-
Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky
Jul 20, 2019 07:29Waislamu na wanaharakati nchini Nigeria jana Ijumaa waliendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo licha ya kukabiliwa kwa mkono wa chuma na maafisa usalama wa nchi hiyo.
-
Jeshi la Nigeria laendelea kumwaga damu za wafuasi wa Zakzaky
Jul 17, 2019 07:22Mtu mmoja ameuawa na maafisa usalama katika mji wa Kano nchini Nigeria wakati wa maandamano makubwa ya kushinikiza kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa korokoroni kwa miaka kadhaa sasa.
-
Maelfu waandamana Marekani kupinga udhalilishaji wa Trump kwa wahajiri
Jul 13, 2019 12:29Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani, kupinga sera hasi za utawala wa Rais Donald Trump dhidi ya wahajiri wanaozuiliwa katika vituo vya mpaka wa nchi hiyo, na pia dhidi ya mpango wa kuwakamata na kuwatimua nchi humo wahajiri ambao hawajasajiliwa.
-
Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka
Jul 05, 2019 02:55Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameafikiana juu ya suala la kugawana madaraka katika kipindi cha mpito kuelekea katika uchaguzi.
-
Israel yawatia mbaroni makumi ya Wayahudi wa Kiethiopia, maandamano yashtadi
Jul 05, 2019 02:24Makumi ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia wamekamatwa na jeshi la Polisi la utawala haramu wa Israel huku maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel yakishtadi.
-
Wayahudi wa Ethiopia waandamana kulalamikia ukatili wa polisi ya Israel
Jul 03, 2019 07:25Maelfu ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia yaani Mafalasha wamefanya maandamano huko Tel Aviv kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Maandamano makubwa Sudan; sisitizo la kufanyika harakati katika mkondo wa demokrasia
Jul 02, 2019 12:56Jumapili ya juzi nchi ya Sudan ilishuhudia moja ya siku ngumu zaidi tangu Omar Hassan al-Bashir Rais wa zamani wa nchi hiyo aondolewe madarakani.
-
Wanigeria waandamana kupinga kundi linalodai kuwa eti linapambana na Boko Haram
Jul 01, 2019 12:52Kufutia mauaji ya dereva mmoja kaskazini mashariki mwa Nigeria yaliyofanywa na kundi la wanamgambo linalodai kuwa linapambana na wanamgambo wa Boko Haram, maelfu ya Wanigeria wamefanya maandamano makubwa wakitaka kuhitimishwa shughuli za kundi hilo.
-
Maandamano ya kupinga safari ya Meya wa Israel mjini Paris, Ufaransa
Jul 01, 2019 12:38Wanaharakati na watetezi wa haki za Wapalestina nchini Ufaransa wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris, sambamba na kulaani safari ya Meya wa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel, nchini humo.
-
Wayemen waandamana dhidi ya ubeberu wa Marekani na Saudia
Jun 28, 2019 14:56Makumi ya maelfu ya wananchi wa Yemen wamefanya maandamano leo Ijumaa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya Kiarabu ukiwemo mji mkuu Sana'a, kulalamikia ubeberu wa Marekani na mashambulizi ya kikatili ya Saudi Arabia.