-
Polisi ya Congo yapambana na waasi wa Ninja
Apr 04, 2016 12:05Milio ya risasi imesikika mapema leo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Congo, Brazaville na watu walioshuhudia wanasema kuwa polisi ya nchi hiyo inapambana na kundi la waasi wa "Ninja".
-
Askari 40 wa jeshi la Sudan wauawa katika mapigano na waasi Blue Nile
Mar 15, 2016 03:36Kundi moja la waasi nchini Sudan limetangaza kuwa limewaua askari 40 wa jeshi la serikali na kuwajeruhi wengine zaidi ya 80 katika mapigano yaliyotokea hivi karibuni katika jimbo la Blue Nile.
-
Watu wawili wauawa katika machafuko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Mar 08, 2016 04:05Watu wawili wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika machafuko yaliyotokea kwenye eneo la Durba mkoani Haut Uélé kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu wasiopungua 30 wauawa katika mapigano kusini mwa Tunisia
Mar 07, 2016 12:48Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya jeshi la Tunisia na magaidi yaliyotokea kwenye mji Ben Guerdan ulioko karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Libya.