Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Maharamia

  • Uturuki kutuma jeshi Afrika Magharibi baada ya meli yake kutekwa nyara

    Uturuki kutuma jeshi Afrika Magharibi baada ya meli yake kutekwa nyara

    Jan 25, 2021 07:43

    Maharamia wameshambulia meli ya mizigo ya Uturuki katika pwani ya Afrika Magharibi na kuwateka nyara mabaharia 15 na kuua mmoja huku serikali ya Uturuki ikitangaza kuwa itatuma jeshi kuwanusuru mabaharia hao.

  • Maharamia wa Somalia wateka nyara meli ili kuitumia kuendeshea mashambulizi

    Maharamia wa Somalia wateka nyara meli ili kuitumia kuendeshea mashambulizi

    Mar 24, 2017 15:20

    Maharamia wameteka nyara meli moja ya uvuvi ya Somalia ili kuitumia kama kituo cha kuendeshea mashambulizi dhidi ya meli kubwa. Hayo yameelezwa leo na polisi ya Somalia wiki moja baada ya maharamia wa nchi hiyo kuteka nyara meli ya kwanza ya kibiashara tangu mwaka 2012.

  • Jeshi la majini la Iran lawatimua maharamia wa Somalia

    Jeshi la majini la Iran lawatimua maharamia wa Somalia

    Feb 13, 2017 15:18

    Maharamu kutoka Somalia waliojaribu kuteka nyara meli ya mizigo ya Iran wametimuliwa na manwoari za Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Meli za Kivita za Iran zazuia hujuma ya maharamia Bab el-Mandeb

    Meli za Kivita za Iran zazuia hujuma ya maharamia Bab el-Mandeb

    Jul 03, 2016 03:29

    Meli za kivita za Iran zimefanikiwa kuzuia shambulio kubwa la maharamia ambao walikuwa wanalenga kuiteka meli ya kibiashara ya Iran katika Lango la Bahari la Bab el Mandeb katika Pembe ya Afrika.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS