Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • 5 wauawa katika maandamano ya wapinzani wa Rais Conde wa Guinea

    5 wauawa katika maandamano ya wapinzani wa Rais Conde wa Guinea

    Oct 16, 2019 02:54

    Watu watano wameripotiwa kuuawa katika ghasia za maandamano ya wapinzani wanaopinga uwezekano wa Rais Alpha Conde wa Guinea kugombea muhula wa tatu wa urais kinyume na katiba.

  • Iraq yatangaza marufuku ya kutembea mjini Baghdad kudhibiti ghasia

    Iraq yatangaza marufuku ya kutembea mjini Baghdad kudhibiti ghasia

    Oct 03, 2019 07:55

    Waziri Mkuu wa Iraq, Adil Abdul Mahdi ametangaza marukufu ya kutembea watu na magari katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad kuanzia alfajiri ya leo Alkhamisi hadi hapo baadaye.

  • Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali

    Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali

    Sep 30, 2019 08:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali ukandamizaji na kamatakamata dhidi ya waandamanaji nchini Misri na kusisitiza kuwa nchi hiyo imegeuzwa kuwa gereza kubwa la wakosoaji.

  • Maandamano dhidi ya Trump New York kabla ya mkutano wa UNGA

    Maandamano dhidi ya Trump New York kabla ya mkutano wa UNGA

    Sep 24, 2019 07:55

    Maandamano makubwa dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani yameshuhudiwa mjini New York usiku wa kuamkia leo, masaa machache kabla ya kuanza mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini humo.

  • Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi

    Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi

    Sep 21, 2019 07:14

    Wananchi wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya Rais Abdel Fattah al-Sisi wa nchi hiyo.

  • Waafrika Kusini wajiunga na wageni katika maandamano ya kulaani 'xenophobia'

    Waafrika Kusini wajiunga na wageni katika maandamano ya kulaani 'xenophobia'

    Sep 15, 2019 07:20

    Wananchi wazalendo wa Afrika Kusini wamejiunga na raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini humo, katika maandamano ya kulaani ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.

  • Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

    Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

    Sep 03, 2019 03:07

    Waitifaki wawili wakubwa wa rais aliyeondolewa madarakani nchini Burkina Faso, Blaise Compaore, wamehukumiwa vifungo vya hadi miaka 20 jela kwa kupatikana na hatia ya kupanga mapinduzi ya mwaka 2015 dhidi ya serikali ya mpito nchini humo.

  • Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan

    Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan

    Aug 05, 2019 12:12

    Gazeti la Independent linalochapishwa nchini Uingereza limendika kuwa, mfumo mpya wa utawala nchini Sudan umepuuza nafasi na mchango mkubwa wa wanawake katika mapinduzi yaliyouondoa madarakani utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

  • Waandamanaji wanne wauawa katika mji wa Omdurman nchini Sudan

    Waandamanaji wanne wauawa katika mji wa Omdurman nchini Sudan

    Aug 02, 2019 08:03

    Waandamanaji wanne wanaripotiwa kuuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano yaliyofanyika jana katika mji wa Omdurman huko nchini Sudan, huku makumi ya wengine wakijeruhiwa.

  • Wazambia waandamana kulalamikia ufisadi wa serikali

    Wazambia waandamana kulalamikia ufisadi wa serikali

    Jul 21, 2019 12:37

    Maelfu ya wananchi wa Zambia wamefanya maandamano kulalamikia ufisadi mkubwa wa kifedhi ndani ya serikali ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS