Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wairaqi waandamana kulaana shambulizi la Daesh dhidi ya Hashd al-Sha'abi

    Wairaqi waandamana kulaana shambulizi la Daesh dhidi ya Hashd al-Sha'abi

    May 03, 2020 08:09

    Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano katika mji mkuu Baghdad kulaani shambulizi la hivi karibuni la kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) lililoua na kujeruhi makumi ya wanachama wa harakati ya kujitolea wananchi ya Hashdu Sha'abi.

  • Maelfu waandamana Israel dhidi ya serikali ya mseto ya Netanyahu

    Maelfu waandamana Israel dhidi ya serikali ya mseto ya Netanyahu

    Apr 26, 2020 07:58

    Maelfu ya raia wa utawala haramu wa Israel wamefanya maandamano kupinga makubaliano ya kuunda serikali ya muungano baina ya Benjamin Netanyahu ambaye ni kiongozi wa chama cha Licud na kiongozi wa chama cha Blue and White, Benny Gantz, huku wakimtaja Waziri Mkuu huyo wa Israel kama mshukiwa wa jinai na kiongozi fisadi ambaye hapaswi kuendelea kuuongoza utawala huo bandia.

  • Wamarekani waandamana baada ya kuchoshwa na kukaa majumbani

    Wamarekani waandamana baada ya kuchoshwa na kukaa majumbani

    Apr 19, 2020 07:47

    Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji na majimbo kadhaa kushinikiza kuondolewa kwa agizo la kuwataka wasalie majumbani mwao, kama njia ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona.

  • Malaki ya raia wa utawala bandia wa Israel waandamana dhidi ya Netanyahu kwenye mitandao ya kijamii

    Malaki ya raia wa utawala bandia wa Israel waandamana dhidi ya Netanyahu kwenye mitandao ya kijamii

    Mar 24, 2020 02:37

    Zaidi ya raia nusu milioni wa utawala bandia wa Israel wameshiriki katika maandamano ya mitandao ya kijamii dhidi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo wakisisitiza kuwa kiongozi huyo ameendelea kujishikiza kwenye nafasi hiyo.

  • Mamia waandamana katika miji ya US kulaani mauaji ya Waislamu India

    Mamia waandamana katika miji ya US kulaani mauaji ya Waislamu India

    Mar 01, 2020 07:56

    Mamia ya raia wa Marekani wenye asili ya India wamefanya maandamano katika miji mikubwa ya Marekani kulaani na kupinga ghasia zilizopelekea makumi ya watu kuuawa katika mji mkuu wa India, New Delhi.

  • Waziri Mkuu wa Sudan aunda tume ya kuchunguza ukandamizaji dhidi ya raia

    Waziri Mkuu wa Sudan aunda tume ya kuchunguza ukandamizaji dhidi ya raia

    Feb 22, 2020 12:41

    Waziri Mkuu wa Sudan ametangaza kuwa ameunda tume ya kuchunguza vitendo vya ukandamizaji vilivyofanywa na vikosi vya usalama vya nchi hiyo Alkhamisi na Ijumaa ya jana.

  • Taifa la Iran laadhimisha miaka 41 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Taifa la Iran laadhimisha miaka 41 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 11, 2020 12:09

    Mamilioni ya wananchi wa Iran wamejitokeza mabarabarani katika miji na vijiji vya nchi hii kushiriki matembezi ya Bahman 22, kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 41 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Mamia waandamana Tel Aviv na London kupinga 'Muamala wa Karne'

    Mamia waandamana Tel Aviv na London kupinga 'Muamala wa Karne'

    Feb 02, 2020 07:21

    Mamia ya watu wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, Tel Aviv kulaani "Muamala wa Karne" uliozinduliwa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani, anayedai kuwa mapendekezo yaliyomo kwenye mpango huo ghalati yataleta suluhu ya amani ya mgogoro baina ya Israel na Palestina.

  • Maandamano dhidi ya sera ya kupenda vita ya Marekani yafanyika duniani

    Maandamano dhidi ya sera ya kupenda vita ya Marekani yafanyika duniani

    Jan 26, 2020 13:04

    Maandamano yameshuhudiwa katika nchi mbalimbali duniani kupinga sera ya kupenda vita ya Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kupinga hatua yoyote ya Washington ya kuanzisha vita na Iran.

  • Hashdu Shaabi: Marekani iondoke Iraq kwa khiari badala ya kusubiri kutimuliwa

    Hashdu Shaabi: Marekani iondoke Iraq kwa khiari badala ya kusubiri kutimuliwa

    Jan 25, 2020 07:41

    Harakati ya kujitolea wananchi ya Hashdu Shaabi ya Iraq imemtaka Rais Donald Trump kuwaondoa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu kwa khiari badala ya kusubiri watimuliwe kwa nguvu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS