-
Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza: Mfumo wa Marekani ni kinyume na haki za binadamu
Jun 29, 2022 21:49Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu nchini Uingereza (IHRC) amesema kuwa mfumo wa utawala wa Marekani unapinga na kupiga vita haki za binadamu na kusisitiza kuwa, mfumo huo unawadhulumu hata raia wa Marekani kwenyewe.
-
Gharib Abadi: Iran ni mhanga mkubwa wa ugaidi duniani
Jun 29, 2022 03:29Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama ya Iran amesema, zaidi ya watu elfu 25 nchini Iran wamepoteza maisha kutokana na vitendo vya kigaidi; ambapo uungaji mkono wa Marekani kwa jinai zote hizo unashuhudiwa.
-
Juhudi za G7 za kukabiliana kiuchumi na China
Jun 28, 2022 21:48Viongozi wa mataifa saba yaliyoendelea kiviwanda, G7, wameafiki kuzindua mpango kabambe wa kuwekeza katika miundo msingi kwenye nchi zinazoendelea. Viongozi hao wametangaza kuwa, nchi za G7 zinakusudia kutenga dola bilioni 600 kwa ajili ya mpango huo ifikapo 2027.
-
Gavana wa Texas: Biden ndiye wa kulaumiwa kwa "janga la kutisha la wahajiri" nchini Marekani
Jun 28, 2022 05:26Gavana wa Texas nchini Marekani amemlaumu Rais Joe Biden wa nchi hiyo kuwa ndiye wa kulaumiwa kwa vifo vya makumi ya wahajiri ambao miili yao imepatikana ikiwa imetelekezwa katika lori kwenye jimbo hilo.
-
Sakata; Biden ametumia fedha nyingi kugharamia ufuska wa kijana wake
Jun 28, 2022 03:29Gazeti la Washington Examiner limefichua kashfa ya ufuska inayoizunguka familia ya Rais Joe Biden wa Marekani, ambapo kiongozi huyo wa Marekani anaripotiwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kugharamia ufuska wa mtoto wake wa kiume, Hunter Biden.
-
Maiti 46 zapatikana ndani ya lori jimboni Texas, Marekani
Jun 28, 2022 03:25Miili 46 imepatikana ndani ya lori lililokuwa limeegeshwa karibu na kambi ya kijeshi ya Lackland jijini San Antonio, katika jimbo la Texas nchini Marekani.
-
Indhari ya Waziri wa Usalama wa Iran: Magaidi hawatabakia salama
Jun 27, 2022 22:15Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema magaidi wenye makao yao Albania hawatabakia salama kutokana na moto wa ulipizaji kisasi wa jinai walizotenda.
-
75% ya Wamarekani wakatishwa tamaa na uchumi mbaya wa nchi yao
Jun 27, 2022 06:53Aghalabu ya wananchi wa Marekani wamekatishwa tamaa na hali mbaya ya uchumi wa nchi hiyo.
-
New York Times yafichua shughuli za siri za CIA na kikosi maalumu cha Marekani Ukraine
Jun 26, 2022 23:28Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limefichua kuhusu harakati za siri zinazofanywa na Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA) na kikosi maalumu cha wanajeshi wa nchi hiyo huko Ukraine.
-
Marekani yaondoa baadhi ya masharti ya kuwasajili vijana jeshini
Jun 26, 2022 06:47Jeshi la Marekani limefuta baadhi ya vigezo na masharti ya kusajili vijana jeshini, huku nchi hiyo ikikabiliwana na mgogoro mkubwa wa vijana wengi kukataa kujiunga na vikosi hivyo vya ulinzi.