Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

magharibi mwa Asia

  • Virusi vya Corona na propaganda chafu dhidi ya Iran na Asia magharibi

    Virusi vya Corona na propaganda chafu dhidi ya Iran na Asia magharibi

    Feb 28, 2020 01:16

    Virusi vya Corona vimeenea katika zaidi ya nchi 40 duniani zikiwemo nchi za Kiarabu za magharibi mwa Asia. Hata hivyo baadhi ya nchi zimeanzisha wimbi kubwa la propaganda na kutumia virusi vya Corona kama wenzo wa kilipiza kisasi kisiasa dhidi ya Iran.

  • Rouhani: Watu wa Asia Magharibi watakabiliana na dhulma za Marekani

    Rouhani: Watu wa Asia Magharibi watakabiliana na dhulma za Marekani

    Jan 28, 2020 11:51

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wananchi wa nchi za eneo la Asia Magharibi watakabiliana na dhulma na ubeberu wa Marekani.

  • Rais Rouhani: Marekani, chanzo cha shari zote Asia Magharibi

    Rais Rouhani: Marekani, chanzo cha shari zote Asia Magharibi

    Jan 19, 2020 03:27

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani ndiyo chanzo cha vitendo vyote vya shari, migogoro na matatizo katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • Ukosoaji wa Russia dhidi ya njama za Marekani za kubadili mlingano wa nguvu Asia Magharibi na kuongeza vitisho vya usalama kimataifa

    Ukosoaji wa Russia dhidi ya njama za Marekani za kubadili mlingano wa nguvu Asia Magharibi na kuongeza vitisho vya usalama kimataifa

    Jan 05, 2020 13:21

    Hatua za Marekani katika eneo la Asia Magharibi hususan za kuzidisha uwepo wake kijeshi, mashinikizo dhidi ya Iran na hatimaye kutekeleza hatua za kigaidi hasa za kumuua shahidi Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la IRGC, Naibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Shaabi, Abu Mahdi al Muhandes na shakhsia wengine walioambatana nao, zimekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa Russia kama mmoja wa wacheza karata muhimu katika eneo hili.

  • Iran yaitaka Marekani iachane na sera zake haribifu katika eneo

    Iran yaitaka Marekani iachane na sera zake haribifu katika eneo

    Jan 01, 2020 08:07

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani juu ya matokeo mabaya ya hatua zake haribifu na zisizo na mantiki katika eneo la Asia Magharibi.

  • Sisitizo la jeshi la Marekani la kuendelea kuwepo kijeshi katika eneo la Asia Magharibi

    Sisitizo la jeshi la Marekani la kuendelea kuwepo kijeshi katika eneo la Asia Magharibi

    Nov 12, 2019 02:56

    Licha ya Rais Donald Trump kukariri mara chungu nzima kwamba, Washington itaondoa wanajeshi wake katika eneo la Asia Magharibi hususan katika nchi za Syria na Afghnaistan, lakini hali ya mambo ilivyo inaonyesha kuwa, Marekani imeazimia kubakisha na hata kuongeza idadi ya wanajeshi wake pamoja na zana za kijeshi katika eneo hili ikiwa ni katika kusukuma mbele gurudumu la siasa zake za kibabe.

  • Madai ya upotoshaji ya Trump kwamba Asia Magharibi imestawishwa na Marekani

    Madai ya upotoshaji ya Trump kwamba Asia Magharibi imestawishwa na Marekani

    Oct 27, 2019 08:14

    Baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 na kupitia kisingizio cha kupambana na ugaidi, Marekani ilianzisha hujuma zake dhidi ya eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ambapo mwaka 2001 Washington iliivamia kijeshi Afghanistan, huku mwaka 2003 ikiishambulia Iraq.

  • Mkataba wa kiusalama wa kieneo; hitajio la Ukanda wa Asia Magharibi

    Mkataba wa kiusalama wa kieneo; hitajio la Ukanda wa Asia Magharibi

    Oct 15, 2019 09:39

    Kuendelea kushuhudiwa vita na ukosefu wa amani na usalama katika eneo la Asia Magharibi, kumepelekea kuongezeka mapendekezo ya kuweko mkataba wa kiusalama wa kieneo.

  • Russia: Marekani iache kuibua mizozo Asia Magharibi

    Russia: Marekani iache kuibua mizozo Asia Magharibi

    Sep 21, 2019 03:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, amekosoa hatua za Marekani za kuibua mizozo eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati.)

  • Katika mtazamo wa Kansela wa Ujerumani; Mwarubaini wa kupunguza mivutano Magharibi ya Asia ni kurejea kwenye JCPOA

    Katika mtazamo wa Kansela wa Ujerumani; Mwarubaini wa kupunguza mivutano Magharibi ya Asia ni kurejea kwenye JCPOA

    Sep 18, 2019 11:55

    Kwa mtazamo wa Umoja wa Ulaya na Troika ya umoja huo inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yana mchango muhimu sana katika kulinda amani na usalama katika eneo la Magharibi ya Asia na katika uga wa kimataifa. Kwa mtazamo wa nchi za Ulaya, kujitoa Marekani katika JCPOA kumekuwa chanzo cha kujitokeza mivutano na hali ya wasiwasi katika Ghuba ya Uajemi na Magharibi ya Asia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS