Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Jamii ya Mayahudi nchini Marekani yaandamana kupinga siasa za utawala haramu wa Israel

    Jamii ya Mayahudi nchini Marekani yaandamana kupinga siasa za utawala haramu wa Israel

    Jun 27, 2019 11:21

    Wanaharakati wa kiraia wa jamii ya Mayahudi wa Orthodox wanaoishi nchini Marekani wamefanya maandamano kupinga siasa za utawala haramu wa Kizayuni katika kuwalazimisha wanawake kwenda kujiunga na jeshi.

  • Wapalestina waandamana kupinga mkutano wa 'Muamala wa Karne' Bahrain

    Wapalestina waandamana kupinga mkutano wa 'Muamala wa Karne' Bahrain

    Jun 26, 2019 06:31

    Maefu ya wananchi wa Palestina jana Jumanne walijitokeza mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga mkutano wa kuzindua Muamala wa Karne ulionza jana katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.

  • Wamorocco waandamana kupinga mkutano wa Bahrain wa kuangamiza kadhia ya Palestina

    Wamorocco waandamana kupinga mkutano wa Bahrain wa kuangamiza kadhia ya Palestina

    Jun 24, 2019 06:33

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa kupinga mkutano wa kufungua mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne wa kuangamiza kadhia ya Palestina uliopangwa kufanyika kesho na keshokutwa Jumatano katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.

  • Wamarekani waandamana katika miji 130 wakitaka Rais Donald Trump asailiwe

    Wamarekani waandamana katika miji 130 wakitaka Rais Donald Trump asailiwe

    Jun 16, 2019 13:37

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji tofauti inayokaribia 130 wakitaka Rais Donald Trump wa nchi hiyo asailiwe.

  • Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina

    Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina

    Jun 16, 2019 06:59

    Makumi ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu Tunis, kulaani mpango wowote wa kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel, sambamba na kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Watu kadhaa wauawa katika kampeni ya uasi wa kiraia Sudan

    Watu kadhaa wauawa katika kampeni ya uasi wa kiraia Sudan

    Jun 10, 2019 07:47

    Kwa akali watu wanne wameripotiwa kuuawa na maafisa usalama katika kampeni ya uasi wa kiraia wa nchi nzima iliyoanza jana Jumapili nchini Sudan.

  • Maelfu waandamana Algeria wasema ,'Nyote Ondokeni'

    Maelfu waandamana Algeria wasema ,'Nyote Ondokeni'

    Jun 08, 2019 07:41

    Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Algeria, Algiers wakitaka rais wa mpito Abdlekader Bensalah aondoke baada ya sisitizo lake kuwa atabakia madarakani hadi rais mpya achaguliwe.

  • Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Jun 05, 2019 11:59

    Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Sudan wamezitaka badhi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati na Misri ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.

  • 5 wauawa baada ya maafisa usalama kushambulia waandamanaji Sudan

    5 wauawa baada ya maafisa usalama kushambulia waandamanaji Sudan

    Jun 03, 2019 07:14

    Habari kutoka Khartoum, mji mkuu wa Sudan zinaarifu kuwa, kwa akali watu watano wameuawa baada ya maafisa usalama nchini humo kushambulia kwa risasi hai maandamano ya wananchi wanaolalamikia hatua ya jeshi la nchi hiyo kung'ang'ania madaraka.

  • Polisi ya Nigeria yakosolewa kwa kuwashambulia waandamanaji Siku ya Quds

    Polisi ya Nigeria yakosolewa kwa kuwashambulia waandamanaji Siku ya Quds

    Jun 01, 2019 11:21

    Polisi ya Nigeria imekosolewa vikali kwa kuwashambuliwa Waislamu na wanaharakati walioshiriki matembezi ya amani ya Siku ya Kimataifa ya Quds jana Ijumaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS