-
Wapinzani wa serikali nchini Pakistan watangaza mpango wa pili wa kuendeleza maandamano
Nov 14, 2019 07:30Chama cha Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu (Jamiat Ulema-e-Islam) nchini Pakistan ambacho kinaipinga serikali ya sasa ya Imran Khan, Waziri Mkuu wa nchi hiyo, kimetangaza mpango wa pili katika kumuwekea mashinikizo zaidi waziri mkuu huyo ili ajiuzulu.
-
"Marekani inachochea maandamano katika nchi za Kiarabu kwa maslahi yake"
Nov 12, 2019 08:11Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inatumia maandamano yanayoshuhidiwa hivi sasa katika nchi kadhaa za Kiarabu kusukuma ajenda zake, na kuifanya Lebanon ishindwe kujisimamia yenyewe.
-
Maelfu ya Waislamu waandamana Ufaransa kupinga chuki dhidi ya Uislamu
Nov 11, 2019 12:48Maelfu ya watu wameshiriki maandamano katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.
-
Maelfu ya raia wa Kuwait wafanya maandamano dhidi ya serikali
Nov 07, 2019 12:59Maelfu ya raia wa Kuwait wamefanya maandamano makubwa kulalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kimaisha pamoja na sheria inayohusiana na uraia wa nchi hiyo.
-
Magaidi walioua watu katika maandamano ya Iraq watiwa nguvuni
Oct 31, 2019 10:34Kamanda wa Operesheni ya Baghdad amesema kuwa magaidi waliowalenga na kuua raia wanaoandamana nchini humo wametiwa nguvuni.
-
Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya nchi za Magharibi, wasema ni utumwa mamboleo
Oct 25, 2019 13:05Wafuasi wa chama tawala nchini Zimbabwe wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare wakilaani vikwazo vya nchi za Maghaibi ambavyo Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo anasema vimedumaza uchumi wa Zimbabwe.
-
Matukio yanayojiri Iraq; harakati inayofuata njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika
Oct 25, 2019 02:32Matukio yanayojiri nchini Iraq yanaelekea kwenye njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika, kufuatia safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini humo na msimamo wa wapinzani wa serikali wa kufanya maandamano Ijumaa ya leo ya tarehe 25 Oktoba.
-
Maelfu waandamana Sudan wakitaka kuvunjwa chama cha al-Bashir
Oct 22, 2019 08:06Maelfu ya wananchi wa Sudan wamejitokeza mabarabarani katika maandamano ya kushinikiza kuvunjiliwa mbali kilichokuwa chama tawala nchini humo.
-
Maandamano ya watu wa Lebanon, makataa ya Hariri na ahadi za Jenerali Aoun
Oct 20, 2019 02:33Miji mbali mbali ya Lebanon, ukiwemo mji mkuu wa nchi hiyo, Beirut, kwa siku kadhaa sasa imeshuhudia maandamano ya wananchi wanaolalamikia sera za kiuchumi za serikali ya Waziri Mkuu Saad Hariri.
-
Maandamano ya kupinga serikali yaendelea nchini Lebanon
Oct 18, 2019 15:19Maandamano ya kupinga serikali ya wananchi wa Lebanon yameendelea leo kwa waandamanaji kukusanyika karibu na ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge la nchi hiyo katika mji mkuu Beirut.