Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

magharibi mwa Asia

  • IRGC: Wakati wa Marekani kuweko Asia Magharibi umefikia tamati

    IRGC: Wakati wa Marekani kuweko Asia Magharibi umefikia tamati

    Aug 05, 2022 11:01

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema wakati umefika wa kuondoka Marekani katika eneo la Asia Magharibi kutokana na kupoteza kwake udhibiti na ushawishi katika eneo hili.

  • Hivi ndivyo Asia Magharibi ilivyotia kasi kuporomoka nguvu na ushawishi wa Marekani

    Hivi ndivyo Asia Magharibi ilivyotia kasi kuporomoka nguvu na ushawishi wa Marekani

    Aug 04, 2022 02:22

    Ni jambo lisilo na chembe ya shaka kwamba, Asia Magharibi ni eneo la ushawishi wa jadi wa Marekani. Nchi hiyo ya kibeberu imejiimarisha mno kijeshi kenye eneo hili na ina ushawishi katika matukio ya kiusalama ya nchi waitifaki wake za Asia Magharibi.

  • "Kambi ya muqawama iungane ili iweze kuwafukuza askari wa US katika eneo"

    Jul 21, 2022 12:09

    Afisa wa ngazi ya juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za kimuqawama zinapaswa kuendelea kushirikiana na kuimarisha uhusiano wao ili zifanikiwe kuwatimua wanajeshi vamizi wa Marekani nchini Syria na katika eneo lote la Asia Magharibi.

  • Mfalme wa Jordan ataka kuundwa 'NATO ya Asia Magharibi'

    Mfalme wa Jordan ataka kuundwa 'NATO ya Asia Magharibi'

    Jun 26, 2022 02:21

    Mfalme wa Jordan amesema anaunga mkono wazo la kuundwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Asia Magharibi, utakaoshabihiana na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO).

  • Asilimia 43 ya silaha za Marekani zinauzwa kwa nchi za eneo la Asia Magharibi

    Asilimia 43 ya silaha za Marekani zinauzwa kwa nchi za eneo la Asia Magharibi

    Jun 21, 2022 13:33

    Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm SIPRI imetangaza kuwa hadi mwishoni mwa mwaka 2021, kiwango kikubwa cha silaha zinazotengenezwa Marekani imeuzwa kwa nchi za eneo la Asia Magharibi.

  • Indhari ya Antonio Guterres kuhusu ukimbizi; Asia Magharibi kitovu cha mgogoro

    Indhari ya Antonio Guterres kuhusu ukimbizi; Asia Magharibi kitovu cha mgogoro

    May 26, 2022 03:53

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali mwenendo wa kulazimika watu wa mataifa mbalimbali kuyakimbia makazi yao na kuutaja ukimbizi kuwa ni mgogoro wa kisiasa.

  • Kuuliwa shahidi Qasem Soleiman na kasi ya kuporomoka nafasi ya Marekani eneo la Asia Magharibi

    Kuuliwa shahidi Qasem Soleiman na kasi ya kuporomoka nafasi ya Marekani eneo la Asia Magharibi

    Jan 03, 2022 11:16

    Leo tarehe 3 Januari 2022, inasadifiana na kumbukumbu ya mwaka wa pili wa mauaji ya Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyofanywa na serikali ya Marekani.

  • Dalili za kupungua nafasi ya Marekani Asia Magharibi

    Dalili za kupungua nafasi ya Marekani Asia Magharibi

    Nov 06, 2021 03:26

    Tarehe 4 Novemba imetengwa katika kalenda ya Iran kuwa siku ya mapambano dhidi ya uistikabari wa dunia (ubeberu/ujeuri)

  • Matukio ya Afghanistan; sisitizo la umuhimu wa muqawama katika eneo la Asia Magharibi

    Matukio ya Afghanistan; sisitizo la umuhimu wa muqawama katika eneo la Asia Magharibi

    Aug 28, 2021 02:37

    Matukio ya majuma mawili ya hivi karibuni nchini Afghanistan yameonyesha kuwa, makundi ya mapambano na muqawama katika eneo la Asia Magharibi yana nafasi muhimu katika kulinda mamlaka ya kujitawala pamoja na usalama wa mataifa yao.

  • Qatar yaishukuru Iran; sisitizo la nafasi chanya ya Iran katika kuleta uthabiti na amani katika eneo

    Qatar yaishukuru Iran; sisitizo la nafasi chanya ya Iran katika kuleta uthabiti na amani katika eneo

    Jan 29, 2021 09:33

    Huku akisisitiza kuwa uhusiano wa Qatar na nchi mbili za Iran na Uturuki ni mzuri sana, Lolwah al Khater, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amezishukuru nchi hizo kwa kuwa pembeni ya taifa hilo wakati ilipokuwa chini ya mgogoro mkubwa wa kuzingirwa na majirani zake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS