Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Mgomo wa nchi nzima wa wapinzani nchini Sudan kufanyika wiki ijayo

    Mgomo wa nchi nzima wa wapinzani nchini Sudan kufanyika wiki ijayo

    May 25, 2019 07:08

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametangaza Jumanne ya wiki ijayo kuwa siku ya kuanza mgomo wa nchi nzima, baada ya mazungumzo ya kutatua hitilafu zilizopo baina yao na Baraza la Mpito la Kijeshi kushindwa kuzaa matunda.

  • Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    May 21, 2019 13:30

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametoa mwito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima, wakisisitiza kuwa vikao viwili vya mazungumzo vya juzi na jana jioni vimeshindwa kupatia ufumbuzi hitilafu zilizopo baina ya pande mbili.

  • Jeshi la Nigeria lawafyatulia risasi hai waandamanaji wanaotaka kuachiwa Sheikh Zakzaky

    Jeshi la Nigeria lawafyatulia risasi hai waandamanaji wanaotaka kuachiwa Sheikh Zakzaky

    May 18, 2019 14:38

    Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya jeshi la Nigeria kuwafyatulia risasi hai waandamanaji wanaotaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Mamilioni ya Wapalestina washiriki maandamano ya

    Mamilioni ya Wapalestina washiriki maandamano ya "Siku ya Nakba"

    May 16, 2019 02:35

    Mamilioni ya Wapalestina jana walishiriki katika maandamano ya "Siku ya Nakba" ambayo ni kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kwa mabavu Palestina.

  • Mtu mmoja auawa katika maandamano ya Wasudan eneo la Darfur

    Mtu mmoja auawa katika maandamano ya Wasudan eneo la Darfur

    May 05, 2019 14:24

    Mtu mmoja amepoteza maisha hii leo kutokana na majeraha ya risasi aliyofyatuliwa hapo jana katika maandamano ya wananchi wa Sudan, ya kulishinikiza Baraza la Mpito la Kijeshi likabidhi madaraka kwa raia.

  • Walibya waandamana mjini Tripoli kuulaani utawala wa Saudi Arabia

    Walibya waandamana mjini Tripoli kuulaani utawala wa Saudi Arabia

    May 04, 2019 13:52

    Raia wa Libya wamefanya maandamano mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Tripoli, wakilaani uingiliaji haribifu wa Riyadh katika masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Maandamano ya wananchi yaendelea Algeria kupinga serikali ya mpito

    Maandamano ya wananchi yaendelea Algeria kupinga serikali ya mpito

    May 04, 2019 08:13

    Wananchi wa Algeria wameendelea na maandamano yao ya kupinga serikali ya mpito ya nchi hiyo na kuishutumu kuwa inapoteza muda.

  • Walibya waandamana mjini Tripoli kulaani hatua za Ufaransa dhidi ya nchi yao

    Walibya waandamana mjini Tripoli kulaani hatua za Ufaransa dhidi ya nchi yao

    Apr 27, 2019 12:58

    Raia wa Libya wamefanya maandamano katika medani kuu ya mji wa Tripoli wakiwa wamevalia vizibao vya njano kama wanavyofanya washiriki wa maandamano ya vizibao vya njazo kupinga siasa za kiuchumi za serikali ya Ufaransa, ambapo nao wamelaani mienendo hasi ya serikali ya Paris dhidi ya nchi yao.

  • Wanaharakati waandamana London, Uingereza kulaani ukatili wa Saudia

    Wanaharakati waandamana London, Uingereza kulaani ukatili wa Saudia

    Apr 27, 2019 07:48

    Kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia katika mji mkuu wa Uingereza, London kulaani ukatili wa hivi karibuni wa watawala wa Aal-Saud dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia.

  • Waandamanaji Algeria wataka kupandishwa kizimbani ndugu ya Bouteflika

    Waandamanaji Algeria wataka kupandishwa kizimbani ndugu ya Bouteflika

    Apr 27, 2019 02:41

    Wananchi wa Algeria jana waliandamana tena ikiwa ni Ijumaa ya 10 mtawalia ya maandamano yao ambapo mbali na kusisitiza juu ya kuachia ngazi viongozi na maafisa wote wa serikali waliokuwa katika kipindi cha utawala wa Abdelaziz Bouteflika, Rais wa nchi hiyo aliyelazimika kujiuzulu, wametoa mwito wa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria Said Bouteflika, ndugu ya rais huyo mkongwe aliyejiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS