-
Ulinzi mkali Iraq sambamba na kuanza maandamano ya milioni ya watu ya kuifukuza Marekani
Jan 24, 2020 08:01Duru za usalama za Iraq zimetangaza habari ya kuwekwa ulinzi mkali katika kona zote za nchi hiyo ya Kiarabu hasahasa Baghdad kufuatia kuanza maandamano ya milioni ya watu ya kushinikiza kufukuzwa wanajeshi wa Marekani nchini humo.
-
Mfuasi wa Sheikh Zakzaky auawa na polisi katika maandamano Abuja
Jan 22, 2020 12:10Vikosi vya usalama nchini Nigeria vimemuua kwa kumpiga risasi mfuasi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria katika maandamano ya kulalamikia kuendelea kushikiliwa gerezani kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump nchini Marekani
Jan 19, 2020 08:02Makumi ya maelfu ya wanawake wameshiriki maandamano katika miji mikubwa ya Marekani ukiwemo mji mkuu Washington, kupinga sera za kibaguzi za Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya wanawake.
-
Wajordan waandamana kupinga makubaliano ya gesi na Israel
Jan 18, 2020 03:10Mamia ya wananchi wa Jordan wamefanya maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo kufikia mapatano ya mabilioni ya dola ya gesi asilia na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waislamu wa Russia waandamana kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani
Jan 07, 2020 07:48Waislamu nchini Russia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani mjini Moscow, kulaani hatua ya ugaidi ya utawala wa Donald Trump wa Marekani ya kumuua shahidi kamanda wa jeshi la Iran, Luteni Jenerali Qassem Soleimani.
-
Wamarekani waandamana kulaani uchu wa vita wa utawala wa Trump
Jan 05, 2020 07:57Maelfu ya wanaharakati na wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika makumi ya miji ukiwemo mji mkuu Washington, kulaani hatua ya utawala wa Donald Trump ya kumuua shahidi kamanda wa jeshi la Iran, Luteni Jenerali Soleimani, pamoja na hatua ya Washington ya kutuma maelfu ya askari katika eneo la Asia Magharibi.
-
Wairani waandamana kote nchini kuomboleza mauaji ya Jen. Soleimani
Jan 03, 2020 12:32Wananchi wa Iran katika mikoa na miji mbalimbali ukiwemo mji mkuu Tehran wamemiminika mabarabarani baada ya Sala ya Ijumaa kushiriki maandamano ya kuomboleza na kulaani mauaji ya kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Iran.
-
Trump apandwa na hasira kutokana na maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani nchini Iraq
Jan 01, 2020 02:53Rais Donald Trump wa Marekani ameonyesha radiamali yake kutokana na kufanyika maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa nchi hiyo huko Baghdad, mji mkuu wa Iraq.
-
Mji mkuu wa Sudan washuhudia maandamano makubwa
Dec 26, 2019 04:47Maelfu ya wananchi wa mji mkuu wa Sudan Khartoum jana waliandamana wakitaka kupatiwa ufumbuzi matatizo ya kiuchumi na kupatikana uadilifu katika nchi hiyo.
-
6 wauawa katika maandamano ya kupinga sheria tata dhidi ya Waislamu India
Dec 15, 2019 12:34Watu sita wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya kupinga sheria iliyo dhidi ya Waislamu nchini India, huku taasisi za kimataifa, nchi na shakhsia mbalimbali duniani wakiendelea kukosoa hatua ya kupasishwa sheria hiyo tata.