Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky

    Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky

    Jul 20, 2019 07:29

    Waislamu na wanaharakati nchini Nigeria jana Ijumaa waliendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo licha ya kukabiliwa kwa mkono wa chuma na maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria laendelea kumwaga damu za wafuasi wa Zakzaky

    Jeshi la Nigeria laendelea kumwaga damu za wafuasi wa Zakzaky

    Jul 17, 2019 07:22

    Mtu mmoja ameuawa na maafisa usalama katika mji wa Kano nchini Nigeria wakati wa maandamano makubwa ya kushinikiza kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa korokoroni kwa miaka kadhaa sasa.

  • Maelfu waandamana Marekani kupinga udhalilishaji wa Trump kwa wahajiri

    Maelfu waandamana Marekani kupinga udhalilishaji wa Trump kwa wahajiri

    Jul 13, 2019 12:29

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani, kupinga sera hasi za utawala wa Rais Donald Trump dhidi ya wahajiri wanaozuiliwa katika vituo vya mpaka wa nchi hiyo, na pia dhidi ya mpango wa kuwakamata na kuwatimua nchi humo wahajiri ambao hawajasajiliwa.

  • Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Jul 05, 2019 02:55

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameafikiana juu ya suala la kugawana madaraka katika kipindi cha mpito kuelekea katika uchaguzi.

  • Israel yawatia mbaroni makumi ya Wayahudi wa Kiethiopia, maandamano yashtadi

    Israel yawatia mbaroni makumi ya Wayahudi wa Kiethiopia, maandamano yashtadi

    Jul 05, 2019 02:24

    Makumi ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia wamekamatwa na jeshi la Polisi la utawala haramu wa Israel huku maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel yakishtadi.

  • Wayahudi wa Ethiopia waandamana kulalamikia ukatili wa polisi ya Israel

    Wayahudi wa Ethiopia waandamana kulalamikia ukatili wa polisi ya Israel

    Jul 03, 2019 07:25

    Maelfu ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia yaani Mafalasha wamefanya maandamano huko Tel Aviv kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Maandamano makubwa Sudan; sisitizo la kufanyika harakati katika mkondo wa demokrasia

    Maandamano makubwa Sudan; sisitizo la kufanyika harakati katika mkondo wa demokrasia

    Jul 02, 2019 12:56

    Jumapili ya juzi nchi ya Sudan ilishuhudia moja ya siku ngumu zaidi tangu Omar Hassan al-Bashir Rais wa zamani wa nchi hiyo aondolewe madarakani.

  • Wanigeria waandamana kupinga kundi linalodai kuwa eti linapambana na Boko Haram

    Wanigeria waandamana kupinga kundi linalodai kuwa eti linapambana na Boko Haram

    Jul 01, 2019 12:52

    Kufutia mauaji ya dereva mmoja kaskazini mashariki mwa Nigeria yaliyofanywa na kundi la wanamgambo linalodai kuwa linapambana na wanamgambo wa Boko Haram, maelfu ya Wanigeria wamefanya maandamano makubwa wakitaka kuhitimishwa shughuli za kundi hilo.

  • Maandamano ya kupinga safari ya Meya wa Israel mjini Paris, Ufaransa

    Maandamano ya kupinga safari ya Meya wa Israel mjini Paris, Ufaransa

    Jul 01, 2019 12:38

    Wanaharakati na watetezi wa haki za Wapalestina nchini Ufaransa wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris, sambamba na kulaani safari ya Meya wa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel, nchini humo.

  • Wayemen waandamana dhidi ya ubeberu wa Marekani na Saudia

    Wayemen waandamana dhidi ya ubeberu wa Marekani na Saudia

    Jun 28, 2019 14:56

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Yemen wamefanya maandamano leo Ijumaa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya Kiarabu ukiwemo mji mkuu Sana'a, kulalamikia ubeberu wa Marekani na mashambulizi ya kikatili ya Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS