-
Russia yatiwa wasiwasi kutokana na kuhusika Marekani katika mauaji ya Rais wa Haiti
Jul 09, 2021 08:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuhusu taarifa za kukamatwa raia wawili wa Marekani kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya Rais wa Haiti na kusema kuwa, Moscow imeingia wasiwasi mkubwa kufuatia ripoti hizo.
-
Hatua mpya ya Russia ya kuachana na utegemezi wa sarafu ya dola
Jul 09, 2021 05:20Wizara ya Fedha ya Russia imetangaza kuwa, imeondoa kikamilifu sarafu ya dola kwenye Mfuko wa Hazina ya Taifa wa nchi hiyo uliokuwa na akiba ya takriban dola bilioni 65 na kuzibadilisha fedha hizo katika sarafu nyingine za kigeni.
-
Kataib Hizbullah: Mapambano yataendelea hadi askari wa mwisho wa Marekani atakapoondoka Iraq
Jul 09, 2021 03:35Afisa wa Batalioni ya Kataib Hizbullah nchini Iraq amesema kuwa mapambano dhidi ya wanajeshi wa Marekani walioko nchini humo yataendelea hadi wanajeshi wote wa nchi hiyo watakapoondoka katika ardhi ya Iraq.
-
Safari ya Naibu Waziri wa Ulinzi wa Saudia Marekani na kubadilika msimamo wa serikali ya Biden kuhusu Riyadh
Jul 08, 2021 23:10Akiwa katika siku ya pili ya safari yake nchini Marekani, Khalid bin Salman, Naibu Waziri wa Ulinzi wa Saudi Arabia siku ya Jumatano alionana na kuzungumza huko Washington na Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, miongoni mwa viongozi wengine wa nchi hiyo.
-
Mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah kuhusu duru mpya ya vita vya Marekani dhidi ya muqawama kupitia vyombo vya habari
Jul 07, 2021 06:40Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Jumatatu alitoa hotuba akiashiria hatua ya Marekani kuteka na kufunga tovuti za habari zinazofungamana na harakati za muqawama au mapamabano ya Kiislamu ambapo ametoa sababu kadha za uhasama huo wa Marekani.
-
Hilton kujenga hoteli kwenye magofu ya msikiti wa Waislamu wa Uyghur, Xinjiang; CAIR yalaani
Jul 07, 2021 01:25Mpango wa ujenzi wa hoteli ya kifahari ya Hilton kwenye eneo la msikiti wa Waislamu uliobomolewa katika mkoani Xinjiang nchini China umewakasirisha Waislamu na kuzusha malalamiko mengi katika nchi mbalimbali.
-
Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA
Jul 06, 2021 21:51Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, na Rais Xi Jinping wa China wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kutoa wito kwa pande zinazofanya mazungumzo huko Vienna kwa ajili ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutumia vyema fursa iliyopo ya "Dirisha la Fursa" kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusiana na kadhia hiyo.
-
Zarif: Ukatili wa Marekani dhidi ya watu wa Iran unaendelezwa kwa ugaidi wa kiuchumi
Jul 04, 2021 08:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria namna Marekani ilivyowaua raia wasio na hatia kwa kutungua kwa kombora ndege ya abiria ya Iran Air na kuandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa: "Ukatili wa Marekani dhidi ya watu wa Iran sasa unaendelezwa kupitia ugaidi wa kiuchumi."
-
Jarida la Marekani Hill: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina taathira
Jul 04, 2021 03:51Jarida la Marekani la Hill limeandika kwamba siasa za Marekani za 'mashinikizo ya juu kabisa' hazijakuwa na matunda yoyote katika utawala wa Donld Trump na wala hazitakuwa na taathira yoyote katika utawala wa rais wa hivi sasa wa Marekani Joe Biden.
-
Wamarekani waendelea kuiba mafuta na maliasili ya Syria
Jul 03, 2021 22:06Wanajeshi vamizi na maharamia wa Marekani wanaendelea kuiba mafuta ya nchi ya Syria waliyoivamia kinyume cha sheria na kuhamisha nishati hiyo nje ya mipaka ya Syria kupitia kaskazini mwa Iraq.