Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Raia 51, maafisa usalama 18 wameuawa katika maandamano ya ghasia Nigeria

    Raia 51, maafisa usalama 18 wameuawa katika maandamano ya ghasia Nigeria

    Oct 24, 2020 07:41

    Makumi ya watu wameuawa katika machafuko na maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Nigeria.

  • Buhari ataka kukomeshwa maandamano, machafuko yaendelea Abuja

    Buhari ataka kukomeshwa maandamano, machafuko yaendelea Abuja

    Oct 23, 2020 10:28

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametoa wito wa kukomesha machafuko na maandamano yanayoendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kufuatia mauaji ya raia waliokuwa wakiandamana kupinga ukatili wa polisi.

  • Ujumbe wa Wazayuni wakaribishwa Sudan kwa maandamano ya upinzani

    Ujumbe wa Wazayuni wakaribishwa Sudan kwa maandamano ya upinzani

    Oct 22, 2020 07:56

    Ujumbe wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umekaribishwa kwa maandamano ya upinzani nchini Sudan.

  • Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya ghasia Sudan

    Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya ghasia Sudan

    Oct 16, 2020 07:24

    Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika maandamano ya ghasia huko mashariki mwa Sudan.

  • Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi

    Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi

    Oct 11, 2020 12:02

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kwa uchache watu elfu mbili wametiwa mbaroni katika maandamano ya kupinga utawala wa Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ndani ya siku 20 zilizopita.

  • Maelfu waandamana Israel dhidi ya Netanyahu licha ya katazo

    Maelfu waandamana Israel dhidi ya Netanyahu licha ya katazo

    Oct 04, 2020 08:06

    Maelfu ya Waisraeli wamefanya maandamano ya kumtaka Waziri Mkuu wa utawala huo wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu ajiuzulu kwa madai ya ufisadi na kushindwa kwake kulishughulikia janga la corona.

  • Watu kadhaa wauawa katika maandamano ya kumtaka Rais wa Misri ajiuzulu

    Watu kadhaa wauawa katika maandamano ya kumtaka Rais wa Misri ajiuzulu

    Sep 26, 2020 12:21

    Kwa akali watu wawili wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika ghasia za maandamano ya wananchi wa Misri, wanaomtaka Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo ang'atuke madarakani.

  • 'Serikali ya Haftar' huko Libya yajiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi

    'Serikali ya Haftar' huko Libya yajiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi

    Sep 14, 2020 06:05

    Serikali ya Libya yenye makao makuu yake mashariki mwa nchi na inayoongozwa na Abdullah Al-Thani, imetangaza kujiuzulu kufuatia maandamano ya siku tatu ya wananchi katika miji mikubwa ya mashariki mwa nchi.

  • Wapinzani Ivory Coast waendelea kupinga “muhula wa tatu” urais cha Ouattara

    Wapinzani Ivory Coast waendelea kupinga “muhula wa tatu” urais cha Ouattara

    Aug 15, 2020 10:04

    Makundi na vyama vya upinzani nchini Ivory Coast vimeendelea kupinga vikali uamuzi wa rais wa nchi hiyo, Alassane Ouattara wa kugombea tena kiti hicho kwa mara ya tatu mfululizo.

  • Wasudani waandamana tena dhidi ya serikali, wapinga marekebisho ya sheria

    Wasudani waandamana tena dhidi ya serikali, wapinga marekebisho ya sheria

    Jul 26, 2020 06:34

    Maelfu ya Wasudani wamefanya maandamano wakipinga marekebisho ya sheria za nchi yaliyofanywa na serikali ya mpito ya nchi hiyo na kupiga nara zinazoipinga serikali hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS