Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni

    Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni

    Aug 16, 2022 03:04

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna, Austria amesema yumkini vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitaondolewa karibuni hivi.

  • Amir-Abdollahian: Leo tunakabidihi mapendekezo yetu ya mwisho katika JCPOA

    Amir-Abdollahian: Leo tunakabidihi mapendekezo yetu ya mwisho katika JCPOA

    Aug 15, 2022 07:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, siku zijazo ni siku muhimu kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba Tehran inasubiri uamuzi kutoka upande wa Marekani kuhusu maudhui ya tatu.

  • DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi

    DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi

    Aug 15, 2022 06:07

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya kiusalama amesema, asilimia 90 ya wahanga na waathirika wa ugaidi nchini Iraq hasa katika maeneo yaliyokombolewa wameuliwa kwa silaha za Marekani.

  • Onyo la Russia kuhusu uwezekano wa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Marekani

    Onyo la Russia kuhusu uwezekano wa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Marekani

    Aug 14, 2022 04:14

    Kutokana na Marekani kuendeleza sera za uhasama dhidi ya Russia na vitisho ilivyotoa vya kuitangaza Russia nchi inayofadhili na kuunga mkono ugaidi, Moscow imeonya kuwa, kuchukuliwa uamuzi huo kutaufikisha uhusiano wa pande mbili kwenye nukta isiyorudishika nyuma na kuna uwezekano hata wa kuvunjika uhusiano wa kidiplomasia baina ya Russia na Marekani.

  • Kissinger: US ipo katika ncha ya kuingia vitani na Russia, China

    Kissinger: US ipo katika ncha ya kuingia vitani na Russia, China

    Aug 14, 2022 02:48

    Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Washington imepuuza diplomasia, na kutukuwepo kiongozi thabiti, dunia inajongelewa na vita kutokana na mizozo ya Ukraine na Taiwan.

  • Abdollahian: Lugha ya vitisho dhidi ya Iran haitaambulia chochote

    Abdollahian: Lugha ya vitisho dhidi ya Iran haitaambulia chochote

    Aug 13, 2022 22:31

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inapaswa kufahamu kuwa, kutumia lugha ya vitisho dhidi ya taifa la Iran hakutakuwa na manufaa yoyote kwa Washington.

  • Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi

    Marekani imeanzisha vita 400, robo barani Afrika na Asia Magharibi

    Aug 13, 2022 06:51

    Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya robo ya vita vilivyoanzishwa na Washington katika historia ya Marekani vimefanyika katika nchi za Afrika na eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Marandi: Matukio kuhusu Bolton na Salman Rushdie yanatia shaka

    Marandi: Matukio kuhusu Bolton na Salman Rushdie yanatia shaka

    Aug 13, 2022 06:41

    Mshauri wa timu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo huko Vienna ameshangazwa na sadfa ya matukio mawili ya hivi karibuni huko Marekani, na kuashiria kuwa yumkini matukio hayo yanafungamana na mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Russia yaonya juu ya uwezekano wa kuvunja uhusiano na Marekani

    Russia yaonya juu ya uwezekano wa kuvunja uhusiano na Marekani

    Aug 13, 2022 03:43

    Afisa mmoja katika wizara ya mambo ya nje ya Russia ameonya kuwa uhusiano wa nchi hiyo na Marekani unaweza ukafika kwenye "nukta isiyoweza kurudishika nyuma" na mbaya zaidi kuliko ya hivi sasa.

  • Iran: Marekani haiwezi kuficha jinai zake kwa kuibua madai bandia

    Iran: Marekani haiwezi kuficha jinai zake kwa kuibua madai bandia

    Aug 12, 2022 21:02

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kitendo cha Marekani cha kuibua tuhuma na madai yasiyo na msingi wala mashiko yoyote hakiwezi kuficha wala kuhalalisha jinai za serikali ya Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS