-
Raia 51, maafisa usalama 18 wameuawa katika maandamano ya ghasia Nigeria
Oct 24, 2020 07:41Makumi ya watu wameuawa katika machafuko na maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Nigeria.
-
Buhari ataka kukomeshwa maandamano, machafuko yaendelea Abuja
Oct 23, 2020 10:28Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametoa wito wa kukomesha machafuko na maandamano yanayoendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kufuatia mauaji ya raia waliokuwa wakiandamana kupinga ukatili wa polisi.
-
Ujumbe wa Wazayuni wakaribishwa Sudan kwa maandamano ya upinzani
Oct 22, 2020 07:56Ujumbe wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umekaribishwa kwa maandamano ya upinzani nchini Sudan.
-
Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya ghasia Sudan
Oct 16, 2020 07:24Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika maandamano ya ghasia huko mashariki mwa Sudan.
-
Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi
Oct 11, 2020 12:02Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kwa uchache watu elfu mbili wametiwa mbaroni katika maandamano ya kupinga utawala wa Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ndani ya siku 20 zilizopita.
-
Maelfu waandamana Israel dhidi ya Netanyahu licha ya katazo
Oct 04, 2020 08:06Maelfu ya Waisraeli wamefanya maandamano ya kumtaka Waziri Mkuu wa utawala huo wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu ajiuzulu kwa madai ya ufisadi na kushindwa kwake kulishughulikia janga la corona.
-
Watu kadhaa wauawa katika maandamano ya kumtaka Rais wa Misri ajiuzulu
Sep 26, 2020 12:21Kwa akali watu wawili wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika ghasia za maandamano ya wananchi wa Misri, wanaomtaka Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo ang'atuke madarakani.
-
'Serikali ya Haftar' huko Libya yajiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi
Sep 14, 2020 06:05Serikali ya Libya yenye makao makuu yake mashariki mwa nchi na inayoongozwa na Abdullah Al-Thani, imetangaza kujiuzulu kufuatia maandamano ya siku tatu ya wananchi katika miji mikubwa ya mashariki mwa nchi.
-
Wapinzani Ivory Coast waendelea kupinga “muhula wa tatu” urais cha Ouattara
Aug 15, 2020 10:04Makundi na vyama vya upinzani nchini Ivory Coast vimeendelea kupinga vikali uamuzi wa rais wa nchi hiyo, Alassane Ouattara wa kugombea tena kiti hicho kwa mara ya tatu mfululizo.
-
Wasudani waandamana tena dhidi ya serikali, wapinga marekebisho ya sheria
Jul 26, 2020 06:34Maelfu ya Wasudani wamefanya maandamano wakipinga marekebisho ya sheria za nchi yaliyofanywa na serikali ya mpito ya nchi hiyo na kupiga nara zinazoipinga serikali hiyo.