Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Jun 05, 2019 07:29

    Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Sudan wamezitaka badhi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati na Misri ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.

  • 5 wauawa baada ya maafisa usalama kushambulia waandamanaji Sudan

    5 wauawa baada ya maafisa usalama kushambulia waandamanaji Sudan

    Jun 03, 2019 02:44

    Habari kutoka Khartoum, mji mkuu wa Sudan zinaarifu kuwa, kwa akali watu watano wameuawa baada ya maafisa usalama nchini humo kushambulia kwa risasi hai maandamano ya wananchi wanaolalamikia hatua ya jeshi la nchi hiyo kung'ang'ania madaraka.

  • Polisi ya Nigeria yakosolewa kwa kuwashambulia waandamanaji Siku ya Quds

    Polisi ya Nigeria yakosolewa kwa kuwashambulia waandamanaji Siku ya Quds

    Jun 01, 2019 06:51

    Polisi ya Nigeria imekosolewa vikali kwa kuwashambuliwa Waislamu na wanaharakati walioshiriki matembezi ya amani ya Siku ya Kimataifa ya Quds jana Ijumaa.

  • Mgomo wa nchi nzima wa wapinzani nchini Sudan kufanyika wiki ijayo

    Mgomo wa nchi nzima wa wapinzani nchini Sudan kufanyika wiki ijayo

    May 25, 2019 02:38

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametangaza Jumanne ya wiki ijayo kuwa siku ya kuanza mgomo wa nchi nzima, baada ya mazungumzo ya kutatua hitilafu zilizopo baina yao na Baraza la Mpito la Kijeshi kushindwa kuzaa matunda.

  • Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    May 21, 2019 09:00

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametoa mwito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima, wakisisitiza kuwa vikao viwili vya mazungumzo vya juzi na jana jioni vimeshindwa kupatia ufumbuzi hitilafu zilizopo baina ya pande mbili.

  • Jeshi la Nigeria lawafyatulia risasi hai waandamanaji wanaotaka kuachiwa Sheikh Zakzaky

    Jeshi la Nigeria lawafyatulia risasi hai waandamanaji wanaotaka kuachiwa Sheikh Zakzaky

    May 18, 2019 10:08

    Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya jeshi la Nigeria kuwafyatulia risasi hai waandamanaji wanaotaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Mamilioni ya Wapalestina washiriki maandamano ya

    Mamilioni ya Wapalestina washiriki maandamano ya "Siku ya Nakba"

    May 15, 2019 22:05

    Mamilioni ya Wapalestina jana walishiriki katika maandamano ya "Siku ya Nakba" ambayo ni kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kwa mabavu Palestina.

  • Mtu mmoja auawa katika maandamano ya Wasudan eneo la Darfur

    Mtu mmoja auawa katika maandamano ya Wasudan eneo la Darfur

    May 05, 2019 09:54

    Mtu mmoja amepoteza maisha hii leo kutokana na majeraha ya risasi aliyofyatuliwa hapo jana katika maandamano ya wananchi wa Sudan, ya kulishinikiza Baraza la Mpito la Kijeshi likabidhi madaraka kwa raia.

  • Walibya waandamana mjini Tripoli kuulaani utawala wa Saudi Arabia

    Walibya waandamana mjini Tripoli kuulaani utawala wa Saudi Arabia

    May 04, 2019 09:22

    Raia wa Libya wamefanya maandamano mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Tripoli, wakilaani uingiliaji haribifu wa Riyadh katika masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Maandamano ya wananchi yaendelea Algeria kupinga serikali ya mpito

    Maandamano ya wananchi yaendelea Algeria kupinga serikali ya mpito

    May 04, 2019 03:43

    Wananchi wa Algeria wameendelea na maandamano yao ya kupinga serikali ya mpito ya nchi hiyo na kuishutumu kuwa inapoteza muda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS