Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

magharibi mwa Asia

  • 2020; ulikuwa mwaka mweusi kwa raia katika eneo la Asia Magharibi

    2020; ulikuwa mwaka mweusi kwa raia katika eneo la Asia Magharibi

    Jan 08, 2021 02:40

    Mwaka 2020 umemalizika hivi majuzi, lakini tukitupia jicho kwa haraka haraka matukio yaliyogonga vichwa vya habari katika mwaka huo tunaona kuwa, wananchi wa eneo la Asia Magharibi walikuwa wahanga wakuu wa matukio yaliyoshuhudiwa katika eneo hili.

  • Nidhamu ya kisiasa na kiusalama ya Asia Magharibi 2020 na muelekeo tarajiwa wa 2021

    Nidhamu ya kisiasa na kiusalama ya Asia Magharibi 2020 na muelekeo tarajiwa wa 2021

    Jan 02, 2021 01:38

    Baada ya kumalizika mwaka 2020 na kuanza mwaka mpya wa 2021 suali linaloulizwa ni, nidhamu ya kisiasa na kiusalama ya eneo la Asia Magharibi katika mwaka uliopita ilikuwaje; na muelekeo tarajiwa wa hali ya eneo hili katika mwaka huu wa 2021 utakuwa upi?

  • Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Oct 23, 2020 07:49

    Anwar Gargash Waziri Mshauri wa Mambo ya Nje katika Umoja wa Falme za Kiarabu ametuma ujumbe kupitia ukurasa wake wa Twitter na kudai kuwa, Iran inavuruga uthabiti katika eneo la Asia Magharibi.

  • Zarif: Eneo la Ghuba ya Uajemi lichague ama amani au ukosefu wa uthabiti

    Zarif: Eneo la Ghuba ya Uajemi lichague ama amani au ukosefu wa uthabiti

    Oct 22, 2020 07:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema eneo la Ghuba ya Uajemi sharti likhitari moja kati ya mambo mawili, ama amani au ukosefu wa uthabiti.

  • Sababu za kufifia matukio ya Asia Magharibi katika mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Sababu za kufifia matukio ya Asia Magharibi katika mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Sep 24, 2020 02:41

    Mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea kufanyika mwaka huu katika hali ambayo, matukio ya eneo la Asia Magharibi yamefifia na kutoakisiwa sana katika hotuba za viongozi waliohutubia katika siku ya kwanza ya mkutano huo.

  • Vurugu na machafuko Asia Magharibi; natija ya sera za Marekani

    Vurugu na machafuko Asia Magharibi; natija ya sera za Marekani

    Sep 21, 2020 02:26

    Marekani kwa mara nyingine tena imetoa taarifa ikiituhumu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba, eti inazusha vurugu na machafuko katika eneo la Asia Magharibi.

  • Zarif aushangaa uchu wa Pompeo wa kurundika silaha za US Asia Magharibi

    Zarif aushangaa uchu wa Pompeo wa kurundika silaha za US Asia Magharibi

    Aug 25, 2020 08:06

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkosoa vikali Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa kuvunja sheria za nchi hiyo ili kukidhi uchu wake wa kutaka kuuza silaha za kijeshi kwa wingi katika nchi za eneo la Asia Magharibi.

  • Trump: Kuingilia masuala ya magharibi mwa Asia ni kosa kubwa la kihistoria

    Trump: Kuingilia masuala ya magharibi mwa Asia ni kosa kubwa la kihistoria

    Aug 04, 2020 11:21

    Rais wa Marekani amekiri kuwa kitendo cha kuingilia masuala ya eneo la magharibi mwa Asia lilikuwa kosa kubwa katika historia ya nchi hiyo.

  • Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya matatizo yote ya Asia Magharibi

    Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya matatizo yote ya Asia Magharibi

    Jul 12, 2020 07:49

    Mkuu wa Baraza la Shuraa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya kupata matatizo nchi za eneo hili la Asia Magharibi.

  • Trump akiri Marekani inatumia gharama kubwa isiyo na faida yoyote Asia Magharibi

    Trump akiri Marekani inatumia gharama kubwa isiyo na faida yoyote Asia Magharibi

    Apr 23, 2020 02:43

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 Marekani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, ilielekeza majeshi yake katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS