Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

magharibi mwa Asia

  • Kwa nini msimamo wa Umoja wa Nchi za Kiislamu dhidi ya mpango wa

    Kwa nini msimamo wa Umoja wa Nchi za Kiislamu dhidi ya mpango wa "Israel Kubwa" ni hatua ya kukabiliana na kujitanua kwa utawala wa Kizayuni?

    Aug 18, 2025 02:54

    Katika radiamali ambayo haijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, nchi 31 za Kiislamu zimetoa taarifa ya pamoja zikilaani mpango wa Benjamin Netanyahu wa kuunda "Israeli Kubwa" na huku zikitahadharisha kuhusu hatari ya sera hiyo ya kupenda kujitanua, zimeutaja mpango huo kuwa tishio kwa usalama wa eneo, ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na hatua ya kuchochea ghasia na ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Ben-Gvir: Israel imegeuzwa kuwa 'kioja' Mashariki ya Kati

    Ben-Gvir: Israel imegeuzwa kuwa 'kioja' Mashariki ya Kati

    Feb 10, 2025 11:25

    Aliyekuwa waziri wa usalama wa ndani wa Israel, Itamar Ben-Gvir amesema utawala huo wa Kizayuni umekuwa kioja na kichekesho katika eneo la Asia Magharibi.

  • Baada ya Israel kuichoma moto hospitali kuu ya kaskazini ya Ghaza, yamkamata mkurugenzi na wafanyakazi wake

    Baada ya Israel kuichoma moto hospitali kuu ya kaskazini ya Ghaza, yamkamata mkurugenzi na wafanyakazi wake

    Dec 28, 2024 14:12

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa askari wa jeshi la utawala w Kizayuni wa Israel wamemkamata Hussam Abu Safiya, Mkurugenzi wa Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Ghaza, na wafanyakazi wengine mapema leo, siku moja baada ya askari wa jeshi hilo kuichoma moto hospitali hiyo, ambayo ndicho kituo kikuu pekee cha afya katika eneo hilo.

  • Iran yaitaka Ukraine iache kuwaunga mkono na kuwasaidia magaidi eneo la Asia Magharibi

    Iran yaitaka Ukraine iache kuwaunga mkono na kuwasaidia magaidi eneo la Asia Magharibi

    Dec 07, 2024 02:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeitaka Ukraine iache kuunga mkono magaidi katika eneo la Asia Magharibi.

  • Iran yakaribisha kusitishwa vita Lebanon, yasisitiza kuwaunga mkono wananchi na Hizbullah

    Iran yakaribisha kusitishwa vita Lebanon, yasisitiza kuwaunga mkono wananchi na Hizbullah

    Nov 27, 2024 12:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekaribisha makubaliano ya usitishaji vita kati ya Hizbullah na Israel, na kusisitizia uungaji mkono thabiti wa Jamhuri ya Kiislamu kwa serikali ya Lebanon, wananchi na harakati yake ya Muqawama.

  • Marekani yajipanga kutuma idadi kubwa zaidi ya wanajeshi na zana za kivita Asia Magharibi

    Marekani yajipanga kutuma idadi kubwa zaidi ya wanajeshi na zana za kivita Asia Magharibi

    Nov 02, 2024 06:33

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetangaza mpango wa kutumwa wanajeshi zaidi wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi.

  • Sisitizo la Joe Biden la kudumisha uwepo wa kijeshi wa Marekani Asia Magharibi

    Sisitizo la Joe Biden la kudumisha uwepo wa kijeshi wa Marekani Asia Magharibi

    Oct 16, 2024 13:30

    White House ilitangaza siku ya Jumanne kwamba, Rais Joe Biden wa Marekani ameiandikia barua Congress ya nchi hiyo akiifahamisha kwamba vikosi vya Marekani vitaendelea kubakia katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) kwa kuhofia jibu la Iran kwa chokochoko za utawala wa Kizayuni.

  • Katika Siku ya Afya ya Akili Duniani, Katibu Mkuu wa UN asema: Hakuna afya bora bila afya ya akili

    Katika Siku ya Afya ya Akili Duniani, Katibu Mkuu wa UN asema: Hakuna afya bora bila afya ya akili

    Oct 11, 2024 07:31

    Siku ya Afya ya Akili Duniani imeadhimishwa Oktoba 10 huku ikiripotiwa kuwa, mtu mmoja kati ya wanane duniani ana tatizo la afya ya akili.

  • Iran: Hatutaruhusu Israel ichochee moto wa vita Asia Magharibi

    Iran: Hatutaruhusu Israel ichochee moto wa vita Asia Magharibi

    Aug 11, 2024 07:35

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafanya hima kuzuia utawala wa Kizayuni wa Israel utimize ndoto yake ya kuwasha na kuchochea moto wa vita vya pande zote katika eneo la Asia Magharibi.

  • Ali Bagheri Kani: Uhusiano imara miongoni mwa nchi jirani utapelekea kufurushwa nchi vamizi Asia Magharibi

    Ali Bagheri Kani: Uhusiano imara miongoni mwa nchi jirani utapelekea kufurushwa nchi vamizi Asia Magharibi

    May 28, 2024 07:49

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa uhusiano imara miongoni mwa nchi jirani za kanda hii ni njia pekee ya kuzifurusha nchi vamizi katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS