Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wapinzani wa serikali nchini Pakistan watangaza mpango wa pili wa kuendeleza maandamano

    Wapinzani wa serikali nchini Pakistan watangaza mpango wa pili wa kuendeleza maandamano

    Nov 14, 2019 07:30

    Chama cha Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu (Jamiat Ulema-e-Islam) nchini Pakistan ambacho kinaipinga serikali ya sasa ya Imran Khan, Waziri Mkuu wa nchi hiyo, kimetangaza mpango wa pili katika kumuwekea mashinikizo zaidi waziri mkuu huyo ili ajiuzulu.

  • "Marekani inachochea maandamano katika nchi za Kiarabu kwa maslahi yake"

    Nov 12, 2019 08:11

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inatumia maandamano yanayoshuhidiwa hivi sasa katika nchi kadhaa za Kiarabu kusukuma ajenda zake, na kuifanya Lebanon ishindwe kujisimamia yenyewe.

  • Maelfu ya Waislamu waandamana Ufaransa kupinga chuki dhidi ya Uislamu

    Maelfu ya Waislamu waandamana Ufaransa kupinga chuki dhidi ya Uislamu

    Nov 11, 2019 12:48

    Maelfu ya watu wameshiriki maandamano katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.

  • Maelfu ya raia wa Kuwait wafanya maandamano dhidi ya serikali

    Maelfu ya raia wa Kuwait wafanya maandamano dhidi ya serikali

    Nov 07, 2019 12:59

    Maelfu ya raia wa Kuwait wamefanya maandamano makubwa kulalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kimaisha pamoja na sheria inayohusiana na uraia wa nchi hiyo.

  • Magaidi walioua watu katika maandamano ya Iraq watiwa nguvuni

    Magaidi walioua watu katika maandamano ya Iraq watiwa nguvuni

    Oct 31, 2019 10:34

    Kamanda wa Operesheni ya Baghdad amesema kuwa magaidi waliowalenga na kuua raia wanaoandamana nchini humo wametiwa nguvuni.

  • Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya nchi za Magharibi, wasema ni utumwa mamboleo

    Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya nchi za Magharibi, wasema ni utumwa mamboleo

    Oct 25, 2019 13:05

    Wafuasi wa chama tawala nchini Zimbabwe wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare wakilaani vikwazo vya nchi za Maghaibi ambavyo Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo anasema vimedumaza uchumi wa Zimbabwe.

  • Matukio yanayojiri Iraq; harakati inayofuata njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika

    Matukio yanayojiri Iraq; harakati inayofuata njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika

    Oct 25, 2019 02:32

    Matukio yanayojiri nchini Iraq yanaelekea kwenye njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika, kufuatia safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini humo na msimamo wa wapinzani wa serikali wa kufanya maandamano Ijumaa ya leo ya tarehe 25 Oktoba.

  • Maelfu waandamana Sudan wakitaka kuvunjwa chama cha al-Bashir

    Maelfu waandamana Sudan wakitaka kuvunjwa chama cha al-Bashir

    Oct 22, 2019 08:06

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamejitokeza mabarabarani katika maandamano ya kushinikiza kuvunjiliwa mbali kilichokuwa chama tawala nchini humo.

  • Maandamano ya watu wa Lebanon, makataa ya Hariri na ahadi za Jenerali Aoun

    Maandamano ya watu wa Lebanon, makataa ya Hariri na ahadi za Jenerali Aoun

    Oct 20, 2019 02:33

    Miji mbali mbali ya Lebanon, ukiwemo mji mkuu wa nchi hiyo, Beirut, kwa siku kadhaa sasa imeshuhudia maandamano ya wananchi wanaolalamikia sera za kiuchumi za serikali ya Waziri Mkuu Saad Hariri.

  • Maandamano ya kupinga serikali yaendelea nchini Lebanon

    Maandamano ya kupinga serikali yaendelea nchini Lebanon

    Oct 18, 2019 15:19

    Maandamano ya kupinga serikali ya wananchi wa Lebanon yameendelea leo kwa waandamanaji kukusanyika karibu na ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge la nchi hiyo katika mji mkuu Beirut.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS