Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao

    Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao

    Jul 01, 2020 21:48

    Maelfu ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza jana Jumatano walifanya maandamano makubwa ya kulaani mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Risasi zarindima Kentucky, US baada ya mwanamke mweusi kuuawa na polisi nyumbani

    Risasi zarindima Kentucky, US baada ya mwanamke mweusi kuuawa na polisi nyumbani

    Jun 28, 2020 03:18

    Maaandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yameshika kasi nchini Marekani baada ya polisi mzungu kumuua kwa kumpiga risasi mwanamke mweusi akiwa nyumbani kwake katika jimbo la Kentucky.

  • Maelfu waandamana Mali wakitaka rais wa nchi hiyo aachie ngazi

    Maelfu waandamana Mali wakitaka rais wa nchi hiyo aachie ngazi

    Jun 20, 2020 02:10

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Mali wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu Bamako, wakishinikiza kujiuzulu Rais Ibrahim Boubacar Keita wa nchi hiyo.

  • Wananchi wa Senegal waandamana kulaani ubaguzi wa rangi Marekani

    Wananchi wa Senegal waandamana kulaani ubaguzi wa rangi Marekani

    Jun 11, 2020 03:34

    Wananchi wa Senegal wamefanya maandamano kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi wa nchi hiyo.

  • Njama mpya nchini Lebanon; fitina za kimadhehebu kwa mbinu za kisiasa

    Njama mpya nchini Lebanon; fitina za kimadhehebu kwa mbinu za kisiasa

    Jun 10, 2020 08:59

    Katika siku za karibuni Lebanon kwa mara nyingine imekuwa ikishuhudia machafuko ambapo watu wa kushukiwa na kutiliwa shaka wamekuwa wakimiminika mitaani na kupiga nara za kichochezi na za fitiza za kimadhehebu pamoja na kukabiliana na walinda amani nchini humo.

  • Wananchi wa Kenya waandamana kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo

    Wananchi wa Kenya waandamana kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo

    Jun 09, 2020 03:36

    Wananchi wa Kenya wamefanya maandamano katika mji mkuu Nairobi, kulaani ukandamizaji na ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya raia.

  • Wapalestina waandamana dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Wapalestina waandamana dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Jun 08, 2020 23:14

    Makumi ya Wapalestina wanaoishi katika mji wa Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wameandamana kupinga mpango wa utawala wa Kizayuni ambao unalenga kuteka ardhi zaidi za Wapalestina katika eneo hilo.

  • Wakazi wa New York waendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Wakazi wa New York waendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Jun 06, 2020 12:46

    Wakazi wa New York nchini Marekani wameendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi na ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya watu weusi.

  • Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria

    Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria

    Jun 02, 2020 23:26

    Miji mikuu ya Kenya na Nigeria jana ilishuhudia maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na mauaji ya George Floyd, raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika aliyeuliwa kikatili na polisi mmoja mzungu katika mji wa Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani wiki iliyopita.

  • Rais wa Ghana: Natumai mauaji ya Floyd yatachochea mabadiliko Marekani

    Rais wa Ghana: Natumai mauaji ya Floyd yatachochea mabadiliko Marekani

    Jun 02, 2020 23:25

    Rais wa Ghana ameashiria kuhusu mauaji ya kutisha ya Mmarekani mmoja mwenye asili ya Afrika katika mji wa Minneapolis nchini Marekani na kusema kuwa, "natumai kifo cha George Floyd kitakuwa chachu ya madiliko ya kudumu ya matatizo ya chuki na ubaguzi."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS