-
5 wauawa katika maandamano ya wapinzani wa Rais Conde wa Guinea
Oct 16, 2019 02:54Watu watano wameripotiwa kuuawa katika ghasia za maandamano ya wapinzani wanaopinga uwezekano wa Rais Alpha Conde wa Guinea kugombea muhula wa tatu wa urais kinyume na katiba.
-
Iraq yatangaza marufuku ya kutembea mjini Baghdad kudhibiti ghasia
Oct 03, 2019 07:55Waziri Mkuu wa Iraq, Adil Abdul Mahdi ametangaza marukufu ya kutembea watu na magari katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad kuanzia alfajiri ya leo Alkhamisi hadi hapo baadaye.
-
Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali
Sep 30, 2019 08:11Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali ukandamizaji na kamatakamata dhidi ya waandamanaji nchini Misri na kusisitiza kuwa nchi hiyo imegeuzwa kuwa gereza kubwa la wakosoaji.
-
Maandamano dhidi ya Trump New York kabla ya mkutano wa UNGA
Sep 24, 2019 07:55Maandamano makubwa dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani yameshuhudiwa mjini New York usiku wa kuamkia leo, masaa machache kabla ya kuanza mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini humo.
-
Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi
Sep 21, 2019 07:14Wananchi wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya Rais Abdel Fattah al-Sisi wa nchi hiyo.
-
Waafrika Kusini wajiunga na wageni katika maandamano ya kulaani 'xenophobia'
Sep 15, 2019 07:20Wananchi wazalendo wa Afrika Kusini wamejiunga na raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini humo, katika maandamano ya kulaani ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.
-
Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela
Sep 03, 2019 03:07Waitifaki wawili wakubwa wa rais aliyeondolewa madarakani nchini Burkina Faso, Blaise Compaore, wamehukumiwa vifungo vya hadi miaka 20 jela kwa kupatikana na hatia ya kupanga mapinduzi ya mwaka 2015 dhidi ya serikali ya mpito nchini humo.
-
Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan
Aug 05, 2019 12:12Gazeti la Independent linalochapishwa nchini Uingereza limendika kuwa, mfumo mpya wa utawala nchini Sudan umepuuza nafasi na mchango mkubwa wa wanawake katika mapinduzi yaliyouondoa madarakani utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Omar al Bashir.
-
Waandamanaji wanne wauawa katika mji wa Omdurman nchini Sudan
Aug 02, 2019 08:03Waandamanaji wanne wanaripotiwa kuuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano yaliyofanyika jana katika mji wa Omdurman huko nchini Sudan, huku makumi ya wengine wakijeruhiwa.
-
Wazambia waandamana kulalamikia ufisadi wa serikali
Jul 21, 2019 12:37Maelfu ya wananchi wa Zambia wamefanya maandamano kulalamikia ufisadi mkubwa wa kifedhi ndani ya serikali ya nchi hiyo.