahu kizimbani kujibu mashitaka ya ufisadi, maandamano yashtadi

    Feb 08, 2021 12:04

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amepandishwa kizimbani, kujibu mashitaka ya ufisadi yanayomkabili, huku faili lake likifunguliwa upya wiki chache kabla ya kufanyika uchaguzi wa Bunge.

  • Maandamano yaendelea ndani ya Israel; Netanyahu ayafumbia macho na kuendeleza siasa za chuki dhidi ya Iran

    Maandamano yaendelea ndani ya Israel; Netanyahu ayafumbia macho na kuendeleza siasa za chuki dhidi ya Iran

    Feb 02, 2021 02:58

    Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel wamefanya maandamano kwa wiki ya 32 mfululizo dhidi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo wa Kizayuni.

  • Wapakistani waandamana kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Wapakistani waandamana kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Jan 23, 2021 12:31

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Pakistan wamefanya maandamano ya kupinga uwezekano wowote wa kuanzishwa uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wayemen waandamana kuilaani Marekani kwa kuiweka Ansarullah katika orodha nyeusi

    Wayemen waandamana kuilaani Marekani kwa kuiweka Ansarullah katika orodha nyeusi

    Jan 17, 2021 07:55

    Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano katika mkoa wa Sa'ada, kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Marekani ya kuliweka jina la Ansarullah katika orodha yake ya makundi ya kigaidi na kuitaka ifutilea mbali uamuzi wake huo.

  • Wairaq kufanya maandamano mamilioni leo kukumbuka siku waliyouawa shahidi makamanda wa muqawama

    Wairaq kufanya maandamano mamilioni leo kukumbuka siku waliyouawa shahidi makamanda wa muqawama

    Jan 03, 2021 02:54

    Mbunge wa mrengo wa As-Sadiqun katika bunge la Iraq amesema, lengo la maandamano makubwa yatakayofanywa leo na wananchi wa Iraq kwa mnasaba wa kukumbuka siku walipouliwa shahidi makamanda wa muqawama ni kutangazwa upinzani dhidi ya uwepo kijeshi wa Marekani katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya upinzani Zambia

    Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya upinzani Zambia

    Dec 24, 2020 08:12

    Kwa akali watu wawili wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya wapinzani wa Zambia, kuonyesha uungaji mkono wao kwa kinara wao, Hakainde Hichilema.

  • Wananchi wa Nigeria waandamana kuiunga mkono Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Wananchi wa Nigeria waandamana kuiunga mkono Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Dec 22, 2020 02:57

    Wananchi wa Nigeria wameandamana na kutangaza uungaji mkono wao kwa taifa la Palestina na kupinga harakati za baadhi ya mataifa ya Kiarabu za kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Wapinzani Sudan wataka kufanyika maandamano dhidi ya serikali

    Wapinzani Sudan wataka kufanyika maandamano dhidi ya serikali

    Dec 14, 2020 07:47

    Sambamba na ziara ya Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Sudan nchini Ethiopia, wapinzani nchini Sudan wamewatolea wito wananchi kufanya maadnamano tarehe 19 mwezi huu.

  • Maandamano ya kulaani misimamo ya Macron dhidi ya Uislamu yafanyika Iran na Iraq

    Maandamano ya kulaani misimamo ya Macron dhidi ya Uislamu yafanyika Iran na Iraq

    Oct 29, 2020 06:53

    Maelfu ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono vitendo vya kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Kiislamu.

  • Maelfu waandamana Bangladesh wakitaka kususiwa bidhaa za Ufaransa

    Maelfu waandamana Bangladesh wakitaka kususiwa bidhaa za Ufaransa

    Oct 28, 2020 04:31

    Makumi ya maelfu ya Waislamu wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu Dhaka, kulaani hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono kitendo cha kifidhuli cha jarida la Kifaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS