-
SAUTI, Wafuasi wa kiongozi wa waasi nchini CAR waijia juu serikali wakiitaka isimpandishe kizimbani bosi wao
Nov 28, 2019 16:43Wafuasi wa Abdullah Miskin, Kiongozi wa moja ya makundi mashuhuri nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wameijia juu serikali ya Bangui wakiitaka kutomrejesha nchini humo kiongozi wao huo akiwa chini ya ulinzi.
-
SAUTI, Wakazi wa mji wa Obo nchini CAR waishi kwa wasi wasi mkubwa kutokana na mashambulizi ya magaidi wa Kikristo
Apr 10, 2019 16:56Hali ya usalama katika mji wa Obo ulioko kusini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati imezidi kuwa mbaya kufuatia waasi wa kundi la kigaidi la Lord's Resistance Army (LRA) kuvamia mji huo na kufanya jinai ikiwemo kuiba vyakula vya wakazi wake.
-
Mahakama ya Katiba Madagascar yathibitisha ushindi wa Andry Rajoelina
Jan 09, 2019 04:41Mahakama ya Katiba ya Madagascar imethibitisha ushindi wa Andry Rajoelina na kutupilia mbali madai ya kuweko udanganyifu yaliyowasilisha na hasimu wake Marc Ravalomanana.
-
Wapinzani Madagascar wataka kura za uchaguzi wa rais zihesabiwe tena
Dec 30, 2018 03:20Wafuasi wa kambi ya upinzani nchini Madagascar wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Antananarivo wakitaka kuhesabiwa tena kura za uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni nchini humo.
-
Uchaguzi Madagascar; Ravalomanana apinga ushindi wa Rajoelina mahakamani
Dec 28, 2018 16:02Siku moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Madagascar kutangaza matokeo ya muda yaliyoonesha kuwa rais wa zamani wa nchi hiyo Andry Rajoelina ndiye aliyepata kura nyingi zaidi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyofanyika Disemba 19, mpinzani wake mkuu Marc Ravalomanana ameenda mahakamani kupinga matokeo hayo.
-
Marais 2 wa zamani wajitangaza washindi wa duru ya pili ya uchaguzi Madagascar
Dec 20, 2018 14:58Wagombea wawili wa duru ya pili ya uchaguzi wa rais nchini Madagascar, ambao wamewahi kuwa marais wa kisiwa hicho, Marc Ravalomanana na Andry Rajoelina, wamejitangaza washindi wa uchaguzi huo uliofanyika jana, licha ya Tume ya Uchaguzi kusema kuwa imehesabu asilimia tano tu ya kura kufikia sasa.
-
Duru ya pili ya uchaguzi wa Rais Madagascar yafanyika leo, marais 2 wa zamani wachuana
Dec 19, 2018 07:36Wananchi wa Madagascar waliotimiza masharti ya kupiga kura mapema leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki duru ya pili ya uchaguzi wa rais, unaowachuanisha marais wawili wa zamani wa kisiwa hicho, Marc Ravalomanana na Andry Rajoelina.
-
Marais wawili wa zamani Madagascar waingia duru ya pili ya uchaguzi
Nov 18, 2018 07:25Marais wawili wa zamani wa Madagascar, Andry Rajoelina na Marc Ravalomanana wamepata kura za kutosha katika uchaguzi wa rais ambazo zitawawezesha kuchuana katika duru ya pili mwezi ujao.
-
EU: Uchaguzi wa rais Madagascar ni wenye itibari
Nov 10, 2018 08:13Waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi wa rais uliomalizikka nchini Madagascar wamesema kuwa ukiukaji ulioshuhudiwa katika duru ya kwanza ya uchaguzi huo ulikuwa mdogo sana.
-
Kiongozi wa zamani Madagascar aongoza matokeo ya awali uchaguzi wa rais
Nov 08, 2018 08:26Zoezi la kuhesabu kura katika uchaguzi wa rais limekuwa likiendelea mapema leo huko Madagascar huku kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Andry Rajoelina akiongoza matokeo ya awali kwa mujibu wa kura zilizohesabiwa katika vituo vichache nchini humo.