-
Rajoelina atangaza kulivunja Bunge la Madagascar akiwa 'mafichoni'
Oct 14, 2025 23:04Rais wa Madagascar anayesakamwa na mashinikizo ya kujiuzulu, Andry Rajoelina ametangaza kulivunja Bunge kufuatia wiki kadhaa za maandamano dhidi ya serikali yake kote nchini, akisema ni muhimu kurejesha utulivu na kutoa nafasi kwa vijana.
-
Wanajeshi wa Madagascar waungana na waandamanaji wanaoipinga serikali katika mji mkuu
Oct 12, 2025 01:55Baadhi ya makundi ya wanajeshi wa Madagascar yamekaidi amri na kuungana na maelfu ya waandamanaji wanaoipinga serikali, ambao wamekusanyika katika mji mkuu, Antananarivo, huku maandamano ya kupinga utawala wa Rais Andry Rajoelina yakizidi kupamba moto.
-
Rais wa Madagascar afanya mazungumzo licha ya waandamanaji kususia
Oct 09, 2025 03:43Rais Andry Rajoelina wa Madagascar jana aliyaalika makundi na asasi kadhaa za kiraia kwa ajili ya mazungumzo katika ikuu ya Rais.
-
Rais wa Madagascar amteua jenerali wa jeshi kuwa Waziri Mkuu mpya
Oct 06, 2025 23:41Rais Andriy Rajoelina wa Madagascar amemteua Jenerali Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo wiki moja baada ya kulivunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya wananchi ya siku kadhaa.
-
Maandamano yashtadi Madagascar huku Rais akishinikizwa kujiuzulu
Oct 02, 2025 04:25Mitaa mbali ya Madagascar jana Jumatano ilishuhudia maandamano ya wananchi wanaoshinikiza kujiuzulu raia wa nchi hiyo. Polisi ya nchi hiyo kwa upande wake walichukua hatua za kuzuia kuibuka ghasia katika maandamano hayo.
-
Rais wa Madagascar avunja serikali sambamba na watu wasiopungua 22 kuuawa katika maandamano
Sep 30, 2025 03:35Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameivunja serikali yake siku ya Jumatatu kutokana na kupamba moto maandamano ya upinzani yanayoongozwa na vijana ya kulalamikia uhaba mkubwa wa maji na umeme, mgogoro ambao kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa umesababisha vifo vya watu wasiopungua 22 na kujeruhiwa zaidi ya 100 katika kile kinachotajwa kama changamoto kubwa zaidi kuukabili utawala wake baada ya miaka kadhaa.
-
Rais Pezeshkian asisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa Iran na Madagascar
Aug 28, 2025 23:46Rais Masoud Pezeshkian amewataka mabalozi wapya walioteuliwa hivi karibuni kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu katika nchi za Madagascar na Croatia kuimarisha uhusiano wa pande mbili baina ya Iran na nchi hizi mbili.
-
WHO: Mlipuko wa polio Madagascar umekwisha
May 20, 2025 08:29Mlipuko wa ugonjwa wa polio aina ya kwanza au (Type 1) nchini Madagascar umetangazwa kuwa umemalizika. Hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne na Shirika la Afya Duniani (WHO).
-
Kimbunga cha Gamane chaipiga Madagascar, 11 waaga dunia
Mar 28, 2024 23:08Watu wasiopungua 11 wameaga dunia baada ya kimbunga kikali cha tropiki cha Gamane kuipiga Madagascar.
-
Sheria inayoruhusu kuwahasi wabakaji Madagascar yalalamikiwa na makundi ya kutetea haki
Feb 13, 2024 04:02Bunge la Madagascar limepitisha sheria inayoruhusu kuwahasi kwa kemikali na katika baadhi ya kesi kwa njia ya upasuaji watu wanaopatikana na hatia ya kubaka watoto wadogo.