-
Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia
Jun 18, 2023 06:56Sera hatari za kijeshi na za kichochezi za Marekani katika bara kubwa duniani yaani bara la Asia zingali zinaendelea.
-
Biden: Kesi za ufyatuaji risasi zinaripotiwa kila siku nchini Marekani
Jun 17, 2023 07:36Rais Joe Binden wa Marekani ameungama na kusema kwamba, matukio ya ufyatuaji risasi na mauaji ya halaiki kwa silaha za moto yameongezeka kwa kiasi cha kutisha nchini humo.
-
Uganda yajibu tahadhari ya Marekani, yasema: Hatutatishwa
Jun 16, 2023 04:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amesema taifa hilo kamwe halitasalimu amri na kukubali kuburuzwa na Marekani ili likengeuke thamani, maslahi na utamaduni wake.
-
Alamolhoda: Marekani inaihujumu Iran kwa kutumia udikteta wa vyombo vya habari
Jun 16, 2023 04:15Mke wa Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Marekani, ambayo ilikuwa ikiunga mkono tawala za kiimla hapa nchini huko nyuma, hivi sasa inaifanyia hujuma Jamhuri ya Kiislamu kwa kutumia udikteta wa vyombo vya habari.
-
Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi
Jun 16, 2023 03:03Ikiwa ni katika mwenendo wa nchi za dunia kuvutiwa na miungano pamoja na mashirika yasiyofungamana na Marekani na nchi nyingine za Magharibi, Misri imeomba uanachama katika jumuiya ya BRICS.
-
Marekani yakiri; Vikwazo vimepunguza matumizi ya dola duniani
Jun 14, 2023 23:21Waziri wa Hazina ya Taifa ya Marekani amekiri kuwa, vikwazo vya Washington vinaelekea kusambaratisha ukiritimba na matumizi ya safaru ya dola katika miamala ya kibiashara duniani.
-
Johnson & Johnson yashtakiwa Kenya kwa kuwauzia watu poda iliyopigwa marufuku Ulaya, Marekani
Jun 13, 2023 08:46Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Kenya limeshtaki shirika la kimataifa la Marekani, Johnson & Johnson, kwa kosa la kuwauzia Wakenya poda ya ulanga.
-
EU: Vikwazo vya Marekani vinakanyaga sheria za kimataifa
Jun 13, 2023 04:03Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema vikwazo vya Marekani mbali na kukiuka mamlaka ya kujitawala nchi nyingine duniani, lakini pia vinakanyaga sheria na kanuni za kimataifa.
-
Imran Khan: Masaibu yangu yametokana na kuipa mgongo Marekani
Jun 12, 2023 01:07Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan ameituhumu Marekani kwa kula njama iliyopelekea kuangushwa kwa serikali yake iliyochaguliwa kidemokrasia.
-
Uchunguzi wa maoni: Thamani za maadili nchini Marekani zinazidi kuporomoka
Jun 11, 2023 04:25Uchunguzi wa maoni unaonyesha kuwa asilimia 83 ya Wamarekani wanaamini kuwa, thamani za maadili katika nchi hiyo zimedhoofika.