-
Maandamano yashtadi Algeria licha ya kutangazwa mshindi wa urais
Dec 14, 2019 07:31Wananchi wa Algeria wameendelea kufanya maandamano katika barabara za miji mikubwa ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Algiers, licha ya mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni kutangazwa.
-
Maandamano ya kupinga vita yafanyika mbele ya balozi za Imarati katika nchi za Ulaya
Dec 03, 2019 07:39Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano hadi mbele ya balozi za Umoja wa Falme za Kiarabu katika nchi kadhaa za Ulaya.
-
Adel Abdulmahdi: Kile kinachoendelea kujiri huko Iraq ni fitna kubwa
Nov 27, 2019 14:11Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa kile kinachoendelea nchini humo hivi sasa ni fitna kubwa na kueleza kuwa serikali inaendelea kutekeleza majukumu yake ya kuwaunga mkono wananchi licha ya mashinikizo chungu nzima.
-
Wakazi wa Beni waandamana wakitaka askari wa MONUSCO waondoke DRC
Nov 23, 2019 02:41Wakazi wa mji wa Beni wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia wamefanya maandamano ya kushinikiza kuondoka nchini humo wanajeshi wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO.
-
Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza
Nov 23, 2019 02:38Makumi ya wanaharakati wamefanya maandamano katika mji wa Chicago jimboni Illinois nchini Marekani, kulaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa hivi karibuni na ndege za jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Ayatullah Khatami: Njama za maadui za kutikisa Mfumo zimegonga mwamba
Nov 22, 2019 13:27Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameashiria njama za maadui za kutaka kutoa pigo kwa Mfumo wa Uongozi hapa nchini na kusema: "Hakuna mtu anayepinga watu kushiriki maandamano ya amani, lakini ni wazi maadui walitaka kushinikiza wimbi la ghasia na kuibua ukosefu wa usalama hapa nchini Iran."
-
Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia
Nov 20, 2019 02:29Kwa mara nyingine benki za Lebanon zimefunguliwa na kuanza shughuli zake chini ya ulinzi mkali wa maafisa usalama wa nchi hiyo.
-
"Marekani inakusudia kuteka nyara maandamano ya amani ya Wairani"
Nov 18, 2019 12:14Msemaji wa serikali ya Iran amesema Marekani inafanya juu chini ili kupotosha mkondo wa maandamano ya amani ya wananchi wa Iran wanaolalamikia ongezeko la bei ya petroli, lakini njama hizo zitagonga mwamba.
-
Rouhani: Wairani wana haki ya kuandamana bila kufanya fujo
Nov 18, 2019 11:44Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wananchi wa taifa hili wana haki ya kufanya maandamano, lakini maandamano ya amani ni tofauti na uibuaji wa fujo na hali ya mchafukoge.
-
Wakazi wa Haifa waandamana kuiunga mkono Gaza
Nov 16, 2019 12:29Wapalestina wanaoishi Haifa ndani ya utawala haramu wa Israel, wamefanya maandamano kuunga mkono wakazi wa Ukanda wa Gaza kutokana na jinai za Tel Aviv.