-
Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran
Jul 03, 2021 08:11Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kutoomba radhi kwa kushambulia ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu mwaka 1988 katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, Washington inapaswa kubebeshwa dhima kwa kuwaunga mkono waliotenda jinai hiyo.
-
Russia yaitaka Marekani iache kuiba rasilimali za Wasyria
Jul 03, 2021 08:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema Marekani inapaswa kukomesha tabia yake ya kuiba rasilimali za wananchi wa Syria, na badala yake ipambane na magenge ya kigaidi.
-
Kuhuishwa JCPOA kunategemea maamuzi magumu ya Marekani na Ulaya
Jul 02, 2021 22:15Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema sasa wakati umewadia kwa Marekani na nchi tatu za Ulaya kuchukua maamuzi magumu kwa ajili ya kuanza kufungamana tena kikamilifu na mapatano ya kimataifa ya nyuklia, JCPOA.
-
Russia: Hatua ya Marekani kufunga tovuti za mrengo wa muqawama ni ya kisiasa
Jul 02, 2021 22:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kufunga tovuti kadhaa za vyombo vya habari vya Iran na mrengo wa muqawama na kusisitiza kuwa, kitendo hicho kimechochewa na misimamo hasi ya kisiasa.
-
Barua za jumuiya 113 za haki za binadamu kwa Biden: Mashambulizi ya droni yanapasa kusitishwa
Jul 01, 2021 22:00Makundi na jumuiya za kutetea haki za binadamu 113 zimemwandikia barua Rais Joe Biden wa Marekani zikitaka kusitishwa mashambulizi ya droni yanayofanywa kinyume cha sheria katika nchi mbalimbali.
-
Kifo cha Rumsfeld, mhandisi mkuu wa vita na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq
Jul 01, 2021 04:23Donald Rumsfeld, waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani ambaye ndiye aliyekuwa mhandisi mkuu wa mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq na Afghanistan ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 88.
-
Wanachama wa Baraza la Usalama waitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo
Jul 01, 2021 03:11Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimeitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo vyote kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Nukta sita kuhusu mashambulizi ya Marekani dhidi ya Hashdu Shaabi huko Iraq
Jun 30, 2021 21:53Ndege za kivita za Marekani siku ya Jumatatu iliyopita ziliishambulia kambi ya usaidizi na lmasuala ua lojistiki ya Brigedi ya 14 ya harakati ya wanamuqawa wa Hashdu Shaabi ya Iraq katika mpaka wa nchi hyo na Syria, ambapo katika mashambulizi hayo wapiganaji wanne wa harakati hiyo waliuliwa shahidi.
-
Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?
Jun 30, 2021 06:40Ujerumani imetangaza kuwa imemaliza mchakato wa kuwaondoa wanajeshi wake huko Afghanistan, huku Marekani ikiripotiwa kuwa inapanga kuwaacha mamia ya wanajeshi wake nchini humo.
-
Rais Rouhani: Biden anawasaliti wananchi wa Marekani
Jun 30, 2021 06:36Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo Rais Joe Biden wa Marekani atafeli kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama alivyoahidi, basi atakuwa amewasailiti wananchi wa Marekani ambao walimpigia kura wakitaka kuona mabadiliko ya sera ghalati dhidi ya Iran za mtangulizi wake, Donald Trump.