Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

magharibi mwa Asia

  • AFC yataka FIFA iifutie uanachama Israel kutokana na jinai zake Gaza

    AFC yataka FIFA iifutie uanachama Israel kutokana na jinai zake Gaza

    May 16, 2024 12:21

    Shirikisho la Soka Asia (AFC) limetangaza kuunga mkono ombi la Palestina la kulitaka Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) liifutie uanachama Israel katika taasisi hiyo kubwa zaidi ya kandanda duniani, kutokana na utawala huo wa Kizayuni kutenda jinai kubwa dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Abdollahian: Kusitisha jinai za Israel ndiyo njia pekee ya kurejesha uthabiti Asia Magharibi

    Abdollahian: Kusitisha jinai za Israel ndiyo njia pekee ya kurejesha uthabiti Asia Magharibi

    Feb 02, 2024 07:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema njia pekee ya kurejesha uthabiti katika eneo la Asia Magharibi ni kukomesha jinai za utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • China: Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani

    China: Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani

    Aug 30, 2023 13:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesisitiza kuwa Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani. Wang Yi ametoa sisitizo hilo katika kikao na Adel al-Asoumi, Spika wa Bunge la Waarabu mjini Beijing, na kubainisha kwamba Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) haijawahi katu kuwa eneo la faragha na kujifaragua kwa dola kubwa lolote lile; na mustakabali na hatima ya eneo lazima iamuliwe na nchi na watu wa eneo hilo.

  • "Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu"; sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kufeli sera za Marekani Asia Magharibi

    Apr 18, 2023 12:47

    Tarehe 5 Aprili Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Nchi za Asia Kusini zapania kuachana na matumizi ya dola, yuro

    Nchi za Asia Kusini zapania kuachana na matumizi ya dola, yuro

    Mar 30, 2023 02:14

    Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) inatazamiwa kujadili mpango wa kuachana na matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani na yuro ya Ulaya katika miamala yao ya kibiashara.

  • Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi

    Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi

    Aug 13, 2022 11:21

    Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya robo ya vita vilivyoanzishwa na Washington katika historia ya Marekani vimefanyika katika nchi za Afrika na eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • IRGC: Wakati wa Marekani kuweko Asia Magharibi umefikia tamati

    IRGC: Wakati wa Marekani kuweko Asia Magharibi umefikia tamati

    Aug 05, 2022 11:01

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema wakati umefika wa kuondoka Marekani katika eneo la Asia Magharibi kutokana na kupoteza kwake udhibiti na ushawishi katika eneo hili.

  • Hivi ndivyo Asia Magharibi ilivyotia kasi kuporomoka nguvu na ushawishi wa Marekani

    Hivi ndivyo Asia Magharibi ilivyotia kasi kuporomoka nguvu na ushawishi wa Marekani

    Aug 04, 2022 02:22

    Ni jambo lisilo na chembe ya shaka kwamba, Asia Magharibi ni eneo la ushawishi wa jadi wa Marekani. Nchi hiyo ya kibeberu imejiimarisha mno kijeshi kenye eneo hili na ina ushawishi katika matukio ya kiusalama ya nchi waitifaki wake za Asia Magharibi.

  • "Kambi ya muqawama iungane ili iweze kuwafukuza askari wa US katika eneo"

    Jul 21, 2022 12:09

    Afisa wa ngazi ya juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za kimuqawama zinapaswa kuendelea kushirikiana na kuimarisha uhusiano wao ili zifanikiwe kuwatimua wanajeshi vamizi wa Marekani nchini Syria na katika eneo lote la Asia Magharibi.

  • Mfalme wa Jordan ataka kuundwa 'NATO ya Asia Magharibi'

    Mfalme wa Jordan ataka kuundwa 'NATO ya Asia Magharibi'

    Jun 26, 2022 02:21

    Mfalme wa Jordan amesema anaunga mkono wazo la kuundwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Asia Magharibi, utakaoshabihiana na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS