Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Mamia waandamana mbele ya ubalozi wa Imarati mjini Khartoum, wapinga kupelekwa Wasudan Libya kupigana

    Mamia waandamana mbele ya ubalozi wa Imarati mjini Khartoum, wapinga kupelekwa Wasudan Libya kupigana

    Jul 15, 2020 03:26

    Mamia ya Wasudani wamefanya maandamano mbele ya ubalozi wa Imarati mjini Khartoum wakipinga harakati za nchi hiyo za kuwaajiri vijana wa Kisudani na kuwapeleka kupigana vita kwa niaba nchini Libya kama mamluki.

  • Watu 11 wauawa katika maandamano nchini Mali; Rais ashinikizwa kujiuzulu

    Watu 11 wauawa katika maandamano nchini Mali; Rais ashinikizwa kujiuzulu

    Jul 13, 2020 10:40

    Watu wasiopungua 11 wameuawa katika mji mkuu wa Mali Bamako na makumi ya wengine wamejeruhiwa kufuatia maandamano yanayoendelea yakimtaka Rais wa nchi hiyo Ibrahim Boubacar Keita ajiuzulu.

  • Rais wa Mali avunja Mahakama ya Katiba, kufuatia 4 kuuawa katika maandamano ya ghasia

    Rais wa Mali avunja Mahakama ya Katiba, kufuatia 4 kuuawa katika maandamano ya ghasia

    Jul 12, 2020 07:33

    Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza habari ya kuvunja Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo, ikiwa ni katika juhudi za kutuliza hali, kufuatia maandamano ya ghasia yaliyosababisha kuuawa watu wanne huku wengine 74 wakijeruhiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako.

  • Ubelgiji yaendelea kushuhudia maandamano ya kulaani marufuku ya hijabu

    Ubelgiji yaendelea kushuhudia maandamano ya kulaani marufuku ya hijabu

    Jul 11, 2020 11:33

    Kwa siku kadhaa sasa, mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels umeshuhudia maandamano ya kulaani marufuku ya uvaaji hijabu na mitandio ya kichwani katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu za nchi hiyo ya Ulaya.

  • Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Jul 10, 2020 07:28

    Watu wanne wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga uteuzi wa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Maandamano ya kupinga ubaguzi Washington yabadilika na kuwa maandamano dhidi ya Israel

    Maandamano ya kupinga ubaguzi Washington yabadilika na kuwa maandamano dhidi ya Israel

    Jul 04, 2020 03:07

    Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yanayofanywa na wanachi wa Marekani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Washington jana yalibadilika na kuwa maandamano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.

  • 52 wauawa katika maandamano ya kulaani mauaji ya mwanaharakati Ethiopia

    52 wauawa katika maandamano ya kulaani mauaji ya mwanaharakati Ethiopia

    Jul 02, 2020 02:22

    Makumi ya watu wameuawa katika maandamano ya ghasia yaliyoibuka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa baada ya muimbaji ya mwanaharakati mashuhuri kupigwa risasi na kuuawa.

  • Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao

    Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao

    Jul 02, 2020 02:18

    Maelfu ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza jana Jumatano walifanya maandamano makubwa ya kulaani mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Risasi zarindima Kentucky, US baada ya mwanamke mweusi kuuawa na polisi nyumbani

    Risasi zarindima Kentucky, US baada ya mwanamke mweusi kuuawa na polisi nyumbani

    Jun 28, 2020 07:48

    Maaandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yameshika kasi nchini Marekani baada ya polisi mzungu kumuua kwa kumpiga risasi mwanamke mweusi akiwa nyumbani kwake katika jimbo la Kentucky.

  • Maelfu waandamana Mali wakitaka rais wa nchi hiyo aachie ngazi

    Maelfu waandamana Mali wakitaka rais wa nchi hiyo aachie ngazi

    Jun 20, 2020 06:40

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Mali wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu Bamako, wakishinikiza kujiuzulu Rais Ibrahim Boubacar Keita wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS