-
Mamia waandamana mbele ya ubalozi wa Imarati mjini Khartoum, wapinga kupelekwa Wasudan Libya kupigana
Jul 15, 2020 03:26Mamia ya Wasudani wamefanya maandamano mbele ya ubalozi wa Imarati mjini Khartoum wakipinga harakati za nchi hiyo za kuwaajiri vijana wa Kisudani na kuwapeleka kupigana vita kwa niaba nchini Libya kama mamluki.
-
Watu 11 wauawa katika maandamano nchini Mali; Rais ashinikizwa kujiuzulu
Jul 13, 2020 10:40Watu wasiopungua 11 wameuawa katika mji mkuu wa Mali Bamako na makumi ya wengine wamejeruhiwa kufuatia maandamano yanayoendelea yakimtaka Rais wa nchi hiyo Ibrahim Boubacar Keita ajiuzulu.
-
Rais wa Mali avunja Mahakama ya Katiba, kufuatia 4 kuuawa katika maandamano ya ghasia
Jul 12, 2020 07:33Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza habari ya kuvunja Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo, ikiwa ni katika juhudi za kutuliza hali, kufuatia maandamano ya ghasia yaliyosababisha kuuawa watu wanne huku wengine 74 wakijeruhiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako.
-
Ubelgiji yaendelea kushuhudia maandamano ya kulaani marufuku ya hijabu
Jul 11, 2020 11:33Kwa siku kadhaa sasa, mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels umeshuhudia maandamano ya kulaani marufuku ya uvaaji hijabu na mitandio ya kichwani katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu za nchi hiyo ya Ulaya.
-
Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR
Jul 10, 2020 07:28Watu wanne wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga uteuzi wa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Maandamano ya kupinga ubaguzi Washington yabadilika na kuwa maandamano dhidi ya Israel
Jul 04, 2020 03:07Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yanayofanywa na wanachi wa Marekani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Washington jana yalibadilika na kuwa maandamano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
-
52 wauawa katika maandamano ya kulaani mauaji ya mwanaharakati Ethiopia
Jul 02, 2020 02:22Makumi ya watu wameuawa katika maandamano ya ghasia yaliyoibuka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa baada ya muimbaji ya mwanaharakati mashuhuri kupigwa risasi na kuuawa.
-
Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao
Jul 02, 2020 02:18Maelfu ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza jana Jumatano walifanya maandamano makubwa ya kulaani mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Risasi zarindima Kentucky, US baada ya mwanamke mweusi kuuawa na polisi nyumbani
Jun 28, 2020 07:48Maaandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yameshika kasi nchini Marekani baada ya polisi mzungu kumuua kwa kumpiga risasi mwanamke mweusi akiwa nyumbani kwake katika jimbo la Kentucky.
-
Maelfu waandamana Mali wakitaka rais wa nchi hiyo aachie ngazi
Jun 20, 2020 06:40Makumi ya maelfu ya wananchi wa Mali wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu Bamako, wakishinikiza kujiuzulu Rais Ibrahim Boubacar Keita wa nchi hiyo.