Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • 'Serikali ya Haftar' huko Libya yajiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi

    'Serikali ya Haftar' huko Libya yajiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi

    Sep 14, 2020 01:35

    Serikali ya Libya yenye makao makuu yake mashariki mwa nchi na inayoongozwa na Abdullah Al-Thani, imetangaza kujiuzulu kufuatia maandamano ya siku tatu ya wananchi katika miji mikubwa ya mashariki mwa nchi.

  • Wapinzani Ivory Coast waendelea kupinga “muhula wa tatu” urais cha Ouattara

    Wapinzani Ivory Coast waendelea kupinga “muhula wa tatu” urais cha Ouattara

    Aug 15, 2020 05:34

    Makundi na vyama vya upinzani nchini Ivory Coast vimeendelea kupinga vikali uamuzi wa rais wa nchi hiyo, Alassane Ouattara wa kugombea tena kiti hicho kwa mara ya tatu mfululizo.

  • Wasudani waandamana tena dhidi ya serikali, wapinga marekebisho ya sheria

    Wasudani waandamana tena dhidi ya serikali, wapinga marekebisho ya sheria

    Jul 26, 2020 02:04

    Maelfu ya Wasudani wamefanya maandamano wakipinga marekebisho ya sheria za nchi yaliyofanywa na serikali ya mpito ya nchi hiyo na kupiga nara zinazoipinga serikali hiyo.

  • Mamia waandamana mbele ya ubalozi wa Imarati mjini Khartoum, wapinga kupelekwa Wasudan Libya kupigana

    Mamia waandamana mbele ya ubalozi wa Imarati mjini Khartoum, wapinga kupelekwa Wasudan Libya kupigana

    Jul 14, 2020 22:56

    Mamia ya Wasudani wamefanya maandamano mbele ya ubalozi wa Imarati mjini Khartoum wakipinga harakati za nchi hiyo za kuwaajiri vijana wa Kisudani na kuwapeleka kupigana vita kwa niaba nchini Libya kama mamluki.

  • Watu 11 wauawa katika maandamano nchini Mali; Rais ashinikizwa kujiuzulu

    Watu 11 wauawa katika maandamano nchini Mali; Rais ashinikizwa kujiuzulu

    Jul 13, 2020 06:10

    Watu wasiopungua 11 wameuawa katika mji mkuu wa Mali Bamako na makumi ya wengine wamejeruhiwa kufuatia maandamano yanayoendelea yakimtaka Rais wa nchi hiyo Ibrahim Boubacar Keita ajiuzulu.

  • Rais wa Mali avunja Mahakama ya Katiba, kufuatia 4 kuuawa katika maandamano ya ghasia

    Rais wa Mali avunja Mahakama ya Katiba, kufuatia 4 kuuawa katika maandamano ya ghasia

    Jul 12, 2020 03:03

    Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza habari ya kuvunja Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo, ikiwa ni katika juhudi za kutuliza hali, kufuatia maandamano ya ghasia yaliyosababisha kuuawa watu wanne huku wengine 74 wakijeruhiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako.

  • Ubelgiji yaendelea kushuhudia maandamano ya kulaani marufuku ya hijabu

    Ubelgiji yaendelea kushuhudia maandamano ya kulaani marufuku ya hijabu

    Jul 11, 2020 07:03

    Kwa siku kadhaa sasa, mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels umeshuhudia maandamano ya kulaani marufuku ya uvaaji hijabu na mitandio ya kichwani katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu za nchi hiyo ya Ulaya.

  • Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Jul 10, 2020 02:58

    Watu wanne wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga uteuzi wa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Maandamano ya kupinga ubaguzi Washington yabadilika na kuwa maandamano dhidi ya Israel

    Maandamano ya kupinga ubaguzi Washington yabadilika na kuwa maandamano dhidi ya Israel

    Jul 03, 2020 22:37

    Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yanayofanywa na wanachi wa Marekani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Washington jana yalibadilika na kuwa maandamano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.

  • 52 wauawa katika maandamano ya kulaani mauaji ya mwanaharakati Ethiopia

    52 wauawa katika maandamano ya kulaani mauaji ya mwanaharakati Ethiopia

    Jul 01, 2020 21:52

    Makumi ya watu wameuawa katika maandamano ya ghasia yaliyoibuka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa baada ya muimbaji ya mwanaharakati mashuhuri kupigwa risasi na kuuawa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS