Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Magharibi

  • Bashar al Ja'far: Nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahahu kupambana na ugaidi

    Bashar al Ja'far: Nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahahu kupambana na ugaidi

    Jun 28, 2018 07:49

    Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa ametetea oparesheni zinazofanywa na jeshi la nchi yake dhidi ya magaidi kusini mwa nchi na kueleza kuwa nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahau kupambana dhidi ya ugaidi.

  • Matokeo mabaya ya siasa za Magharibi za kuunga mkono ugaidi na kubeba Ulaya hasara ya Euro bilioni 180

    Matokeo mabaya ya siasa za Magharibi za kuunga mkono ugaidi na kubeba Ulaya hasara ya Euro bilioni 180

    Jun 10, 2018 10:17

    Matokeo machungu ya siasa za Magharibi za kuunga mkono makundi ya kigaidi hususan katika eneo la Mashariki ya Kati, yameanza kuonekana pole pole hivi sasa.

  • Putin: Lengo la mashambulizi ya Magharibi lilikuwa kuwasaidia magaidi

    Putin: Lengo la mashambulizi ya Magharibi lilikuwa kuwasaidia magaidi

    Apr 25, 2018 14:02

    Rais wa Russia amelitaja shambulio la makombora la nchi za Magharibi huko Syria kuwa lilitekelezwa ili kuwasaidia magaidi.

  • Lavrov: Uhusiano wa Moscow na nchi za Magharibi ni mbaya zaidi kuliko ule wa kipindi cha Vita Baridi

    Lavrov: Uhusiano wa Moscow na nchi za Magharibi ni mbaya zaidi kuliko ule wa kipindi cha Vita Baridi

    Apr 17, 2018 03:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa mashambulizi yaliyofanywa na nchi kadhaa za Magharibi dhidi ya Syria yameharibu kabisa hali ya kuaminiana baina ya pande hizo mbili.

  • Lavrov: Uhusiano wetu na nchi za Magharibi ni mbaya zaidi kuliko kipindi cha vita baridi

    Lavrov: Uhusiano wetu na nchi za Magharibi ni mbaya zaidi kuliko kipindi cha vita baridi

    Apr 03, 2018 02:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, hatua za Marekani na nchi za Magharibi, ndicho chanzo cha kuendelea kuzorota uhusiano kati ya mataifa hayo na Moscow.

  • Lavrov atoa onyo kali kwa nchi za Magharibi

    Lavrov atoa onyo kali kwa nchi za Magharibi

    Mar 28, 2018 06:50

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa Moscow haitanyamaza kimya mbele ya hatua ya nchi za Magharibi ya kuwafukuza wanadiplomasia wa nchi hiyo.

  • Sudan Kusini yapinga sera za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Sudan Kusini yapinga sera za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Mar 06, 2018 17:16

    Serikali ya Sudan Kusini imepinga vikali sera za nchi za Magharibi za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo na kutahadharisha kuwa, mashinikizo ya nchi hizo hayawezi kusaidia mwenendo wa kurejesha amani huko Sudan Kusini.

  • Rogozin: Russia ipo tayari kukabiliana na vikwazo

    Rogozin: Russia ipo tayari kukabiliana na vikwazo

    Feb 26, 2018 13:57

    Naibu Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa Moscow ipo tayari kukabiliana na vikwazo vya Magharibi.

  • Russia yazionya nchi za Magharibi zisijaribu kuingilia uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Russia yazionya nchi za Magharibi zisijaribu kuingilia uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Feb 16, 2018 07:38

    Serikali ya Russia imeyaonya madola ya Magharibi kutoingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo hususan katika uchaguzi wa rais.

  • Ukiukwaji wa haki za binadamu Bahrain na kimya cha UN na madola ya Magharibi

    Ukiukwaji wa haki za binadamu Bahrain na kimya cha UN na madola ya Magharibi

    Feb 03, 2018 08:06

    Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kutekeleza sera za ukandamizaji dhidi ya wapinzani ikiwa ni pamoja na kuwanyonga, kuwatesa, kuwapokonya uraia na kuwalazimui kuihama nchi. Hayo yote yanafanyika huku kukiwa na kimya kikubwa cha madola ya Magharibi yanayodai kutetea haki za binadamu na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS