Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Magharibi

  • Zarif: Magaidi wazawa wa Magharibi ndio wanaowaua watoto Syria, Iraq

    Zarif: Magaidi wazawa wa Magharibi ndio wanaowaua watoto Syria, Iraq

    Dec 03, 2017 14:16

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Magharibi zitoe ufafanuzi kuhusu ni kwa nini wimbi la watoto wanaozaliwa, kulelewa na kupata elimu katika nchi hizo ndio wanaoongoza katika mauaji yanayofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) dhidi ya watoto wa Syria na Iraq.

  • Raila: Mabalozi wa nchi za Magharibi ni wasaliti, wachukuliwe hatua

    Raila: Mabalozi wa nchi za Magharibi ni wasaliti, wachukuliwe hatua

    Nov 10, 2017 08:20

    Raila Odinga Kiongozi wa Muungano wa upinzani Kenya (Nasa) jana aliwataka viongozi wa nchi za Magharibi hususan Marekani na Uingereza kuwachukulia hatua mabalozi wanaoziwakilisha nchi hizo huko Kenya kwa kuhujumu demokrasia.

  • Iran: Historia haitasahau jinai zinazofanywa na Saudia huko Yemen

    Iran: Historia haitasahau jinai zinazofanywa na Saudia huko Yemen

    Sep 24, 2017 03:32

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa historia ya dunia haitasahau jinai na uhalifu mkubwa unaofanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen.

  • Ayatullah Larijani: Wamagharibi hawana nia ya kuutokomeza ugaidi

    Ayatullah Larijani: Wamagharibi hawana nia ya kuutokomeza ugaidi

    Aug 22, 2017 02:41

    Mkuu wa Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Magharibi hauna azma ya dhati ya kuutokomeza ugaidi.

  • Mufti wa zamani Misri atahadharisha kuhusu mfumo wa elimu unaopiga vita Uislamu Magharibi

    Mufti wa zamani Misri atahadharisha kuhusu mfumo wa elimu unaopiga vita Uislamu Magharibi

    Aug 01, 2017 05:58

    Mufti wa zamani wa Misri ametahadharisha kuhusu athari mbaya za mfumo wa elimu unaopiga vita Uislamu katika nchi za Magharibi.

  • Assad: Wamagharibi wanawapa himaya magaidi na sio raia

    Assad: Wamagharibi wanawapa himaya magaidi na sio raia

    Dec 15, 2016 04:22

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema serikali za nchi za Magharibi zinawapa himaya na kuwakingia kifua magaidi wanaofanya jinai nchini humo na wala hazijali hali ya raia wa kawaida wa nchi hiyo.

  • Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake

    Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake

    Nov 29, 2016 03:00

    Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa sera za nchi za Magharibi za kuyatumia makundi ya kigaidi kama wenzo wa kufikia malengo yao na kusisitiza kuwa mchezo huo mchafu umesababisha matatizo mengi.

  • Kenya yatahadharisha  madola ya kigeni kuhusu kufadhili vyama vya upinzani

    Kenya yatahadharisha madola ya kigeni kuhusu kufadhili vyama vya upinzani

    Oct 23, 2016 14:55

    Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya Justin Muturi ametahadharisha kuhusu mpango wa baadhi ya madola ya kigeni kufadhili kampeni za vyama vya upinzani kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2017.

  • Ayatullah Khatami: Uungaji mkono wa Magharibi kwa mashambulizi ya Saudia Yemen unashadidisha mauaji ya raia

    Ayatullah Khatami: Uungaji mkono wa Magharibi kwa mashambulizi ya Saudia Yemen unashadidisha mauaji ya raia

    Oct 14, 2016 13:21

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa uungaji mkono wa nchi za Magharibi kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Saudi Aarbia huko Yemen, ndiyo sababu ya kusthadi mgogoro na kuuliwa raia wa Yemen wasio na hatia.

  • Iran yaikosoa Magharibi kwa uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi

    Iran yaikosoa Magharibi kwa uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi

    Aug 06, 2016 07:55

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa hatua ya nchi za Magharibi ya kuipaka matope Jamhuri ya Kiislamu kwa hatua yake ya kutekeleza hukumu ya kifo dhidi ya magaidi hapa nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS