-
Shamkhani: Marekani inataka kuigeuza Afghanistan kitovu cha ugaidi
Feb 08, 2023 22:52Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani njama za Marekani za kujaribu kuigeuza Afghanistan kimbilio na kitovu cha ugaidi.
-
Indhari ya Antonio Guterres kuhusu kubadilika vita vya Ukraine na kuwa vita vya dunia
Feb 07, 2023 23:47Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, hatua zozote za kuchochea mgogoro wa Russia na Ukraine huenda zikaitumbukiza dunia katika vita vipana na vikubwa zaidi.
-
Syria: Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani vinazidisha maafa ya tetemeko la ardhi
Feb 07, 2023 03:43Kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea kaskazini ya Syria, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo amesema, athari za vikwazo vya upande mmoja vya Marekani zinaongeza maafa ya janga hilo la kimaumbile.
-
Kumbukumbu ya miaka 20 ya uongo mkubwa wa Marekani kuhalalisha shambulio dhidi ya Iraqi
Feb 06, 2023 09:34Miaka 20 iliyopita yaani Februari 5, 2003, Colin Powell, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alishiriki katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini New York na kuonyesha bomba la majaribio lililokuwa na mada za kimeta na kudai kuwa ni ushahidi wa kuwepo silaha za maangamizi ya umati nchini Iraq.
-
Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine
Feb 03, 2023 22:44Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel baada ya Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kutangaza Jumatano usiku kwamba anachunguza suala la kutuma msaada wa kijeshi wa utawala huo nchini Ukraine.
-
Iran yalaani ukandamizaji wanaofanyiwa wanawake katika nchi za Magharibi
Feb 03, 2023 09:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje tya Iran amelaani hatua kandamizi ya Baraza la Congress la Marekani ya kumtoa Mbunge Ilhan Omar katika Kamati ya Mambo ya Nje ya baraza hilo na kusema kuwa, huo ni unyanyasaji wa kitaasisi uliofanywa na Bunge la Marekani kwa ajili ya kukandamiza sauti za wanawake.
-
Warepublican waanza mchakato wa kumuondoa Ilhan Omar katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Congresi kwa kuikosoa Israel
Feb 02, 2023 08:41Wanachama wa Republican katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wanajiandaa kupigia kura muswada wa kumuondoa mwakilishi wa Kidemokrati, Ilhan Omar kwenye Kamati ya Masuala ya Kigeni, siku chache baada ya kuondolewa katika Kamati ya Masuala ya Afrika, kutokana na kukosoa ukatili na mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya raia wa Palestina.
-
Majibu makali ya Tehran kuhusu msimamo ulio dhidi ya Tehran wa Blinken
Feb 01, 2023 22:42Nasser Kan'ani, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, siku ya Jumatatu alijibu upayukaji mpya wa baadhi ya viongozi wa Marekani na kusema kuwa, serikali ya Washington inaelewa vilvyo kwamba Iran haiwezi kufumbia macho uchokozi wa aina yoyote ile wa ardhi yake na lazima itatoa majibu makali kwa yeyote anayelichokoza taifa hili la Kiislamu.
-
Kukosoa Mbunge wa Kiislamu kuhusu kuenea chuki dhidi ya Uislamu katika Kongresi ya Marekani
Jan 31, 2023 22:55Ilhan Omar, Mbunge Mwislamu wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani anayewakilisha jimbo la Minnesota amesema kuwa, baadhi ya wajumbe wa chama cha Republican hawataki kuona kunakuweko na Wabunge Waislamu katika Kongresi ya nchi hiyo.
-
Iran: Hatubabaishwi na bwabwaja na matamshi ya vitisho ya Marekani
Jan 30, 2023 23:24Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekosoa porojo na matamshi ya vitisho ya Marekani na kuonya kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itatoa jibu kali kwa hatua yoyote ya uvamizi dhidi ya taifa hili.