Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran

    Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran

    Jul 03, 2021 08:11

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kutoomba radhi kwa kushambulia ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu mwaka 1988 katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, Washington inapaswa kubebeshwa dhima kwa kuwaunga mkono waliotenda jinai hiyo.

  • Russia yaitaka Marekani iache kuiba rasilimali za Wasyria

    Russia yaitaka Marekani iache kuiba rasilimali za Wasyria

    Jul 03, 2021 08:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema Marekani inapaswa kukomesha tabia yake ya kuiba rasilimali za wananchi wa Syria, na badala yake ipambane na magenge ya kigaidi.

  • Kuhuishwa JCPOA kunategemea maamuzi magumu ya Marekani na Ulaya

    Kuhuishwa JCPOA kunategemea maamuzi magumu ya Marekani na Ulaya

    Jul 02, 2021 22:15

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema sasa wakati umewadia kwa Marekani na nchi tatu za Ulaya kuchukua maamuzi magumu kwa ajili ya kuanza kufungamana tena kikamilifu na mapatano ya kimataifa ya nyuklia, JCPOA.

  • Russia: Hatua ya Marekani kufunga tovuti za mrengo wa muqawama ni ya kisiasa

    Russia: Hatua ya Marekani kufunga tovuti za mrengo wa muqawama ni ya kisiasa

    Jul 02, 2021 22:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kufunga tovuti kadhaa za vyombo vya habari vya Iran na mrengo wa muqawama na kusisitiza kuwa, kitendo hicho kimechochewa na misimamo hasi ya kisiasa.

  • Barua za jumuiya 113 za haki za binadamu kwa Biden: Mashambulizi ya droni yanapasa kusitishwa

    Barua za jumuiya 113 za haki za binadamu kwa Biden: Mashambulizi ya droni yanapasa kusitishwa

    Jul 01, 2021 22:00

    Makundi na jumuiya za kutetea haki za binadamu 113 zimemwandikia barua Rais Joe Biden wa Marekani zikitaka kusitishwa mashambulizi ya droni yanayofanywa kinyume cha sheria katika nchi mbalimbali.

  • Kifo cha Rumsfeld, mhandisi mkuu wa vita na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq

    Kifo cha Rumsfeld, mhandisi mkuu wa vita na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq

    Jul 01, 2021 04:23

    Donald Rumsfeld, waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani ambaye ndiye aliyekuwa mhandisi mkuu wa mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iraq na Afghanistan ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 88.

  • Wanachama wa Baraza la Usalama waitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo

    Wanachama wa Baraza la Usalama waitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo

    Jul 01, 2021 03:11

    Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimeitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo vyote kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Nukta sita kuhusu mashambulizi ya Marekani dhidi ya Hashdu Shaabi huko Iraq

    Nukta sita kuhusu mashambulizi ya Marekani dhidi ya Hashdu Shaabi huko Iraq

    Jun 30, 2021 21:53

    Ndege za kivita za Marekani siku ya Jumatatu iliyopita ziliishambulia kambi ya usaidizi na lmasuala ua lojistiki ya Brigedi ya 14 ya harakati ya wanamuqawa wa Hashdu Shaabi ya Iraq katika mpaka wa nchi hyo na Syria, ambapo katika mashambulizi hayo wapiganaji wanne wa harakati hiyo waliuliwa shahidi.

  • Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?

    Ujerumani yakamilisha mchakato wa kuondoa askari wake Afghanistan; US?

    Jun 30, 2021 06:40

    Ujerumani imetangaza kuwa imemaliza mchakato wa kuwaondoa wanajeshi wake huko Afghanistan, huku Marekani ikiripotiwa kuwa inapanga kuwaacha mamia ya wanajeshi wake nchini humo.

  • Rais Rouhani: Biden anawasaliti wananchi wa Marekani

    Rais Rouhani: Biden anawasaliti wananchi wa Marekani

    Jun 30, 2021 06:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo Rais Joe Biden wa Marekani atafeli kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama alivyoahidi, basi atakuwa amewasailiti wananchi wa Marekani ambao walimpigia kura wakitaka kuona mabadiliko ya sera ghalati dhidi ya Iran za mtangulizi wake, Donald Trump.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS