Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Moscow: Marekani inatafakari kuwaua viongozi wa mapinduzi Niger

    Moscow: Marekani inatafakari kuwaua viongozi wa mapinduzi Niger

    Sep 08, 2023 03:49

    Shirika la Kijasusi la Russia nje ya nchi (SVR) limeonya kuwa, serikali ya Marekani inatafakari suala la kuwaua kigaidi viongozi walioongoza mapinduzi ya kijeshi nchini Niger.

  • Hatua mpya ya Marekani ya kukoleza moto wa vita: Kuipelekea Ukraine risasi zenye madini ya urani

    Hatua mpya ya Marekani ya kukoleza moto wa vita: Kuipelekea Ukraine risasi zenye madini ya urani

    Sep 03, 2023 05:19

    Serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani imeamua kwa mara ya kwanza kuipatia Ukraine risasi zenye madini ya urani hafifu. Risasi hizo ni sehemu ya shehena mpya ya silaha ambayo itatangazwa mnamo siku zijazo.

  • Iran yakosoa uwepo wa Marekani katika Baraza la Haki za Kibinadamu la UN

    Iran yakosoa uwepo wa Marekani katika Baraza la Haki za Kibinadamu la UN

    Sep 02, 2023 08:00

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amekosoa uwepo wa Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la umoja huo.

  • Ansarullah yatahadharisha kuhusu njama mpya za Marekani dhidi ya Yemen

    Ansarullah yatahadharisha kuhusu njama mpya za Marekani dhidi ya Yemen

    Sep 02, 2023 07:33

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ametahadharisha kuhusu uwepo wa jeshi la Marekani nchini humo na kusema kuwa, lengo la hatua hiyo ni kuandaa mazingira mapya na kufanya njama hatari na endelevu dhidi ya taifa la Yemen.

  • Mkuu wa Maulamaa wa Kisuni Iraq: Kambi ya Al-Houl inatumiwa na Marekani kuandaa magaidi wa DAESH (ISIS)

    Mkuu wa Maulamaa wa Kisuni Iraq: Kambi ya Al-Houl inatumiwa na Marekani kuandaa magaidi wa DAESH (ISIS)

    Sep 02, 2023 04:36

    Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kisuni wa Iraq katika mkoa wa Diyala ametahadharisha juu ya hatari ya kambi ya al-Houl kwa usalama wa Iraq na eneo kwa ujumla na akaeleza kwamba kambi hiyo imeanzishwa na Marekani kwa ajili ya kutoa mafunzo na kuandaa kizazi cha nne cha kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS).

  • Velayati: Uanachama wa BRICS umevunja sera ya US ya kuitenga Iran

    Velayati: Uanachama wa BRICS umevunja sera ya US ya kuitenga Iran

    Aug 29, 2023 23:02

    Mshauri mwandamizi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kupewa uanachama Iran katika kundi la BRICS kumesambaratisha sera ya Marekani ya kujaribu kuitenga Jamhuri ya Kiislamu.

  • Takwa la China kwa Marekani la kusitisha kuiuzia silaha Taiwan

    Takwa la China kwa Marekani la kusitisha kuiuzia silaha Taiwan

    Aug 28, 2023 00:21

    Licha ya kuwa China imeitaka Marekani mara kadhaa iache kuiuzia silaha na zana za kijeshi Taiwan, lakini Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon imetangaza kwa ujeuri kabisa kwamba, itaipatia Taiwan silaha mpya.

  • Kata'ib Hizbullah: Tutasambaratisha 'miradi ya US' Asia Magharibi

    Kata'ib Hizbullah: Tutasambaratisha 'miradi ya US' Asia Magharibi

    Aug 24, 2023 04:02

    Harakati ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imeionya vikali Marekani na kusema kuwa itasambaratisha miradi ya Washington katika eneo la Asia Magharibi.

  • Faida nono ya sekta ya silaha ya Marekani kutokana na Washington kuzusha mgogoro barani Ulaya

    Faida nono ya sekta ya silaha ya Marekani kutokana na Washington kuzusha mgogoro barani Ulaya

    Aug 22, 2023 22:46

    Katika kipidi cha miezi 18 ya vita nchini Ukraine, moto wa vita hivyo haribifu umezidi kuwaka na kuchukua wigo mpana zaidi kutokana na sera haribifu za nchi za Magharibi, ambazo zimepeleka nchini Ukraine msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na kisilaha ambao haujawahi kushuhudiwa.

  • Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16

    Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16

    Aug 21, 2023 05:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ametangaza kuwa Washington imeafiki kupelekewa Ukraine ndege za kivita aina ya F-16 kutoka nchi mbili wanachama wa shirika la kijeshi la NATO, yaani Denmark na Uholanzi, na kwamba hilo litafanyika baada ya kukamilishwa mchakato wa utoaji mafunzo kwa marubani wa Ukraine ya kuzitumia ndege hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS