Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maandamano yashtadi Algeria licha ya kutangazwa mshindi wa urais

    Maandamano yashtadi Algeria licha ya kutangazwa mshindi wa urais

    Dec 14, 2019 07:31

    Wananchi wa Algeria wameendelea kufanya maandamano katika barabara za miji mikubwa ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Algiers, licha ya mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni kutangazwa.

  • Maandamano ya kupinga vita yafanyika mbele ya balozi za Imarati katika nchi za Ulaya

    Maandamano ya kupinga vita yafanyika mbele ya balozi za Imarati katika nchi za Ulaya

    Dec 03, 2019 07:39

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano hadi mbele ya balozi za Umoja wa Falme za Kiarabu katika nchi kadhaa za Ulaya.

  • Adel Abdulmahdi: Kile kinachoendelea kujiri huko Iraq ni fitna kubwa

    Adel Abdulmahdi: Kile kinachoendelea kujiri huko Iraq ni fitna kubwa

    Nov 27, 2019 14:11

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa kile kinachoendelea nchini humo hivi sasa ni fitna kubwa na kueleza kuwa serikali inaendelea kutekeleza majukumu yake ya kuwaunga mkono wananchi licha ya mashinikizo chungu nzima.

  • Wakazi wa Beni waandamana wakitaka askari wa MONUSCO waondoke DRC

    Wakazi wa Beni waandamana wakitaka askari wa MONUSCO waondoke DRC

    Nov 23, 2019 02:41

    Wakazi wa mji wa Beni wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia wamefanya maandamano ya kushinikiza kuondoka nchini humo wanajeshi wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO.

  • Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza

    Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza

    Nov 23, 2019 02:38

    Makumi ya wanaharakati wamefanya maandamano katika mji wa Chicago jimboni Illinois nchini Marekani, kulaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa hivi karibuni na ndege za jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Ayatullah Khatami: Njama za maadui za kutikisa Mfumo zimegonga mwamba

    Ayatullah Khatami: Njama za maadui za kutikisa Mfumo zimegonga mwamba

    Nov 22, 2019 13:27

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameashiria njama za maadui za kutaka kutoa pigo kwa Mfumo wa Uongozi hapa nchini na kusema: "Hakuna mtu anayepinga watu kushiriki maandamano ya amani, lakini ni wazi maadui walitaka kushinikiza wimbi la ghasia na kuibua ukosefu wa usalama hapa nchini Iran."

  • Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia

    Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia

    Nov 20, 2019 02:29

    Kwa mara nyingine benki za Lebanon zimefunguliwa na kuanza shughuli zake chini ya ulinzi mkali wa maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • "Marekani inakusudia kuteka nyara maandamano ya amani ya Wairani"

    Nov 18, 2019 12:14

    Msemaji wa serikali ya Iran amesema Marekani inafanya juu chini ili kupotosha mkondo wa maandamano ya amani ya wananchi wa Iran wanaolalamikia ongezeko la bei ya petroli, lakini njama hizo zitagonga mwamba.

  • Rouhani: Wairani wana haki ya kuandamana bila kufanya fujo

    Rouhani: Wairani wana haki ya kuandamana bila kufanya fujo

    Nov 18, 2019 11:44

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wananchi wa taifa hili wana haki ya kufanya maandamano, lakini maandamano ya amani ni tofauti na uibuaji wa fujo na hali ya mchafukoge.

  • Wakazi wa Haifa waandamana kuiunga mkono Gaza

    Wakazi wa Haifa waandamana kuiunga mkono Gaza

    Nov 16, 2019 12:29

    Wapalestina wanaoishi Haifa ndani ya utawala haramu wa Israel, wamefanya maandamano kuunga mkono wakazi wa Ukanda wa Gaza kutokana na jinai za Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS