-
2020; ulikuwa mwaka mweusi kwa raia katika eneo la Asia Magharibi
Jan 07, 2021 23:10Mwaka 2020 umemalizika hivi majuzi, lakini tukitupia jicho kwa haraka haraka matukio yaliyogonga vichwa vya habari katika mwaka huo tunaona kuwa, wananchi wa eneo la Asia Magharibi walikuwa wahanga wakuu wa matukio yaliyoshuhudiwa katika eneo hili.
-
Nidhamu ya kisiasa na kiusalama ya Asia Magharibi 2020 na muelekeo tarajiwa wa 2021
Jan 01, 2021 22:08Baada ya kumalizika mwaka 2020 na kuanza mwaka mpya wa 2021 suali linaloulizwa ni, nidhamu ya kisiasa na kiusalama ya eneo la Asia Magharibi katika mwaka uliopita ilikuwaje; na muelekeo tarajiwa wa hali ya eneo hili katika mwaka huu wa 2021 utakuwa upi?
-
Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo
Oct 23, 2020 04:19Anwar Gargash Waziri Mshauri wa Mambo ya Nje katika Umoja wa Falme za Kiarabu ametuma ujumbe kupitia ukurasa wake wa Twitter na kudai kuwa, Iran inavuruga uthabiti katika eneo la Asia Magharibi.
-
Zarif: Eneo la Ghuba ya Uajemi lichague ama amani au ukosefu wa uthabiti
Oct 22, 2020 04:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema eneo la Ghuba ya Uajemi sharti likhitari moja kati ya mambo mawili, ama amani au ukosefu wa uthabiti.
-
Sababu za kufifia matukio ya Asia Magharibi katika mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Sep 23, 2020 23:11Mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea kufanyika mwaka huu katika hali ambayo, matukio ya eneo la Asia Magharibi yamefifia na kutoakisiwa sana katika hotuba za viongozi waliohutubia katika siku ya kwanza ya mkutano huo.
-
Vurugu na machafuko Asia Magharibi; natija ya sera za Marekani
Sep 20, 2020 22:56Marekani kwa mara nyingine tena imetoa taarifa ikiituhumu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba, eti inazusha vurugu na machafuko katika eneo la Asia Magharibi.
-
Zarif aushangaa uchu wa Pompeo wa kurundika silaha za US Asia Magharibi
Aug 25, 2020 03:36Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkosoa vikali Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa kuvunja sheria za nchi hiyo ili kukidhi uchu wake wa kutaka kuuza silaha za kijeshi kwa wingi katika nchi za eneo la Asia Magharibi.
-
Trump: Kuingilia masuala ya magharibi mwa Asia ni kosa kubwa la kihistoria
Aug 04, 2020 06:51Rais wa Marekani amekiri kuwa kitendo cha kuingilia masuala ya eneo la magharibi mwa Asia lilikuwa kosa kubwa katika historia ya nchi hiyo.
-
Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya matatizo yote ya Asia Magharibi
Jul 12, 2020 03:19Mkuu wa Baraza la Shuraa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya kupata matatizo nchi za eneo hili la Asia Magharibi.
-
Trump akiri Marekani inatumia gharama kubwa isiyo na faida yoyote Asia Magharibi
Apr 22, 2020 22:13Baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 Marekani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, ilielekeza majeshi yake katika eneo la Asia Magharibi.